Tatizo la serikali hii ya Awamu ya Sita si wateule bali ni Mteuzi na Mwapishaji

Tatizo la serikali hii ya Awamu ya Sita si wateule bali ni Mteuzi na Mwapishaji

Kuongoza nchi baba sio sawa na kucheza dance,au kucheza mdundiko ukitaka kujua kwamba huyu mama SAMIA sio serious angalia wanaoteuliwa utapata majibu wala huitaji kucholewa michoro ili uelewe.tazama wanaoitwa wakuu wa mikoa,angalia mawaziri ni ishara tosha kwamba this person is totally not serious ndio maana nchi zenye wanajeshi wenye akili timamu kama Burkinafaso,Niger ,Mali na Central Africa wameamua kuwafurusha mbali viongozi wa kisiasa wapumbavu,wajinga na wasiojielewa. nchi ya Tanzania inahitaji mtu mwenye kuijua nchi hii vzr,huyu mama anadhihirisha kabisa kwamba ni mgeni kabisa ktk kuifahamu nchi hii ndio maana mambo yanaenda hovyo hovyo kabisa na wala hajali na wakati mwingine anasema bila hata AIBU eti nimeamua kukaa kimya anadhani ni sifa Hv ukiijua hii nchi unaweza kukaa kimya kweli kwa aina ya mawaziri,na hawa wakuu wa mikoa na wilaya tulionao.Very poor president.Angalia bei ya mafuta inavyotesa watanzania,watu wanaficha mafuta na wanafanya watakavyo uchumi unayumba, benki kuu haina hata dola Rais amekaa kimya eti nayo ni sifa,ukilala ukiamka unajiona ww unastahili kuendelea kuongoza nchi hii kweli.RAIS SAMIA ANAPASWA KUJITAFAKARI KAMA KWELI NCHII HII INAMTOSHA.
Aisee Tanzania ilivyo kubwa hivi eti Raisi anajitapa ameamua kukaa kimya mhii inasikitisha.

Raisi aliyeko serious hawezi kukaa kimya kwanya yanayoendelea nchini
 
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
Mnajidanganya bure.
Tatizo Kuu kabisa lililopo Tz ni kwamba "MELI TULIYONAYO NI MBOVU NA IMETOBOKA", kwa hiyo hata tukibadilisha Manahodha mara milioni wala haitasaidia kitu, ni lazima itazama tu. Na kwa bahati mbaya zaidi, hata Manahodha wenyewe wanaobadilishana kushika usukani nao pia ni wabovu, yaani Watanzania kama vile "tuna nyota ya bundi"
 
Yaani unategemea jipya kwa mtu ambaye ni mvivu?hivi hata mda wa kupitia mafaili anao?haki za binadamu ndo zimetufikisha hapa,kiukweli kuna kazi sisi ke sio za kwetu tena ukizingatia watu wa jamii yetu kiasili ni wavivu,sasa pata picha hapo
Usitegemee jipya
Mamiloo sio kwamba nakuonea gere ila wewe ni mvivu,hushughilishi ubongo wako,kwako hii nafasi unaiona kama sehemu ya kula bata tu yani
 
Back
Top Bottom