Tatizo la Sakho ni hulka yake ya kutaka kucheza na jukwaa!!

Tatizo la Sakho ni hulka yake ya kutaka kucheza na jukwaa!!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Sakho asipoangalia ataozea kwenye benchi la simba. Anapenda sana kucheza na jukwaa kwa hiyo mara nyingi hupoteza mpira akiwa kwenye harakati zake za kucheza na jukwaa!!! Uwezo wake wa kupaka rangi mpira ni mdogo.
 
Naskia kaifungua Senagal goli la 3 Jana wakiwa wameshindwa goli5.
 
Back
Top Bottom