Na Mwalimu Nyerere alikuwa 'specific' kabisa: kwamba Katiba iliyopo inampa madaraka makubwa kiongozi wa juu kabisa. Kama kiongozi huyo atakuwa asiye na busara, basi ataitumia akiba hiyo hiyo kuvuruga nchi."Hatuwezi tatua matatizo yetu kwa kujidanganya kwamba hayupo"Mwl.Nyerere
Kama tushagundua katiba ina tatizo basi lazima hatua kadhaa zifanyike kutatua tatizo hilo ni wazi katiba inashida hivyo lazima itafutwe dawa ya kutibu tatizo JK aligundua hili ndo maana alianza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya Kama taifa lazima tuwe na maono ya pamoja kuhusu taifa sio suala la kusubili hisani ya kiongozi au kundi fulani.
Swali la msingi ni je, Kama taifa tunahitaji katiba mpya Kama jibu ni ndio na Kuna sababu ya kuhitaji basi mchakato uanze na Kama jibu ni hapana na Kuna sababu basi hakuna haja.
Kuanguka mkuu sio kosa,kosa ni kubaki pale pale ulipo anguka.Na Mwalimu Nyerere alikuwa 'specific' kabisa: kwamba Katiba iliyopo inampa madaraka makubwa kiongozi wa juu kabisa. Kama kiongozi huyo atakuwa asiye na busara, basi ataitumia akiba hiyo hiyo kuvuruga nchi.
Kwa hiyo, hili pekee, angalau ni mwanzo, sehemu moja ya kutaka kuibadili katiba hiyo; hata kama tunakiri kwamba anaweza kuwepo kiongozi asiyeheshimu chochote kilichomo kwenye katiba.
Sasa umeandika kitu gani.?Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia kusahihisha madai ya Katiba mpya kama yanavyotolewa. Kimsingi, tatizo la Tanzania kwa wakati huu sio Katiba mpya, tatizo la Tanzania ni UTII wa Katiba iliyopo. Tumekosa watu wenye kuitii Katiba yetu ndio maana inaonekana mbovu. Katiba hata ikiwa mpya, bora kwa namna gani kama haikufuatwa na kuheshimiwa haina maana yoyote.
Hii ndio sababu wenye HOJA hii, tunashauri watu wafundishwe kutii Katiba kisha tunaweza kufikiria kuandika Katiba mpya. Kuandika Katiba mpya katika nchi ya watu wasio na desturi ya kutii Katiba ni kupoteza muda bure kwa kuwa hata hiyo mpya itavunjwa vilevile, itakosa maana.
Katika kusaidia jambo hili, tumewaeleza wenzetu kwamba jambo la Katiba ni la msingi sana lakini limefanywa kwa haraka mno bila maandalizi ya kutosha kwa hivyo litakwama. Tumewaeleza kuwa, mambo makubwa kama haya huhitaji maandalizi ya kutosha kabla ya kuanzishwa kwake. Tumewapa mfano wenzetu kwamba, hata katika uumbaji, Mungu alipokusudia kumuumba binadamu hakuanza na binadamu bali mazingira yake kwanza. Aliumba nuru na giza, anga na ardhi, maji na mimea kwa ajili ya chakula na maji ya kunywa. Halafu mwishoni akamuumba Mwanadamu, akamaliza kazi yake kwa ufanisi.
Kama Mungu angalianza kumuumba Mwanadamu kabla ya nchi, Mwandamu angalikosa mahala pa kuishi. Au kama Mungu angalitangulia kumuumba Mwanadamu kabla ya mimea na maji, bila shaka Mwanadamu angalikosa maji ya kunywa na chakula cha kula. Angalikufa na kazi ya Mungu ingalikosa maana
Huwezi kudai Katiba mpya bila kwanza kuwafundisha watu utii wa Katiba kwa sababu watavunja Katiba iliyopo ili kupata Katiba mpya. Ni kosa hilo!! Sio jambo la hekima kudai Katiba ya nchi nzima kwa kutegemea akaunt ya Kigogo Twitter au Maria Sarungi. Ni ukorofi kumtegemea Mdude Nyagali katika madai ya Katiba mpya kwa sababu Katiba ya nchi ni zaidi ya umbea na matusi. Katiba ya nchi ni jambo kubwa kabisa katika nchi lenye kuhitaji akili kubwa na utulivu wa hali ya juu. Wenye madai haya kwa sasa, wamekosa sifa hizi. Hawawezi kupata chochote!!
