Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Itakuwa kuna mtu kawapiga kizizi vizazi vyenu vyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha wapi hukoNimependa hiyo...ooooh yaah! Imenikumbuza mbali sana...ukifika hapo mbali unachukua boda boda unaingia ndani ndani zaidi!
Imeikumbusha tule tu sound track wakati tukiwa kwenye sinema ya TUYAJENGE part one!
H a ha hayaImeikumbusha tule tu sound track wakati tukiwa kwenye sinema ya TUYAJENGE part one!
Wahenga walikuwa hawatumii soundtrack hii wakiwa kwenye action ila nashangaa hawa celebrity wa sasa...mguse tu hata 'shavu' tasikia oooh yah hata kama English ana F plus!
Ha ha ha haWahenga walikuwa hawatumii soundtrack hii wakiwa kwenye action ila nashangaa hawa celebrity wa sasa...mguse tu hata 'shavu' tasikia oooh yah hata kama English ana F plus!
Kuna watu wamepinda Mbavu zangu mie.Kwani hao uliowataja kuna aliekuwa kichaa tayari? Kama hakuna ondoa shaka ni asili yenu kama ulivyosema, muhimu ni kuzingatia maneno unayosema yasiwe na uchochezi ndani yake.
Sent using Jamii Forums mobile app