Tunamshukuru Sasa hivi Tanzania porn wamefungaUna tatizo lililotokana na kuathirika kwa kupiga punyeto ambapo umefikia ile ahatua iitwayo "Addiction/Uraibu"
Ushauri wangu waone wataalamu wakusaidie haraka iwezekanavyo.
Dawa ya punyeto ni kufunga na kuomba sana maana kuna mapepo yaliyojikita hiyo sehemu kupitia hii mitandao ya kijamii kama porn stars, pornography.
Ukiaweza kuanza, pia unaweza kumaliza, yani kila chenye mwqnzo, basi lazima kiwe na mwisho.
Au jamaa alikuwa ananyonga kavu bila kilainishiš ,Una tatizo lililotokana na kuathirika kwa kupiga punyeto ambapo umefikia ile ahatua iitwayo "Addiction/Uraibu"
Ushauri wangu waone wataalamu wakusaidie haraka iwezekanavyo.
Dawa ya punyeto ni kufunga na kuomba sana maana kuna mapepo yaliyojikita hiyo sehemu kupitia hii mitandao ya kijamii kama porn stars, pornography.
Ukiaweza kuanza, pia unaweza kumaliza, yani kila chenye mwqnzo, basi lazima kiwe na mwisho.
Sawa, ila mimi nilishawahi kuwa na tatizo sawa na lako ndiyomaana nikakujibu hivyo.Sina tabia ya kupiga punyeto mimi, shutuma zenu ni za uwongo
Kaaa kudadadekiAcha nyeto utakuja ufe...enewei unafanyaga mazoezi ata kwa wiki mara 1? Mazoezi ya kukimbia
Sawa, ila mimi nilishawahi kuwa na tatizo sawa na lako ndiyomaana nikakujibu hivyo.
Samahani ikiwa nimekukwaza Chifu.
Pole sana mkuu, sijui tiba yake ni nini. Ila wadau tuache hii kitu ya kua kila mwanaume mwenye tatizo kama la mleta uzi basi ni mdau wa chaputa.
Wengine ni hali walizozaliwa nazo si ajabu hata punyeto hawaijui. Tusiwahukumu moja kwa moja kua ni member wa chaputa, tuwasaidie tu bila kuwahusisha na chaputa wakati wao wanasema hawafanyi hiyo kitu.
uzima huwapa sana kiburi watu mkuu, lazima kejeli zitakuwa nyingi.
Mkuu hukupata matibabu bado hadi Leo?
Muone Herbalist Mzizimkavu