Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Madaktari wanatofautiana na ndo maana nikakuambia utafute daktari mzoefu.
Mkuu labda kwa msaada wako unisadie hata no ya simu ya dr unayemfaham anaweza kusolve tatizo langu.

Hapa tuna hospital ya mji na ya mkoa zote nimefika, nikiwa tanga nilishaenda kama mbili moja inaitwa cheritable iko karibu na tangamamo na pale moro nilishafika mazimbu hospital
 
Mkuu labda kwa msaada wako unisadie hata no ya simu ya dr unayemfaham anaweza kusolve tatizo langu. Hapa tuna hospital ya mji na ya mkoa zote nimefika, nikiwa tanga nilishaenda kama mbili moja inaitwa cheritable iko karibu na tangamamo na pale moro nilishafika mazimbu hospital
Nadhani madaktari wazuri wapo kila hospitali kubwa, kama vipi unaweza kwenda muhimbili au hospotal kuu ya mkoa wa Morogoro.
 
Nadhani madaktari wazuri wapo kila hospitali kubwa, kama vipi unaweza kwenda muhimbili au hospotal kuu ya mkoa wa Morogoro.
Matatizo ambayo hayaonekani kwa nje na hayakuzui kutembea unawezaje reference ya kwenda mbele zaidi. Anyway kwa sasa sikai moro nipo Manyara
 
Ungefirisika bure kwa kulipia maombezi,mtafute daktari wa neva.

Miguu kuwaka moto husababishwa na hitilafu nyingi sana mwilini,pengine labda una sumu kibao zimeathiri neva,inabidi ufanye detox,matatizo ya neva ama magonjwa kama kisukari,figo etc.
Kacheki afya.

Ukigoogle utaona hii ishu imejadiriwa sana humu, just google miguu kuwaka moto, etc
 
Hii ya kuombewa na kutolewa matakataka mengi ya kichwi mwilin mnalionaje? na baada ya muda tatizo linabaki pale pale sasa naombeni mnipatie njia mbadala jamani
hakuna cha matakataka,ni usanii tu,hilo ni tatizo la kiafya,ukweli kuwa umeweza kukaa miaka 9 na tatizo hilo ndo kawaida ya magonjwa hayo unaweza kukusumbua hadi miaka hata 20 na ukatumia tiba sahihi tatizo likapotea,
mi nilikua nakata sana haya makemikali niloshikilia mkononi,sijui ndo yakaniletea tatizo,nilikuwa nashinda google kuresearch hili tatizo mpaka nikapata tiba mbadala bila hata kumuona daktari,naenda mwaka wa pili haiwaki moto tena
 
Ungefirisika bure kwa kulipia maombezi,mtafute daktari wa neva.

Miguu kuwaka moto husababishwa na hitilafu nyingi sana mwilini,pengine labda una sumu kibao zimeathiri neva,inabidi ufanye detox,matatizo ya neva ama magonjwa kama kisukari,figo etc.
Kacheki afya.
Ukigoogle utaona hii ishu imejadiriwa sana humu,just google miguu kuwaka moto,etc
Nashukuru kwa mchango mzuri mawazo ningependa wadau wenye uzoefu na tatizo hili au ilishawahi kuwapata wanisaidie
 
Matatizo ambayo hayaonekani kwa nje na hayakuzui kutembea unawezaje reference ya kwenda mbele zaidi. Anyway kwa sasa sikai moro nipo Manyara

Mkuu mwanzo uliposema ulienda kwa mtumishi akawa anakutoa madude tena huku ukiwa umebakia na boxer na uliposema kwamba kuna gharama ya vifaa vya kukutibu kwa mtumishi huyo ambavyo ulitakiwa kununua pamoja na sadaka ulikuwa unafumba wasomaji wasijue kwamba uliluwa kwa mganga wa kienyeji!

Na jibu lako hilo linaonesha unaamini kwamba kuna vitu vibaya uliwekewa na ndivyo vinavyokutesa, vile vile ulipoanzisha mada hii ulitegemea uambiwe umerogwa ili uone kwamba tatizo lako sio la kiafya.

Kama ndivyo sijakosea hapo basi sina ushauri mwingine.
 
