Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

miriam 111, Nimeona haya maelezo haya makelele masikioni Leo ingawa Ni maiaka mingi imepita. Pole lkn je uliisha Pona au kupata ufumbuzi...
Mm pia mkuu tatizo hili limenipata nikiwa A-Level now nasoma chuo cha mipango kwa mazingira magumu sana
 
Vipi hali yako ya pua, hupati mafua ya mara kwa mara.
Mimi pia ninna tatizo maumivu makali ya sikio, juzi nilienda kwa specialist wa E.N.T akaniambia tatizo langu limesababishwa na mafua ya mara kwa mara hivyo imesababisha sikio kujaa maji. Nimepewa dawa ila bado nasikia maumivu
 
Mh! Bangi??? Hata km ni dawa simshauri, sikio ni kitu kngne, ukikosea kidogo ndo ushamtia mtoto uziwi. Nenda kwa wataalam wa ENT, achana na bangi imekaa kienyeji sana!
Kitambo nikiwa mdogo nilikua natoka usaha masikio yote Ila sikuwahi kupelekwa hospital zaidi ya miti shamba bi mkubwa alipambana Sana
 
Mh! Bangi??? Hata km ni dawa simshauri, sikio ni kitu kngne, ukikosea kidogo ndo ushamtia mtoto uziwi. Nenda kwa wataalam wa ENT, achana na bangi imekaa kienyeji sana!

Hujaambiwa hiyo bangi ivutwe, watu wengi sana nimesikia wanaitaja bangi kama ni tiba ya sikio japo imekaa "kienyeji" lakini sio ya kuipuuza moja kwa moja.
 
Mfano kwa mtoto pembeni ya sikio kunakijitobo,je kile kitobo kinamaanisha nini
 
Dada nipatie namba yako tafadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…