Nakubaliana na eminetia post #4.
Muone fundi atakupa muongozo.
Japo compression ikiwa chini hata kick ingesumbua pia.
shida iko kwenye mzunguko wa umeme
Kutakuwa na loose kwenye terminals za battery au acid imeisha nguvu.
Au
Sparks kutoka kwenye ignition coil hazitoshi
Carbons nyingi kwenye plug