Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
We jamaa mwenzako yuko serious afu we una react "haha" kwenye comment yake?Mkuu you can't be serious just ikisimama chukua rula Pima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa mwenzako yuko serious afu we una react "haha" kwenye comment yake?Mkuu you can't be serious just ikisimama chukua rula Pima.
Hiyo unamkojoza mtoto wa watu kabisa, jiamini na uwe mtundu.Inasimama kaka
Inapatikana wapiKuna dawa ya kiasili ya kuchanja, hata mwenyewe waweza kujichanja, shilingi elfu 50, ila sasa uko mbali.
It's not joke mkuu usikute alipima ikiwa imelala simcheki maana sote vibamia tu na awe makini Kama ameamua kutatua hili tatizo aangalie asijelifanya likubwa misuli ikashindwa kunyanyuka! Likawa tatizo kubwa zaidi..😁We jamaa mwenzako yuko serious afu we una react "haha" kwenye comment yake?
Na malipo ni baada ya mtu kupona?Kuna dawa ya kiasili ya kuchanja, hata mwenyewe waweza kujichanja, shilingi elfu 50, ila sasa uko mbali.
hapo ukikutana na mashavu manene huez fikia ata tundu. Utaishia kula mashavu tu.
Utamu wa mwanamke upo juu kwenye kisimi wala sio ndani, ndio maana tunamfariji, yeye awe mtundu tu kumuandaa mwenza wake vizuri romance kwa sana asiwe na papara, akiweza kumchezea pale juu mwanamke akamaliza, hapo na yeye aingie ndani amalize wote wanabaki na furaha zao na watoto juu.Cha kunifurahisha n kwamba wadada ndo wanaomfariji.
Inchi 2 na unaambiwa ujikubali!!. Ifike mahala tumchane mtu laivu.
Broooooo tafta tiba. Hio iko abnormal kabisa
Bado hujamsaidia asee.Utamu wa mwanamke upo juu kwenye kisimi wala sio ndani, ndio maana tunamfariji, yeye awe mtundu tu kumuandaa mwenza wake vizuri romance kwa sana asiwe na papara, akiweza kumchezea pale juu mwanamke akamaliza, hapo na yeye aingie ndani amalize wote wanabaki na furaha zao na watoto juu.
KidoleBado hujamsaidia asee.
Hicho umekisemea kisimi...... What about G spot. Anaifikiaje kwa io inch 2
[emoji23][emoji23] umeona!!.Kidole
Gspot ili uipate vizuri sharti utumie kidole[emoji23][emoji23] umeona!!.
Kwann atumie kidole wakat ako na uume
Au ndo mgawanyo wa kazi....
Kuna namna inapatikana kwa uume, tena vzr tu.Gspot ili uipate vizuri sharti utumie kidole
Vijana wakiona kina mandingo huko x video wanajua kuwa ukiwa na uume mkubwa ndo kila kitu.Tell him....
Sasa akatumie madawa aje ajute
Mwanamke hupata utamu zaidi hadi kufika kileleni nje sio ndani, ndio maana wanawake wengi wanalalamika hawajawahi kufika kileleni tangu wazaliwe kumbe mnawang'ang'aniza kuwaingiza midude yenu mikubwa wanaumia ila wana act kama wana enjoy,Kuna namna inapatikana kwa uume, tena vzr tu.
Ikumbukwe kuna wengine hawapend kupigwa dole.
Wanalishana ujinga na kujazana uoga maskiniVijana wakiona kina mandingo huko x video wanajua kuwa ukiwa na uume mkubwa ndo kila kitu.
Uko vyedi malkia👍Kidole
Unajitahid sana kuitetea hoja yako dr. Lets assume umeshinda.Mwanamke hupata utamu zaidi hadi kufika kileleni nje sio ndani, ndio maana wanawake wengi wanalalamika hawajawahi kufika kileleni tangu wazaliwe kumbe mnawang'ang'aniza kuwaingiza midude yenu mikubwa wanaumia ila wana act kama wana enjoy,
Huyo jamaa akiwa hana papara na akajiamini wanawake watakua wanapanga foleni kwake,
[emoji1]
Si ana macho na anasikia [emoji848]Wewe ulijuaje kama ni mdogo??