Roman Kaka
Member
- Jul 9, 2012
- 7
- 1
Ndugu wana jukwaa. Nasumbuliwa na tatizo la miguu kukosa nguvu pindi nikitembea. Ninapoanza kutembea nakuwa kama nimeshatembea kilometa 10. Ilianza kwa kutembea mwendo mrefu kdg ndio nachoka ila kwa sasa hata mita mia siwezi kutembea bila kupumzika. Nimeshafanya vipimo vya organs zote zipo safi. Kwa kifupi nimepita hospital zote bila mafanikio. Naomba msaada kwa anaejua solution ya tatizo hili. Ni zaidi ya mwaka na nusu tangu tatizo hili lianze.
Pole Mkuu, Je wewe ni me au ke?, je uzito ni kiasi gani na urefu pia ni kiasi gani?, katika masaa 24 ni mkao gani unatumia zaidi kati ya kukaa na kusimama?.
mimi me nina kg 75 sijawahi kupima urefu ila nipo kwenye kundi la warefu sio mfupi. Nilikuwa nafanya kazi ya ualimu so nilikuwa nakaa na kusimama. Kwa sasa muda mwingi nalala siwezi fanya chochote.
Mkuu Una umli gani labda kabla sijaanza kukushauli?
hilo tatizo lako ni dogo nenda mtafute mch yeyote akuombee kwa jina la YESU utapona kabisa ndugu na kuhakikishia barikiwa
mimi me nina kg 75 sijawahi kupima urefu ila nipo kwenye kundi la warefu sio mfupi. Nilikuwa nafanya kazi ya ualimu so nilikuwa nakaa na kusimama. Kwa sasa muda mwingi nalala siwezi fanya chochote.
Ni lazimaunipeurefu wako,tofauti na hapo sijuwi namna ya kukusaidia.
Ni lazimaunipeurefu wako,tofauti na hapo sijuwi namna ya kukusaidia.
tatizo ni je umeenda hospital kama hujaenda ebu Pima sukari, pressure na kafanye chest xray waangalie ukubwa wa moyo make nadhan unapata heart failure.
Lakini pia uzito wako ni mkubwa kulinganisha na urefu. Punguza uzito kidogo walau 65.
But cha kuzingatia pima routine presure na sukari
na kafanye chest xray.
Vp upo mkoa gani may be naweza kukuona
mkuu nina miaka 34.
Im really shocked! First thing in the morning kesho kwakweli! Dah