Roman Kaka
Member
- Jul 9, 2012
- 7
- 1
Ndugu wana jukwaa. Nasumbuliwa na tatizo la miguu kukosa nguvu pindi nikitembea.
Ninapoanza kutembea nakuwa kama nimeshatembea kilometa 10. Ilianza kwa kutembea mwendo mrefu kdg ndio nachoka ila kwa sasa hata mita mia siwezi kutembea bila kupumzika.
Nimeshafanya vipimo vya organs zote zipo safi. Kwa kifupi nimepita hospital zote bila mafanikio. Naomba msaada kwa anaejua solution ya tatizo hili. Ni zaidi ya mwaka na nusu tangu tatizo hili lianze.
Ninapoanza kutembea nakuwa kama nimeshatembea kilometa 10. Ilianza kwa kutembea mwendo mrefu kdg ndio nachoka ila kwa sasa hata mita mia siwezi kutembea bila kupumzika.
Nimeshafanya vipimo vya organs zote zipo safi. Kwa kifupi nimepita hospital zote bila mafanikio. Naomba msaada kwa anaejua solution ya tatizo hili. Ni zaidi ya mwaka na nusu tangu tatizo hili lianze.