Samatime Magari
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 119
- 457
Habari zenu ndugu zangu kuna kitu naoma mnipe mwongozo wa jinsi ya kusadia watoto wenye uoga wa kupitiliza, mfano mtoto akiona mjusi au mdudu anaogopa anatetemeka sana na kama kamuona ndani anashindwa hata kukaa ndani kwa amani,
Pia wanakua wakiwa wamelala wakipata ndoto mbaya wanalia sana na kutetemeka.
Asanteni
Punguza veve sasa unamtisha mtoto. Acha kujifanya mjuaji mjuaji hakika mtoto atatuliaHabari zenu ndugu zangu kuna kitu naoma mnipe mwongozo wa jinsi ya kusadia watoto wenye uoga wa kupitiliza, mfano mtoto akiona mjusi au mdudu anaogopa anatetemeka sana na kama kamuona ndani anashindwa hata kukaa ndani kwa amani,
Pia wanakua wakiwa wamelala wakipata ndoto mbaya wanalia sana na kutetemeka.
Asanteni
Unasema mtoto, wapo watu wazima wanaogopa mijusi akiona mjusi anakurukia anakaa juu kama ngedereHabari zenu ndugu zangu kuna kitu naoma mnipe mwongozo wa jinsi ya kusadia watoto wenye uoga wa kupitiliza, mfano mtoto akiona mjusi au mdudu anaogopa anatetemeka sana na kama kamuona ndani anashindwa hata kukaa ndani kwa amani,
Pia wanakua wakiwa wamelala wakipata ndoto mbaya wanalia sana na kutetemeka.
Asanteni
Good advice,Uwe unamsogeza kidogo kidogo baadaye atazoea kumbuka mazoea hujenga tabia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna mtu mzima mpaka leo hajazoei mijusi eti, mijusi ile meupe inayokuaga ndaniUwe unamsogeza kidogo kidogo baadaye atazoea kumbuka mazoea hujenga tabia
Sent using Jamii Forums mobile app
nime experience kwa watoto ndo maana nikawalenga wao kumbe na wakubwa hili tatizo lipo pia naonaUnasema mtoto, wapo watu wazima wanaogopa mijusi akiona mjusi anakurukia anakaa juu kama ngedere
Sent using Jamii Forums mobile app
asante Je huu huoga hauwezi kuleta shida katika ukuaji wa motto hasa hasa kiakili ?Uwe unamsogeza kidogo kidogo baadaye atazoea kumbuka mazoea hujenga tabia
Sent using Jamii Forums mobile app
motto ni wa Kike na uoga wake umepitiliza so sio kawaidaHuyo mtoto jinsia gani?
Kama ni wa kike huwa ni waoga ila kama ni wa kiume huwa hawaogopi. Ipo hivyo.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
sijakuelewa mkuu ila hakuna anaetisha motto na unaposema kupunguza ujuaju unamaanisha nini ?Punguza veve sasa unamtisha mtoto. Acha kujifanya mjuaji mjuaji hakika mtoto atatulia
Usiogope hauwezi ukamletea shida kiakili wala ukuaji, ni anakua anajiami tu kutoka kwenye hatari cha kufanya wewe muaminishe kuwa hivyo vidudu havina shida tena ikiwezekana uwe unashika mbele yake ili ajue havina shidaasante Je huu huoga hauwezi kuleta shida katika ukuaji wa motto hasa hasa kiakili ?
Ni kawaida sana.motto ni wa Kike na uoga wake umepitiliza so sio kawaida
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Honey sijakutaja ila ni heri ujitaje tu, nataka hii tabia ishe banah, usiku wa manane huingi toilet kisa umemuona mjusi [emoji23][emoji23][emoji23], unanirukia kama kangedere,Ndiyo umekuja kunisema huku?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
asante Je huu huoga hauwezi kuleta shida katika ukuaji wa motto hasa hasa kiakili ?
sawa mkuu nitaongeza juhudi katika hilo sababu tayari nishaanza kulifanyia kaziUsiogope hauwezi ukamletea shida kiakili wala ukuaji, ni anakua anajiami tu kutoka kwenye hatari cha kufanya wewe muaminishe kuwa hivyo vidudu havina shida tena ikiwezekana uwe unashika mbele yake ili ajue havina shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua vizuri wakujue sasa kama una uoga kama ako katoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena umekazidi honey , am the hero daddy in the house who kills creatures that scares my wife, ain't you proud [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] of me.....Mjusi mkubwa hivyo? Mende au jongoo[emoji23][emoji23]nahama nyumba mpaka watoke nje wenyewe.
Kwahiyo haujanitaja? Sasa si kila mtu atajua reference yako ni mke wako?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
sawa sababu kuna baadhi ya watu walidai motto akiwa muoga sana hata ukuaji wa akili unakua affected negatively
Hey!! I do , I really proud of you.[emoji23][emoji23][emoji23].Itakua vizuri wakujue sasa kama una uoga kama ako katoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena umekazidi honey , am the hero daddy in the house who kills creatures that scares my wife, ain't you proud [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] of me.....
Sent using Jamii Forums mobile app