Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

My Jf Wapenzi ktk bwana, nlipona kabisa,miguu kuwaka moto nlitumia hina na vitunguu swaumu unyayoni,mgongo na kiuno nlisikia habari za utamu wa kipimo kwakweli na maombi yaliniponesha,maumivu yaliishaga yenyewe tu.
 
Pole sana ila unatakiwa ufanye uchunguzi wa kina kbala ya kuanza kutumia dawa nje ya hapo utaongeza madhara mengine zaidi ndani mwili wako
 
My Jf Wapenzi ktk bwana, nlipona kabisa,miguu kuwaka moto nlitumia hina na vitunguu swaumu unyayoni,mgongo na kiuno nlisikia habari za utamu wa kipimo kwakweli na maombi yaliniponesha,maumivu yaliishaga yenyewe tu.
Mkuu Swts Asante sana kwa kutupa Feedback hii ndio Tabia ya Kiungwana unapopewa Dawa na kutumia ukipona tu unakuja hapa kutuletea taarifa zako unaendeleaje nimefurahi kwa kunipa feedback Dawa yangu niliyokupa imekusaidia ubarikiwe ameen.
 
Last edited by a moderator:
Mimi inawaka moto sana hasa usiku sithubutu ata kuifunika ila na kuwa na mawazo mno nisaidieni nahisi mawazo ni sababu mja wapo inayonipelekea kuwaka moto.Pia inatoa magamba unyayono
 
mimi inawaka moto sana hasa usiku sithubutu ata kuifunika ila na kuwa na mawazo mno nisaidieni nahisi mawazo ni sababu mja wapo inayonipelekea kuwaka moto.pia inatoa magamba unyayono

tangu 2011 ndo unarudi leo? Pole sana
 
mdau kapime kale kaugonjwa ka kula nyama nyekundu kana jina la mbuzi kwa kiingilishi
 
Habari wana jf,jamani nmekua na tatizo la miguu kufa ganzi takriban kwa miezi 6 sasa,ni sehemu ya mbele mpaka kwenye vidole,nmeenda hospitali kama 4 hvi,regency wakanpima x-ray na vpimo vngine hawakuona tatzo wakanpa dawa bt hazkuxaidia,nikaenda hospital ya wachina sinza wakasema nna infection kwnye joints wakanpa dawa kbao kama mara 3 hvi nazo hazkusaidia,tumaini hospital wakanambia ni tatizo la kawaida la neva wakanpa dawa zinaitwa NEUROBINE nazo hazikunisaidia chochote,kna hospital moja hku mkoani wamenpima hawakuona tatzo pia doctor akasema litakua ni tatzo la neva wamenpa dawa ambazo ni NEUROBINE.TRAMUELL NA VITAMIN B ndo naendelea kuzitumia.jaman napata wacwac kwl coz hal haibadiriki naomba mwenye idea na tatizo hili anisaidie asanteni.
 
Ndugu,
Nenda kwa walokole kanisani (e.g. kwa Gamanywa, Prosper Ntepa, Kakobe, etc) ukaombewe na utapona kwa Jina la YESU. I am serious, we nenda ukiweka imani seriously kwa Bwana Yesu...you will not be dissappointed..!
 
Ingbeatz.
Unafahamu Ceragem?
Jaribu pia. Wako sehemu kadhaa mjini. Lakini kama uko Dar nenda Dafa Ceragem, pembeni ya majembe.
 
Ndugu,
Nenda kwa walokole kanisani (e.g. kwa Gamanywa, Prosper Ntepa, Kakobe, etc) ukaombewe na utapona kwa Jina la YESU. I am serious, we nenda ukiweka imani seriously kwa Bwana Yesu...you will not be dissappointed..!

ni kweli tupu ndugu yangu kama lilivo jna lko,amen!
 
Ganzi ipo mda wote or inakuja na kuondoka?na wakati gan hali inazidi na wakat gan inapungua?
 
kiwe ndo kiburudisho chako muda wote
yaani unakunywa
kama ukiwa umetulia home unaweza kupaka pia
si unajua asali inanatanata sana so lazima ukipaka lazima utulie then baada ya muda fulani unaiosha na unaendelea na mambo yako mengine,
pole sana mwaya.

asante,hyo asali na mdalasini napaka o
 
Back
Top Bottom