Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Swts Asante sana kwa kutupa Feedback hii ndio Tabia ya Kiungwana unapopewa Dawa na kutumia ukipona tu unakuja hapa kutuletea taarifa zako unaendeleaje nimefurahi kwa kunipa feedback Dawa yangu niliyokupa imekusaidia ubarikiwe ameen.My Jf Wapenzi ktk bwana, nlipona kabisa,miguu kuwaka moto nlitumia hina na vitunguu swaumu unyayoni,mgongo na kiuno nlisikia habari za utamu wa kipimo kwakweli na maombi yaliniponesha,maumivu yaliishaga yenyewe tu.
mimi inawaka moto sana hasa usiku sithubutu ata kuifunika ila na kuwa na mawazo mno nisaidieni nahisi mawazo ni sababu mja wapo inayonipelekea kuwaka moto.pia inatoa magamba unyayono
Ingbeatz.
Unafahamu Ceragem?
Jaribu pia. Wako sehemu kadhaa mjini. Lakini kama uko Dar nenda Dafa Ceragem, pembeni ya majembe.
Ndugu,
Nenda kwa walokole kanisani (e.g. kwa Gamanywa, Prosper Ntepa, Kakobe, etc) ukaombewe na utapona kwa Jina la YESU. I am serious, we nenda ukiweka imani seriously kwa Bwana Yesu...you will not be dissappointed..!
Umepima sukari? Unatumia pombe?
jitahidi na asali na mdalasini wakati unaendelea na tiba.
asante,hyo asali na mdalasini napaka o