Mkuu badala ya google labda mnginiwekea hapa hapa if posible na hiyo detox utatumia vyakula gani au dawa zipi kuondoa sumu
 
Mkuu badala ya google labda mnginiwekea hapa hapa if posible na hiyo detox utatumia vyakula gani au dawa zipi kuondoa sumu
watu wazito kukujibu kwani kuna thread humu tumejadili mno,ni kiasi cha wewe kugoogle utaziona,au mamode wakudirect huko
 
Hilo litakuwa tatizo katika afya ya mwili tu mkuu, mi si daktari ila nimepitia kuumwa kwa namna hii ama kunakofanana.

Nina tatizo la mgongo kuchemka na kuuma sana hasa nikiwa nimekaa. mifupa ya mabega na mgongo wote kuuma sana. Ajabu naweza kufanya mazoezi yote mazito ikiwamo kucheza basket ball ila nikikaa tu hasa kwa muda mrefu mgongo huuma sana. Imeathiri hata ukaaji wangu kwa kipindi cha karibu miaka mitano sasa.

Mwanzoni mwa ugonjwa huu nilipatwa pia na tatizo la miguu kuwaka moto. Nimetumia dawa nyingi sana za kienyeji na za kizungu. Naweza kusema tatizo limepungua.

Kikubwa kabisa badili aina ya maisha kuanzia ulaji, unywaji hasa wa pombe, kunywa maji sana na fanya mazoezi. Nilikuwa nakunywa bia angalau mbili kwa siku, nimeacha naona mabadiliko yanakuja.

Ukiwafuata waganga na watu wa maombezi utapotea kwani wengi wamegeuza maombezi kuwa biashara. Mimi nilishaambiwa nimewekewa mauchawi lakini nikapuuza cuz sioni kama ni kweli bali ni kukubali kuwa kuna disorder katika mwili wako na ukubali kubadilika.
 
Hilo litakuwa tatizo katika afya ya mwili tu mkuu, mi si daktari ila nimepitia kuumwa kwa namna hii ama kunakofanana.
Nina tatizo la mgongo kuchemka na kuuma sana hasa nikiwa nimekaa. mifupa ya mabega na mgongo wote kuuma sana. Ajabu naweza kufanya mazoezi yote mazito ikiwamo kucheza basket ball ila nikikaa tu hasa kwa muda mrefu mgongo huuma sana. Imeathiri hata ukaaji wangu kwa kipindi cha karibu miaka mitano sasa.
Mwanzoni mwa ugonjwa huu nilipatwa pia na tatizo la miguu kuwaka moto. Nimetumia dawa nyingi sana za kienyeji na za kizungu. Naweza kusema tatizo limepungua.
Kikubwa kabisa badili aina ya maisha kuanzia ulaji, unywaji hasa wa pombe, kunywa maji sana na fanya mazoezi. Nilikuwa nakunywa bia angalau mbili kwa siku, nimeacha naona mabadiliko yanakuja.
Ukiwafuata waganga na watu wa maombezi utapotea kwani wengi wamegeuza maombezi kuwa biashara. Mimi nilishaambiwa nimewekewa mauchawi lakini nikapuuza cuz sioni kama ni kweli bali ni kukubali kuwa kuna disorder katika mwili wako na ukubali kubadilika.
Asante kwa ushauri wako mkuu na pia naomba wadau waendelee kuchangia mawazo nitakuja zisoma zote
 
Hii ya kuombewa na kutolewa matakataka mengi ya kichwi mwilin mnalionaje? na baada ya muda tatizo linabaki pale pale sasa naombeni mnipatie njia mbadala jamani

Kwanza hakuna maombezi ya kulipia mara ubaki kwenye boksa, huyo mchungaji na yeye alikuwa mshirikina tu ndo sababu tatizo hakulitibu sababu ya kuendesha Sala katika kificho cha mungu huku akitumia ushirikina. Mimi mtanisamehe kwa msioamini ushirikina.

Ndugu kuna dalili hili tatizo chanzo ni ushirikina na hufanyika kwa kuchota mchanga sehemu ulipokanyanga na huo mchanga unafanyiwa mambo, naomba ubadirishe mchungaji huyo anaekuombea kwa malipo ya pesa na ukishindwa jaribu kuwaona wataalamu wa dawa za kienyeji ila uepuke kupiga ramli.

Ningekusaidia kukupeleka sehemu laiti kama ningekuwa around. Pole sana maana babu yangu kizaa mama alipatwa na hilo tatizo miaka zaidi ya ishirini iliyopita bado nikiwa shule ya msingi na lilitokea akiwa shambani alilia sana. Yeye alipopatwa na hilo tatizo tulimbeba juu na akapona ila akigusa tu ardhi (mchanga) atapiga yowe na kilio kama mtoto mchanga hadi hata mliopo karibu machozi yanawatoka.

