zabron k
JF-Expert Member
- Nov 11, 2015
- 943
- 1,107
Habari ya leo.
Nina mradi wa ufugaji nguruwe mix kuku wa kienyeji Kijijini kwetu Songea. Tatizo lililopo ni Nguruwe kukamata na kula kuku wanaoingia bandani kuokota punje za mahindi. Sio chini ya kuku 10 wamefanywa kitoweo.
Naomba msaada changamoto hii wafugaji mnatatuaje?
Nina mradi wa ufugaji nguruwe mix kuku wa kienyeji Kijijini kwetu Songea. Tatizo lililopo ni Nguruwe kukamata na kula kuku wanaoingia bandani kuokota punje za mahindi. Sio chini ya kuku 10 wamefanywa kitoweo.
Naomba msaada changamoto hii wafugaji mnatatuaje?