Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujatuambia wewe ni Mwanamke au Mwanaume? Una miaka mingapi? Hayo matatizo yako yanakutokea wakati gani? unapo amka au wakati gani? Mwili Kufa Ganzi haswa Sehemu za mikono na Miguu Ni moja katikaNaomba kujua haya matatizo ya kua na ganzi kwenye mikono nini sababu zake na nini dawa yake maana ilianza mkono wa kulia alafu ukawa mkono wakushoto na wakulia ukawa umepona.
Pole sana kwa mtu ambae mwili wake una waka moto chukua rawanda na kuzbara hindi twanga chemsha kunywa kwani hizo ni balghami itaondoka haraka kunywa glasi 2 kwa siku kwa muda wa siku 7 tu hakikisha umekula chakula ndio ule hiyo Dawa usinywe Dawa kabla hujala chakula ni khatari usikose kuja kunipa Feedback.Ni takribani mwaka sasa nyayo za miguu yangu nahisi zikiwaka moto hasa mida ya jioni au usiku ninapokuwa nimepumzika. Nilienda kwa kituo cha afya nikapimwa sukari sikukutwa nayo. Daktari akanipa Vidonge vya neurobions na vitamins nikatumia kwa siku kadhaa hakuna mabadiliko. Doctors out there naombeni msaada wenu kabla sijasonga mbele please.
Pole sana kwa mtu ambae mwili wake una waka moto chukua rawanda na kuzbara hindi twanga chemsha kunywa kwani hizo ni balghami itaondoka haraka kunywa glasi 2 kwa siku kwa muda wa siku 7 tu hakikisha umekula chakula ndio ule hiyo Dawa usinywe Dawa kabla hujala chakula ni khatari usikose kuja kunipa Feedback.
Pole sana kwa mtu ambae mwili wake una waka moto chukua rawanda na kuzbara hindi twanga chemsha kunywa kwani hizo ni balghami itaondoka haraka kunywa glasi 2 kwa siku kwa muda wa siku 7 tu hakikisha umekula chakula ndio ule hiyo Dawa usinywe Dawa kabla hujala chakula ni khatari usikose kuja kunipa Feedback.
Mara nyingi, nyayo kuwaka moto huwa inatowa ishara kuwa damu haikosawa, au viungu, yani kukiwa na maradhi kwa mwili, mishipa hubeba damu mpaka kwa nyayo, kutowa toxins mwilini, hivi hufanya nyayo saa ingine kuwaka moto sana. Hata mimi blood sugar yangu iko high, nahisi Mpaka kwa nyayo. sisemi una kisukari. Namaanisha Labda blood sugar iko high.Nashukuru sana kwa ushauri MziziMkavu nitafanyia kazi ushauri wako. Bado sijajua ili tatizo linasababishwa na nini?
rawanda na kuzbara hindi ni nini..cc MziziMkavu
Ni takribani mwaka sasa nyayo za miguu yangu nahisi zikiwaka moto hasa mida ya jioni au usiku ninapokuwa nimepumzika. Nilienda kwa kituo cha afya nikapimwa sukari sikukutwa nayo. Daktari akanipa Vidonge vya neurobions na vitamins nikatumia kwa siku kadhaa hakuna mabadiliko. Doctors out there naombeni msaada wenu kabla sijasonga mbele please.
Mwambie Mama yako apakae hina nyayoni kwa muda wa siku 7 kisha uje hapa utupe feedback.mama yangu anakisukari pia miguu huwaka sana moto na kuuma kama inakatwa katwa na wembe
Matatizo ya ganzi na matatizo ya sikio ni tofauti kabisa.madaktari wa jf tafadhali naomba mnieleweshe juu ya hili tatizo kwani nimekua nalo kwa muda mrefu
Na ipi hasa tiba ya tatizo hili?
Kwani na wewe unayo hayo Maradhi ya kufa Ganzi mikono na Miguu?Mkuu MziziMkavu ingawa sijauliza mimi lakini nimefaidika
Mwambie Mama yako apakae hina nyayoni kwa muda wa siku 7 kisha uje hapa utupe feedback.
Mkuu MziziMkavu ingawa sijauliza mimi lakini nimefaidika [/QUOT
You can say that again !that makes two of us!