Alipona kwa msaada wa mganga wa kienyeji.
 
Heshima kwenu wana JF,
Kuna hii tatizo la viganja vya miguu kuwaka moto na haswa tatizo linakuwa kubwa nyakati za usiku wakati wa kulala mpaka unashindwa kupata usingizi kwa wakati.

Tatizo lenyewe ilianza hivi; Mwaka 2007 wakati naenda kuanza kidato cha tano nilianza kuhisi miguu kuwa moto wakati nikiwa kwa gari na safari ilikuwa ndefu sana ilibidi nivue viatu ili nipate ahueni. Hiyo ilikuwa safari ya kutoka babato to tanga.

Hali hii iliendelea kwa muda wote huo nikiwa tanga na hasa nikiwa class either tunafundishwa au najisomea huwa navua viatu na soksi ili viganja viguse sakafu ndo angalau vinapoa
Sasa tatizo lilianza kuwa kubwa 2009 nikiwa morogoro na kila nikienda hospital inaonekana uelewa wa madaktari ni mdogo kuhusu tatizo langu.

Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila muafaka wa tatizo nilijaribu kuwashirikisha baadhi ya ndugu zangu ndo wakaniambia kuwa utakuwa umefanyiwa mambo ya kishirikina na nilielekezwa kwenda kwa mtumishi moja wa mungu hapo DAR.

Mwaka 2010 nilienda kwa mtumishi huyu anayepatina kivule na akaniombea akasema niwekewa vitu vingi sana mwilin na wachawi na akatoa midude mingi ya ajabu na nikaacha sadaka ya20,000/- angalau nilipata nafuu nikarudi moro kuendelea na masomo. Baada ya muda tatizo lilirudi ikabidi nirudi tena kwenye huduma kama mbili na nilikuwa na acha kiasi hicho hicho cha sadaka.

Sasa nikiwa kazin mwaka 2014 niliamua kwenda DAR maana tatizo ndo limeongezeka nilipofika niliambiwa sadaka ya huduma ya maombezi imepanda mpaka 60,000/-Tsh na mazaga mengine ya maombi pia lazima ninunue.

Na wakati wa maombi huwa nabaki na boksa ninapakwa mafuta na kunyiziwa mapafyum ndo anaanza kuomba na kunitoa hayo madude.

Sasa wakuu nikisharudi maskani tatizo lile lile huku nikiwa nimetumia garama kubwa ya nauli Babati to Dar and Dar to Babat, garama za logde, sadaka, chakula lakin hakuna mafanikio. Sasa wadau naombeni msaada kwa wenye ufaham wa tatizo hii.

NAWASILISHA
Hilo tatizo la kuwaka moto miguu mbali ya sababu nyingine sababu kuu ni tatizo la UTI WA MGONGO KUNA SEHEMU ZILE ZINAITWA LOWER BACK AU KARIBU NA NYONGA ILE MISHIPA INAYOPITISHA MAWASILIANO KWENDA KWENYE UBONGO NA MIGUU INAKUWA IMEBANWA....KUTOKANA NA MAGODORO TUNAYOLALIA,KUKAA SANA MUDA MREFU,AU KUSIMAMA SANA AU MAZOEZI AU KAZI NGUMU AMBAYO HUWA INAPELEKEA KUDISTURB MFUMO WA SPINAL CORD..UTI WA MGONGO.
DAWA YAKE ...KUNA AINA FULANI YA MAZOEZI AMBAYO UNAPASWA UYAFANYE AMBAYO HUWA YANAFANYA SEHEMU ILIYOBANWA(MISHIPA) KUACHIA...
TAFUTA KWENYE MTANDAO KUNA VIDEO FUPI FUPI ZINAZOELEKEZA MAZOEZI HAYO HATUA KWA HATUA...NIMESAHAU LINKI YAKE...SIO UCHAWI WALA KUROGWA..MDOGO WANGU ALISUMBULIWA SANA NA HILO..
ALIHANGAIKA MAHOSPITALINI NA MAJIBU YA KILA AINAA DAWA ZA KILA AINA ILA ZOTE HAZIKUSAIDIA MPAKA NILIPOKUWA NAPEKUA KWENYE MTANDAO NIKAKAKUTANA A HIZO VIDEO ZA MAZOEZI.
AKAFANYA AMEPONA KABISA NA HUU NI MWAKA WA NNE HAIJAWAHI RUDIA TENA.....
TAFUTA KWA KUTUMIA LUGHA YA KIINGEREZA...FOOT BURNING...
SIKUMBUKI LUGHA SAHII YA HUO UGONJWA..ILA UKIANDIAKA HIVYO UTAPATA OPTION NYINGI HALAFU UTAPATA MOJA YENYE HIZO VIDEO ZA MAZOEZI NA MAELEZO YAKE...
 