Pengine nioneshe udhaifu wa HOJA zinazotumiwa katika madai ya Katiba mpya ambazo zingaliweza kutatuliwa na UTII wa Katiba iliyopo;
1. Mamlaka ya Rais
Wanasema kuwa Rais amepewa mamlaka makubwa sana na Katiba hii. Nadhani, hawakufikiria sawasawa katika madai haya. Rais wa nchi ni kama Baba wa familia, mamlaka ya Rais katika nchi ni sawa na mamlaka ya Baba katika familia. Anawajibika na kila kitu kama msimamizi na mwamuzi mkuu wa familia. Ni kosa kusema Baba amepewa mamlaka makubwa katika kutimiza wajibu wake isipokuwa ikiwa atatumia mamlaka hayo vibaya. Hata ikiwa hivyo, kosa haliwezi kuwa na mwenye kutoa mamlaka isipokuwa mwenye kuyatumia vibaya. Tufundishe watu utii wa Katiba iliyopo.
Katika kuipa uzito hoja yao hii, wanatumia ibara ya 37(1) kuwa Rais atakua huru na hatalazimika kuchukua ushauri wa mtu yeyote isipokuwa kwa matakwa ya Katiba. Kwa sharti hili, Katiba haimlazimishi Rais kuchukua ushauri wa mtu lakini pia haimzuii Rais kushukua ushauri mzuri wa mtu yeyote. Kuna kosa gani katika Katiba yenye kumpa uhuru Rais katika kushauriwa na yeyote na isiyomzuia kukubali kushauriwa. Bila shaka tatizo haliwezi kuwa Katiba bali utii wa Katiba. Hatuwezi kuwa na Katiba inayomlazimisha Rais wa nchi kuchukua ushauri wa mtu kwa sababu tunaweza kuwa na Ma-Rais wengi kwa wakati mmoja. Rais mwenye kukataa ushauri mzuri ametumia vibaya uhuru wa Katiba sawa na Rais mwenye kuchukua ushauri mbaya. Katiba inayompa Rais uhuru wa kuchagua ushauri wa kuchukua kulingana na maslahi ya nchi haiwezi kuhesabika kuwa Katiba mbaya. Tuwafundishe watu UTII wa Katiba!
2. Tume huru ya Uchaguzi
Kuna kosa gani katika Katiba inayounda Tume ya Uchaguzi na kuweka sharti kwamba Tume haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au Chama chochote cha Siasa" (Ibara ya 74(11)). Kuna kosa gani na Katiba ya namna hii??
Tumesema, tatizo la nchi yetu sio Katiba mpya bali UTII wa Katiba. Mwenyekiti wa Tume anayefuata maagizo ya Kiongozi wa Serikali amevunja Katiba kama Kiongozi wa Serikali au Chama cha Siasa anayemwagiza Mwenyekiti wa Tume kitu cha kufanya. Katiba imekataza tayari, imeweka katazo kwa vyovyote hili haliwezi kuwa kosa la Katiba isipokuwa watu wasiotii Katiba ya nchi na kuwa tayari kuisimamia. Katiba inayozuia Chama cha Siasa kuingilia shughuli za tume halafu Chama kikaingilia kwa maksudi, Katiba inayoizuia Serikali kuingilia shughuli za Tume ya Uchaguzi ina kosa gani? Tunataka Katoba mpya ifanyeje ifanyeje matika hili? Hapana. Narudia, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu wataamua kuitii, kuiheshimu na kuisimamia Katiba hii, tunaweza kuwa na Katiba bora kuliko inavyofikiriwa.
3. Ukuu wa Katiba
Wenye kudai Katiba mpya, wanasema Katiba iliyopo inavunjwa hovyo. Wanatolea mfano Wabunge 19 walioko Bungeni kinyume na utaratibu. Ndio maana nasema watu hawa hawajui hata wanachokidai. Sasa kama Katiba iliyopo inavunjwa hovyo suluhu ni kupata Katiba mpya au kuzuia watu wasivunje Katiba. Hivi, kuna kosa gani katika Katiba inayotaja sifa za Mbunge (Ibara ya 67 (1) (b) kuwa lazima awe na Chama cha Siasa halafu Spika wa Bunge kwa maksudi akaruhusu Wabunge wasio na sifa kushiriki Bunge.
Tunawezaje kuilaumu Katiba kwa kosa hili ambalo imeliwekea utaratibu na sheria. Kama Spika wa Bunge angalitii Katiba hilo lisingalikuwapo. Narudia tena, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu hawakufundishwa KUTII Katiba, hata ikipatikana Katiba mpya namna gani haiwezi kuwa namaana yoyote. Itavunjwa kama inavyovunjwa hii.
#TufundisheUtiiWaKatibaKwanza.
MenukaJr.
