Tatizo la Simba ya sasa ni kocha mzuri au wachezaji wazuri?

Huyo jamaa kama hali ugoro basi anakunywa gongo ya mavi.
Nachelea kusema anatumia bange maana bange haimfanyi mtu kuwa zwazwa kama mleta siredi.
 
Huyo jamaa kama hali ugoro basi anakunywa gongo ya mavi.
Nachelea kusema anatumia bange maana bange haimfanyi mtu kuwa zwazwa kama mleta siredi.
Simba ndivyo walivyo, wako kama mazombie, wanaaminishwa without reasoning. Waliaminishwa kuwa Banda ni kama miquissone na kanoute ni ka Chama kabisa kabisa na kuzidi wakashangilia kama mazuzu. Wakaaminishwa kuwa Gomez ni zaidi ya Sven na Ausseum yakashangalia kama mazwazwa, wakaaminishwa kuwa billion 20 Iko kwenye account ya Simba yakagalagala kwa Raha kama mabumbwinya kumbe hakuna kitu, wakaambiwa mchakato wa mabadiliko ya Simba uko safi yakakenua kama matoinyo, Sasa ni zamu ya kocha wa real Madrid ni kiboko thana yameshaanza kuchonga.
 
Mayele unamuona ana kipaji wakati kacheza dk1347 kafunga maoli 2 wakati kagere dk 332 kafunga magoli 2,ushabiki ni sawa na utaahira
Kagere kafunga baada ya timu pinzani kuwa pungufu, hiyo factor utaitibu kwa namna gani? Mayele amefunga timu pinzani zikiwa timamu, Kagere ni timu ilipewa red card mchezaji wao nguli.
 
Kagere kafunga baada ya timu pinzani kuwa pungufu, hiyo factor utaitibu kwa namna gani? Mayele amefunga timu pinzani zikiwa timamu, Kagere ni timu ilipewa red card mchezaji wao nguli.
Kwani timu zikitimia hazifungani?
 
Nawashangaa sana mnao poteza mda wenu kubishana na mtu ambaye dhahiri anaonekana ana ugonjwa wa akili ..
Uko tayari kuliwa kiboga ukitetea upuuzi.

Unashindwa kuona mbinu za kukwepa kuweka 20b kwenye account. Mazuzu kama wewe hamuoni. Hivi hata ukimleta Simba kocha kama Guardiola ndiyo atamfundisha Bocco kufunga na onyango kuzuia Simba isifungwe? Huna akili wewe.
 
Simbaaa haina tatizo.
NI suala la matokeo 3 tu.
 
Jaribu kutumia kauli nzuri kijana hii ni JF sio kilabu cha pombe, alafu hao hao wakina bocco ndio waliowabeba nyie kimataifa mkakanyagwa nje ndani ..
 
Jaribu kutumia kauli nzuri kijana hii ni JF sio kilabu cha pombe, alafu hao hao wakina bocco ndio waliowabeba nyie kimataifa mkakanyagwa nje ndani ..
Yanga kakanyagwa 2 lakini Simba kakanyagwa 3 tena kitandani kwao, timu ipi ni dhaifu? 2 au 3?
 
"Sioni namna Pablo kocha mgeni Simba atakavyoweza kupata matokeo mazuri kwa wachezaji waliopo Simba. Kocha ni wa kawaida na wachezaji ni wa kawaida pia". Lakini kazi ya kuponya vipofu si alifanya Yesu peke yake, sasa kama we kipofu unataka nani akuponye.Nenda kwa Mwakasege wewe uombewe haya mambo yanatibika mbona.Eeh simba ina wachezaji wa kawaida,kwani we ulitaka tusajili mizimu labda au misukule ndo ujue bado tunashiriki mashindano ya kimataifa? Anyway,nasisitiza fika kwa Mwakasege au mchungaji aliye karibu, huu upofu wako bado upo katika hatua za mwanzo na maombi yatakuponya.Nakuomba ufanye hivyo tafadhari
 
Weka akiba ya maneno, higadhi mchango wako huu tutakuja kuufanyia marejeo soon
 
Pablo kaja tumemuona, tumkaribishe kwa heshima zote. Lakini swali ni je, ni nani amehusika zaidi na ujio wake?
 
Mimi ni mwana Simba ila naamini maneno usemayo ni sawa kabisa.

Tufike mahala sie washabiki tuwe wakweli tuache kujidanganya kirahisi rahisi.
Viongozi walichemsha walitakiwa kununua wachezaji wa viwango
 
Mimi ni mwana Simba ila naamini maneno usemayo ni sawa kabisa.

Tufike mahala sie washabiki tuwe wakweli tuache kujidanganya kirahisi rahisi.
Viongozi walichemsha walitakiwa kununua wachezaji wa viwango
Wachezaji kama Akina Ramos na Karim Benema wapo Simba? Hivi Leo hii Rais Marekani Biden tu tumpe urais wa Tanzania na afanye kazi na bunge la mh. Ndugai, Musukuma, kibajaji, na Baraza la mawaziri hili na wakuu wa mikoa na Wilaya hawa, Tanzania itakuwa kama Marekani?

Muda ni mwalimu mzuri, wait and see!!!, Seeing is believing!!!
 
Tunza hii post yako utairejea muda mfupi ujao, nitakukumbusha inshallah,
 
Haya matokeo unayoyaona chini ya Pablo yanatokana na wachezaji kucheza kwa nguvu kumshawishi kocha mpya kupata namba, sio ubora wa kocha. Hii ni ya muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…