124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Mzizi M. nahisi na mimi ninalo hili tatizo,ingawa si mara kwa mara lakini in a frequency that i can notice.mara nyingi nikiwa nimelalia mikono au nikivaa viatu vinavyobana kidogo siku moja basi hupata ganzi katika gumba la kushoto kwa siku hata tatu the hupotea.
Pia nina low pressure kisukari nilicheck kama 3 yrs back (sina),kwa post yako i have to do it again (tomorrow-nina mchecheto)
Pia nina low pressure kisukari nilicheck kama 3 yrs back (sina),kwa post yako i have to do it again (tomorrow-nina mchecheto)