Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Asante sana dada.Nitajaribu kupunguza mawazo ila ni ngumu kwa maana mambo ya uchumba yalinitia hasara kubwa.
Doctor isije ikawa unanipenda kimapenzi alafu unashindwa kuwa wazi unaandika kwa lugha zako
Asante sana dada.Nitajaribu kupunguza mawazo ila ni ngumu kwa maana mambo ya uchumba yalinitia hasara kubwa.
Njoo kanisa la ufufuo na uzima uombewe utapona, au ni kile kipara ulichopata? njoo Tanganyika packers kwa senior pastor Gwajima ufanye maombezi...
Pole Muamini Mungu na usali, mapito ni sehemu ya maisha ila angalia yasikupeleke pabaya, kaza moyo kila kitu kinapita hapa duniani isipokua Neno la Mungu
Hello! Mshipa wa damu wa kichwani kwangu upande wa kushoto karibu na utosi unanitia mashaka kwa maana nahisi damu kupita hapo kwa pressure kubwa mpaka nasikia mshipa ukitikisika na inanitokea kama mara 5 kwa siku tangu juzi.naombeni ushauri waungwana wenzangu.
Ebu kwenda huko wewe tapeli wa kiroho mla sadaka za watu na kukwapua wake za watu.Shindwa katika jina la YESU.
Huyu jamaa full vituko,nenda kwa gwajima na wife wako mkaombewe.
Madhara yake ya baadae yanaleta nini? uwe wazi tu mimi siogopi kifo ila tahadhari ni muhimu ukizingatia nishampokea YESU.
Njoo kanisa la ufufuo na uzima uombewe utapona, au ni kile kipara ulichopata? njoo Tanganyika packers kwa senior pastor Gwajima ufanye maombezi...
Ulimpokea yesu kwa gwajima?
eti? ndio ubaya wakupenda totoz huo, lazima utubu kwa kumsemea maneno mabaya man of God...
eti? ndio ubaya wakupenda totoz huo, lazima utubu kwa kumsemea maneno mabaya man of God...
Mwambie huyo pastor wako wa kuzimu ajiombee mwenyewe ili aache kukwapua wake za watu,aache kutapeli sadaka na uchafu wote wa kichawi.
ila Yesu yuko wapi?huko hamna yesu kuna ukahaba tu na ushetani.
inabidi uirudishe hiyo roho we unaondoka nayo tu bila kuirudisha...Mchungaji wako anagawa ROHO MPENDA TOTOZ.
Huyu jamaa full vituko,nenda kwa gwajima na wife wako mkaombewe.
Wewe ni hamnazo aka Abunuasi.
we ngojea sasa badala ya mshipa kicheze kichwa chote...