Hivi kweli Mount alicheza kweli? Mbona hakuonekana kabisa ndo kipaji kinakufa hivo.Timu ambayo haitaki kusajili wachezaji wa maana wameweka Uingereza mbele kwa kuwanunua bei ghali bila sababu yaani Utd ndo ya kulipa mileha kibao kwa Mount halafu unasubiria wachezaji wa mikopo timu iendee sasa ni bora liende bila mgomo wa mashabiki haitoboi
Manchester na Chelsea wote ni wagonjwa tu wenye ugonjwa unaofanana.
Alitoka Amrabat kipindi wakati kinaanzaHivi kweli Mount alicheza kweli? Mbona hakuonekana kabisa ndo kipaji kinakufa hivo.
Kweli kwa makocha waliopita LVG, Mou, Ole etc. Ila huyu wa sasa wachezaji karibia wote kasajili mwenyewe.Kuna moja kati ya mashabiki wa Manchester United aliniambia maendeleo mabovu ya Man UTD yanatokana na uongozi mbaya wa mmiliki wa timu ambao ni familia ya Glazer (yenye makazi yake England). Mmiliki wa klabu ameridhika kuwa klabu yenye mauzo makubwa ya jezi lakini ameamua kutoipambania timu.
Kocha wa Man UTD yupo kama boksi lakini linapokuja suala la usajili hata akitaka kumnunua mchezaji fulani analetewa mwingine. Timu ni kama inajiendesha, hadi Carlos Casimiro ananukuliwa na magazeti mengi ya England akitoa lawama kwa timu hasa hasa kwa wamiliki na menejimenti.
Sura za kazi tupu hapoSquad ya mwisho matata kwa Manchester UTD.
View attachment 2797805
huo ndo ukwelihiki kikosi kilibebwa na Sir A.Ferguson kwakuwa hakikuwa na uwezo? Iangalie reply yako vizuri utafute mahala pa kuhariri
View attachment 2797916
Hiki kikosi kingekutana na man city ya pep kingesimulia vzuri kwann pep amekuja England [emoji23][emoji23]kwahiyo hiki kikosi kilikuwa kibovu?
View attachment 2797914
Yes,,, ktk Mpira shughuli hamna zaidi ya kusababisha Sonona kwa mashabiki....Gaza wakapambane na Missiles sio? [emoji23][emoji23]
True chief ,,asilimia 98 kasajili mwenyewe ,labda casemiro tuKweli kwa makocha waliopita LVG, Mou, Ole etc. Ila huyu wa sasa wachezaji karibia wote kasajili mwenyewe.
Sancho? Sija sikia sehemu Casemiro amejitokezaNa Casimiro ndiye aloyejitokeza mbele ya vyombo vya habari kulaumu uongozi mbaya wa kocha Erik ten Hag
Hivi karibuni kumekuwa na hali ya kukera inayotokana na Manchester United kupoteza kwa mfululizo na malalamiko kutoka kwa wachezaji ambayo yamekithiri.
Kiundani sababu ya Manchester United kuwa hivi ni nini? Ni coach? Management? Sera? Wamiliki? Au ushindani wa EPL umekuwa mkubwa?
UPDATES:
Katika msimu huu wa mwaka 2023/24 Manchester United imecheza mechi 10 na kushinda mechi 5 tu na kupoteza mechi 5 zote.
Manchester ipo katika nafasi ya nane kati ya timu 20 zinazoshiriki ligi kuu ya English Premier League (EPL).
english premier league table
View attachment 2797739
Na Chelsea 😅😅wamelaaniwa
Mungu BabaAliyeiachia laana Manchester UTD ni nani?