Kwanza hakuna maombezi ya kulipia mara ubaki kwenye boksa, huyo mchungaji na yeye alikuwa mshirikina tu ndo sababu tatizo hakulitibu sababu ya kuendesha Sala katika kificho cha mungu huku akitumia ushirikina. Mimi mtanisamehe kwa msioamini ushirikina. Ndugu kuna dalili hili tatizo chanzo ni ushirikina na hufanyika kwa kuchota mchanga sehemu ulipokanyanga na huo mchanga unafanyiwa mambo, naomba ubadirishe mchungaji huyo anaekuombea kwa malipo ya pesa na ukishindwa jaribu kuwaona wataalamu wa dawa za kienyeji ila uepuke kupiga ramli. Ningekusaidia kukupeleka sehemu laiti kama ningekuwa around. Pole sana maana babu yangu kizaa mama alipatwa na hilo tatizo miaka zaidi ya ishirini iliyopita bado nikiwa shule ya msingi na lilitokea akiwa shambani alilia sana. Yeye alipopatwa na hilo tatizo tulimbeba juu na akapona ila akigusa tu ardhi (mchanga) atapiga yowe na kilio kama mtoto mchanga hadi hata mliopo karibu machozi yanawatoka. Alipona kwa msaada wa mganga wa kienyeji.
Asante kwa ushauri wako lakin sijawahi wala sitarajii kwenda kwa mganga wa kienyeji
 
Hilo tatizo la kuwaka moto miguu mbali ya sababu nyingine sababu kuu ni tatizo la UTI WA MGONGO KUNA SEHEMU ZILE ZINAITWA LOWER BACK AU KARIBU NA NYONGA ILE MISHIPA INAYOPITISHA MAWASILIANO KWENDA KWENYE UBONGO NA MIGUU INAKUWA IMEBANWA....KUTOKANA NA MAGODORO TUNAYOLALIA,KUKAA SANA MUDA MREFU,AU KUSIMAMA SANA AU MAZOEZI AU KAZI NGUMU AMBAYO HUWA INAPELEKEA KUDISTURB MFUMO WA SPINAL CORD..UTI WA MGONGO.
DAWA YAKE ...KUNA AINA FULANI YA MAZOEZI AMBAYO UNAPASWA UYAFANYE AMBAYO HUWA YANAFANYA SEHEMU ILIYOBANWA(MISHIPA) KUACHIA...
TAFUTA KWENYE MTANDAO KUNA VIDEO FUPI FUPI ZINAZOELEKEZA MAZOEZI HAYO HATUA KWA HATUA...NIMESAHAU LINKI YAKE...SIO UCHAWI WALA KUROGWA..MDOGO WANGU ALISUMBULIWA SANA NA HILO..
ALIHANGAIKA MAHOSPITALINI NA MAJIBU YA KILA AINAA DAWA ZA KILA AINA ILA ZOTE HAZIKUSAIDIA MPAKA NILIPOKUWA NAPEKUA KWENYE MTANDAO NIKAKAKUTANA A HIZO VIDEO ZA MAZOEZI.
AKAFANYA AMEPONA KABISA NA HUU NI MWAKA WA NNE HAIJAWAHI RUDIA TENA.....
TAFUTA KWA KUTUMIA LUGHA YA KIINGEREZA...FOOT BURNING...
SIKUMBUKI LUGHA SAHII YA HUO UGONJWA..ILA UKIANDIAKA HIVYO UTAPATA OPTION NYINGI HALAFU UTAPATA MOJA YENYE HIZO VIDEO ZA MAZOEZI NA MAELEZO YAKE...
Asante kwa ushauri wako mzuri nitaitafuta
 
Wakuu kuna niliwekewa hapo juu kwa tatizo langu na kuna mtaalam kama MziziMkavu anafamu tiba yake kwa mliopata tiba naomba uzoefu wenu na pia naomben muiteni MziziMkavu hapa
 
Back
Top Bottom