FikraHuru!
Kwani kipindi kamati ya jaji warioba inakusanya maoni kuhusu katiba mpya walio kuwa wanatoa maoni si wananchi ina maana unataka kusema wananchi walitoa maoni kwa kitu wasicho kijua?Sasa umeandika kitu gani.?
Watu hawaitii katiba iliyopo kwakua inawalinda. Laiti kama wasingelindwa, basi wangeitii maana baada ya kumaliza muda wao, wangepelekwa mahakamani kujibu mashtaka yao.....
Siungani na wanaodai katiba mpya kwa sasa.
Mimi nina maoni kuhusu suala la katiba mpya. Wangefanya mkakati wa kuhakikisha % kubwa ya watanzania wanaifahamu na kuielewa katiba iliyopo alafu waonyeshe mapungufu iliyonayo ndipo sasa tuanze kuidai hiyo mpya kwa kuainisha makosa ya iliyopo.
Mbali na hilo, watanzania ni wagumu sana kuungana kudai kitu ambacho hata hawajui ni kitu gani
Ikiwa katiba iliyopo haisemi huyu asiyeitii (katiba iliyopo) achukuliwe hatua gani ndio ubovu wenyewe huo wa katiba iliyopo.Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia kusahihisha madai ya Katiba mpya kama yanavyotolewa. Kimsingi, tatizo la Tanzania kwa wakati huu sio Katiba mpya, tatizo la Tanzania ni UTII wa Katiba iliyopo. Tumekosa watu wenye kuitii Katiba yetu ndio maana inaonekana mbovu. Katiba hata ikiwa mpya, bora kwa namna gani kama haikufuatwa na kuheshimiwa haina maana yoyote.
Hii ndio sababu wenye HOJA hii, tunashauri watu wafundishwe kutii Katiba kisha tunaweza kufikiria kuandika Katiba mpya. Kuandika Katiba mpya katika nchi ya watu wasio na desturi ya kutii Katiba ni kupoteza muda bure kwa kuwa hata hiyo mpya itavunjwa vilevile, itakosa maana.
Katika kusaidia jambo hili, tumewaeleza wenzetu kwamba jambo la Katiba ni la msingi sana lakini limefanywa kwa haraka mno bila maandalizi ya kutosha kwa hivyo litakwama. Tumewaeleza kuwa, mambo makubwa kama haya huhitaji maandalizi ya kutosha kabla ya kuanzishwa kwake. Tumewapa mfano wenzetu kwamba, hata katika uumbaji, Mungu alipokusudia kumuumba binadamu hakuanza na binadamu bali mazingira yake kwanza. Aliumba nuru na giza, anga na ardhi, maji na mimea kwa ajili ya chakula na maji ya kunywa. Halafu mwishoni akamuumba Mwanadamu, akamaliza kazi yake kwa ufanisi.
Kama Mungu angalianza kumuumba Mwanadamu kabla ya nchi, Mwandamu angalikosa mahala pa kuishi. Au kama Mungu angalitangulia kumuumba Mwanadamu kabla ya mimea na maji, bila shaka Mwanadamu angalikosa maji ya kunywa na chakula cha kula. Angalikufa na kazi ya Mungu ingalikosa maana
Huwezi kudai Katiba mpya bila kwanza kuwafundisha watu utii wa Katiba kwa sababu watavunja Katiba iliyopo ili kupata Katiba mpya. Ni kosa hilo!! Sio jambo la hekima kudai Katiba ya nchi nzima kwa kutegemea akaunt ya Kigogo Twitter au Maria Sarungi. Ni ukorofi kumtegemea Mdude Nyagali katika madai ya Katiba mpya kwa sababu Katiba ya nchi ni zaidi ya umbea na matusi. Katiba ya nchi ni jambo kubwa kabisa katika nchi lenye kuhitaji akili kubwa na utulivu wa hali ya juu. Wenye madai haya kwa sasa, wamekosa sifa hizi. Hawawezi kupata chochote!!
Pengine nioneshe udhaifu wa HOJA zinazotumiwa katika madai ya Katiba mpya ambazo zingaliweza kutatuliwa na UTII wa Katiba iliyopo;
1. Mamlaka ya Rais
Wanasema kuwa Rais amepewa mamlaka makubwa sana na Katiba hii. Nadhani, hawakufikiria sawasawa katika madai haya. Rais wa nchi ni kama Baba wa familia, mamlaka ya Rais katika nchi ni sawa na mamlaka ya Baba katika familia. Anawajibika na kila kitu kama msimamizi na mwamuzi mkuu wa familia. Ni kosa kusema Baba amepewa mamlaka makubwa katika kutimiza wajibu wake isipokuwa ikiwa atatumia mamlaka hayo vibaya. Hata ikiwa hivyo, kosa haliwezi kuwa na mwenye kutoa mamlaka isipokuwa mwenye kuyatumia vibaya. Tufundishe watu utii wa Katiba iliyopo.
