Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Asante sana dada.Nitajaribu kupunguza mawazo ila ni ngumu kwa maana mambo ya uchumba yalinitia hasara kubwa.
Njoo kanisa la ufufuo na uzima uombewe utapona, au ni kile kipara ulichopata? njoo Tanganyika packers kwa senior pastor Gwajima ufanye maombezi...