Tatizo la Manchester United ni nini haswa?

Hivi kweli Mount alicheza kweli? Mbona hakuonekana kabisa ndo kipaji kinakufa hivo.
 
Kweli kwa makocha waliopita LVG, Mou, Ole etc. Ila huyu wa sasa wachezaji karibia wote kasajili mwenyewe.
 
Usajili mbaya

Antony
Amrabat
Hodjullund
Evans
Hizo zote hapo juu ☝️ Ni taka taka
 
Toka enzi za furgason bado wana usajili wa kudunduliza wanasahau Alex alikuwa ni kocha bora na siraha kubwa ni muunganiko mzuri wa timu na mastaa wengi nyota yao kung'aa ilianzia ndani ya timu.Sasa hivi makocha uwezo mdogo na bado usajili ni wa kuchungulia hela.
 
Man u jana ni kama team ya watoto wakicheza na wakubwa zao, kwa mara ya kwanza niaamua tu nishike simu nijisomee habari za dunia maana hawakuonesha kitu katika kupigania team. Unaweza kuwa usiwe na wachezaji bora lakini ile jinsi ya kujituma hakuna kabisa. Ukitaka kujuwa ubovu wa Man u, hakuna hata mchezaji mmoja anaweza kupata number Man city, Arsenal, Liverpool, Spurs labda moja au wawili Newcastle. Huu ndio ubovu wa Man u. Ila pamoja na kuwa na wachezaji sio wazuri walitakiwa kucheza kama team ndogo yenye jihad ya uwanjani.
 
Hata msemeje! hata mfukuze kocha mlete carlo Ancelotti na Guardiola ni kwamba wachezaji wa pale kwa ukubwa wa timu hawastahili hata timu ya chelsea.

Ukileta kocha mkubwa lazima atawatimua karibia asilimia 90% ,hao madogo wengi uwezo ni mdogo na wanasajiliwa plus kulipwa pesa ndefu ila sio wapambanaji.
 
Laaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…