Katika kuipa uzito hoja yao hii, wanatumia ibara ya 37(1) kuwa Rais atakua huru na hatalazimika kuchukua ushauri wa mtu yeyote isipokuwa kwa matakwa ya Katiba. Kwa sharti hili, Katiba haimlazimishi Rais kuchukua ushauri wa mtu lakini pia haimzuii Rais kushukua ushauri mzuri wa mtu yeyote. Kuna kosa gani katika Katiba yenye kumpa uhuru Rais katika kushauriwa na yeyote na isiyomzuia kukubali kushauriwa. Bila shaka tatizo haliwezi kuwa Katiba bali utii wa Katiba. Hatuwezi kuwa na Katiba inayomlazimisha Rais wa nchi kuchukua ushauri wa mtu kwa sababu tunaweza kuwa na Ma-Rais wengi kwa wakati mmoja. Rais mwenye kukataa ushauri mzuri ametumia vibaya uhuru wa Katiba sawa na Rais mwenye kuchukua ushauri mbaya. Katiba inayompa Rais uhuru wa kuchagua ushauri wa kuchukua kulingana na maslahi ya nchi haiwezi kuhesabika kuwa Katiba mbaya. Tuwafundishe watu UTII wa Katiba!
2. Tume huru ya Uchaguzi
Kuna kosa gani katika Katiba inayounda Tume ya Uchaguzi na kuweka sharti kwamba Tume haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au Chama chochote cha Siasa" (Ibara ya 74(11)). Kuna kosa gani na Katiba ya namna hii??
Tumesema, tatizo la nchi yetu sio Katiba mpya bali UTII wa Katiba. Mwenyekiti wa Tume anayefuata maagizo ya Kiongozi wa Serikali amevunja Katiba kama Kiongozi wa Serikali au Chama cha Siasa anayemwagiza Mwenyekiti wa Tume kitu cha kufanya. Katiba imekataza tayari, imeweka katazo kwa vyovyote hili haliwezi kuwa kosa la Katiba isipokuwa watu wasiotii Katiba ya nchi na kuwa tayari kuisimamia. Katiba inayozuia Chama cha Siasa kuingilia shughuli za tume halafu Chama kikaingilia kwa maksudi, Katiba inayoizuia Serikali kuingilia shughuli za Tume ya Uchaguzi ina kosa gani? Tunataka Katoba mpya ifanyeje ifanyeje matika hili? Hapana. Narudia, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu wataamua kuitii, kuiheshimu na kuisimamia Katiba hii, tunaweza kuwa na Katiba bora kuliko inavyofikiriwa.
3. Ukuu wa Katiba
Wenye kudai Katiba mpya, wanasema Katiba iliyopo inavunjwa hovyo. Wanatolea mfano Wabunge 19 walioko Bungeni kinyume na utaratibu. Ndio maana nasema watu hawa hawajui hata wanachokidai. Sasa kama Katiba iliyopo inavunjwa hovyo suluhu ni kupata Katiba mpya au kuzuia watu wasivunje Katiba. Hivi, kuna kosa gani katika Katiba inayotaja sifa za Mbunge (Ibara ya 67 (1) (b) kuwa lazima awe na Chama cha Siasa halafu Spika wa Bunge kwa maksudi akaruhusu Wabunge wasio na sifa kushiriki Bunge.
Tunawezaje kuilaumu Katiba kwa kosa hili ambalo imeliwekea utaratibu na sheria. Kama Spika wa Bunge angalitii Katiba hilo lisingalikuwapo. Narudia tena, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu hawakufundishwa KUTII Katiba, hata ikipatikana Katiba mpya namna gani haiwezi kuwa namaana yoyote. Itavunjwa kama inavyovunjwa hii.
#TufundisheUtiiWaKatibaKwanza.
MenukaJr.
FikraHuru!
Crap crap crap. Katiba inayotakiwa ni katiba ya kumfanya rais asiwe Mungu mtu na hata akitaka kuivunja anashindwa. Najua upeo wako ni mdogo kiasi ambacho huwezi kuona logic.Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia kusahihisha madai ya Katiba mpya kama yanavyotolewa. Kimsingi, tatizo la Tanzania kwa wakati huu sio Katiba mpya, tatizo la Tanzania ni UTII wa Katiba iliyopo. Tumekosa watu wenye kuitii Katiba yetu ndio maana inaonekana mbovu. Katiba hata ikiwa mpya, bora kwa namna gani kama haikufuatwa na kuheshimiwa haina maana yoyote.
