Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mkuuPole endelea kuwaona wataalamu wa tiba zote mbili usikate tamaa pakuponea hupajui kingine labda uangalie baadhi ya vyakula unaweza kuwa una allegy navyo inaweza kukusaidia
Find me 0652832030 or 0712770729Wanajamvi habarini za leo
Mimi tatizo langu nasumbuliwa sana na miguu chininya nyao wakati mwingine inawasha washa,nwakati mwingine inachoma choma na kunacwakati inawaka moto, usiku silali kabisa
nimeenda hospitali jimepewa dawa mbali mbali bila mafanikio, nimejaribu dawa za kimasai bado tatizo likompale pale, nimejaribu dawa za kisuni lakini wapi.
Ombi langu kwenu kwa yeyoyote anayejua tiba ya
ugonjwa huu anisaidie karibu mwezi wa pili sasa nateseka. Asanteni nawasilisha.
ThanksI Once had the case like yours,try to take UTI Test and drugs if proved,the case can disappear.
Umri wangu ni 47 sukari, BP nime shacheck lakini UTI badoUna umri gani na ulicheck sukari mwilini, UTI na BP?
Mkuu utakuwa na tatizo la msongo wa mawazo au upungufu wa vitamini/lishe mbovu.Umri wangu ni 47 sukari, BP nime shacheck lakini UTI bado
Find me 0652832030 or 0712770729
Nashukuru mkuuMkuu utakuwa na tatizo la msongo wa mawazo au upungufu wa vitamini/lishe mbovu.
Wakuu, natumai mu wazima.
Kwa muda wa miezi miwili sasa nasumbuliwa na miguu ambapo inawaka moto na joints za vidole vya miguu zinauma balaa, maumivu yanaanzia kwenye angle lakini kuanzia hapo kurudi juu (hadi kichwani) niko sawa.
Nimeenda hospitali tatu tofauti mara tano lakini hawaoni ugonjwana nimepima damu,stool na haja ndogo lakini majibu yanaletwa ni kwamba hawaoni tatizo. Siwezi kuvaa viatu kwani ni kama moto unawaka haswa huku kwenye kucha zinapootea miguu haina uvimbe wowote.
Kwa yeyote mwenye wazo la kunisaidia anakaribishwa ili mwenzenu niendelee na masomo vizuri kwani mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza.
Naomba kuwasilisha.
Nashukuru sana mkuu nitajaribuIpo mishipa mingi sana ktk miguu ambayo ina muunganiko na mshipa mkubwa unaoenda mpaka ktk moyo.
Ni vyema kuichua miguu kwa mafuta ya nazi/limao kuelekea ipitapo nishipa ili kuizibua kwani kuna wakati huweza kuwa haipo sawasawa.
Mchuaji akuchue mpaka utamani kukimbia ndo utapata unafuu zaidi.