Amoxlin
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,782
- 4,111
Ufanye hivyo mara kwa mara.Nashukuru sana mkuu nitajaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufanye hivyo mara kwa mara.Nashukuru sana mkuu nitajaribu
TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO NA MIGUU KUFA GANZIWanajamvi habarini za leo
Mimi tatizo langu nasumbuliwa sana na miguu chininya nyao wakati mwingine inawasha washa,nwakati mwingine inachoma choma na kunacwakati inawaka moto, usiku silali kabisa
nimeenda hospitali jimepewa dawa mbali mbali bila mafanikio, nimejaribu dawa za kimasai bado tatizo likompale pale, nimejaribu dawa za kisuni lakini wapi.
Ombi langu kwenu kwa yeyoyote anayejua tiba ya
ugonjwa huu anisaidie karibu mwezi wa pili sasa nateseka. Asanteni nawasilisha.
Umri tena huo mama yangu, ila ngoja wataalamu waje.Habarini.
Mshana Jr na Mzizi mkavu na wataalamu wengine humu ndani naombeni msaada.
Miguu yangu inanisumbua sana, inakuwa kama inaganzi wakati mwingine kama inawaka moto nikienda hospitalini napimwa naambiwa naumwa U.T.I natumia dawa lakini bado.
Sijui tatizo nini, naombeni msaada tafadhali
Asante sana kwa ushauriNenda hospitali kubwa uonane na madaktari bingwa(physicians)
ahahaha eti umri du, kuhusu UTI aache kujisaidia ovyo kwenye public toilet na pasafishe fresh kule uvunguni if posible kuhusu miguu ngoja waje wataalam mzizi mkavu na mshanaUmri tena huo mama yangu, ila ngoja wataalamu waje.
Mbona siwaoni hawa watuahahaha eti umri du, kuhusu UTI aache kujisaidia ovyo kwenye public toilet na pasafishe fresh kule uvunguni if posible kuhusu miguu ngoja waje wataalam mzizi mkavu na mshana
watakuwa wameshashiba wamelala sasa wataamka tu vuta subiraMbona siwaoni hawa watu
Hudhuria kanisa la kilokole...Habarini.
Mshana Jr na Mzizi mkavu na wataalamu wengine humu ndani naombeni msaada.
Miguu yangu inanisumbua sana, inakuwa kama inaganzi wakati mwingine kama inawaka moto nikienda hospitalini napimwa naambiwa naumwa U.T.I natumia dawa lakini bado.
Sijui tatizo nini, naombeni msaada tafadhali
Habarini.
mshana jr na MziziMkavu na wataalamu wengine humu ndani naombeni msaada.
Miguu yangu inanisumbua sana, inakuwa kama inaganzi wakati mwingine kama inawaka moto nikienda hospitalini napimwa naambiwa naumwa U.T.I natumia dawa lakini bado.
Sijui tatizo nini, naombeni msaada tafadhali
Tumia tiba hii ya kitunguu saumu na ndimu loweka miguu kwenye beseni la maji vuguvugu yenye mchanganyiko wa kitunguu saumu kilichopondwa na ndimu iliyokamuliwamshana jr MziziMkavu mnaitwa huku kuna watu wanahitaji msada wazee
mpe dozi mkuu anaweza weka gunia la vitunguu na mti mzima wa malimao.Tumia tiba hii ya kitunguu saumu na ndimu loweka miguu kwenye beseni la maji vuguvugu yenye mchanganyiko wa kitunguu saumu kilichopondwa na ndimu iliyokamuliwa
Maji lita 3au 4 ndimu 1,2 au 3 kutegemea na ukubwa vitunguu vitunguu saumu 3mpe dozi mkuu anaweza weka gunia la vitunguu na mti mzima wa malimao.
safi sana endelea kuwa na imani ya misaada kama kweli unajua.Maji lita 3au 4 ndimu 1,2 au 3 kutegemea na ukubwa vitunguu vitunguu saumu 3