Hii ndio sababu wenye HOJA hii, tunashauri watu wafundishwe kutii Katiba kisha tunaweza kufikiria kuandika Katiba mpya. Kuandika Katiba mpya katika nchi ya watu wasio na desturi ya kutii Katiba ni kupoteza muda bure kwa kuwa hata hiyo mpya itavunjwa vilevile, itakosa maana.
Katika kusaidia jambo hili, tumewaeleza wenzetu kwamba jambo la Katiba ni la msingi sana lakini limefanywa kwa haraka mno bila maandalizi ya kutosha kwa hivyo litakwama. Tumewaeleza kuwa, mambo makubwa kama haya huhitaji maandalizi ya kutosha kabla ya kuanzishwa kwake. Tumewapa mfano wenzetu kwamba, hata katika uumbaji, Mungu alipokusudia kumuumba binadamu hakuanza na binadamu bali mazingira yake kwanza. Aliumba nuru na giza, anga na ardhi, maji na mimea kwa ajili ya chakula na maji ya kunywa. Halafu mwishoni akamuumba Mwanadamu, akamaliza kazi yake kwa ufanisi.
Kama Mungu angalianza kumuumba Mwanadamu kabla ya nchi, Mwandamu angalikosa mahala pa kuishi. Au kama Mungu angalitangulia kumuumba Mwanadamu kabla ya mimea na maji, bila shaka Mwanadamu angalikosa maji ya kunywa na chakula cha kula. Angalikufa na kazi ya Mungu ingalikosa maana
Huwezi kudai Katiba mpya bila kwanza kuwafundisha watu utii wa Katiba kwa sababu watavunja Katiba iliyopo ili kupata Katiba mpya. Ni kosa hilo!! Sio jambo la hekima kudai Katiba ya nchi nzima kwa kutegemea akaunt ya Kigogo Twitter au Maria Sarungi. Ni ukorofi kumtegemea Mdude Nyagali katika madai ya Katiba mpya kwa sababu Katiba ya nchi ni zaidi ya umbea na matusi. Katiba ya nchi ni jambo kubwa kabisa katika nchi lenye kuhitaji akili kubwa na utulivu wa hali ya juu. Wenye madai haya kwa sasa, wamekosa sifa hizi. Hawawezi kupata chochote!!
Pengine nioneshe udhaifu wa HOJA zinazotumiwa katika madai ya Katiba mpya ambazo zingaliweza kutatuliwa na UTII wa Katiba iliyopo;
1. Mamlaka ya Rais
Wanasema kuwa Rais amepewa mamlaka makubwa sana na Katiba hii. Nadhani, hawakufikiria sawasawa katika madai haya. Rais wa nchi ni kama Baba wa familia, mamlaka ya Rais katika nchi ni sawa na mamlaka ya Baba katika familia. Anawajibika na kila kitu kama msimamizi na mwamuzi mkuu wa familia. Ni kosa kusema Baba amepewa mamlaka makubwa katika kutimiza wajibu wake isipokuwa ikiwa atatumia mamlaka hayo vibaya. Hata ikiwa hivyo, kosa haliwezi kuwa na mwenye kutoa mamlaka isipokuwa mwenye kuyatumia vibaya. Tufundishe watu utii wa Katiba iliyopo.
Katika kuipa uzito hoja yao hii, wanatumia ibara ya 37(1) kuwa Rais atakua huru na hatalazimika kuchukua ushauri wa mtu yeyote isipokuwa kwa matakwa ya Katiba. Kwa sharti hili, Katiba haimlazimishi Rais kuchukua ushauri wa mtu lakini pia haimzuii Rais kushukua ushauri mzuri wa mtu yeyote. Kuna kosa gani katika Katiba yenye kumpa uhuru Rais katika kushauriwa na yeyote na isiyomzuia kukubali kushauriwa. Bila shaka tatizo haliwezi kuwa Katiba bali utii wa Katiba. Hatuwezi kuwa na Katiba inayomlazimisha Rais wa nchi kuchukua ushauri wa mtu kwa sababu tunaweza kuwa na Ma-Rais wengi kwa wakati mmoja. Rais mwenye kukataa ushauri mzuri ametumia vibaya uhuru wa Katiba sawa na Rais mwenye kuchukua ushauri mbaya. Katiba inayompa Rais uhuru wa kuchagua ushauri wa kuchukua kulingana na maslahi ya nchi haiwezi kuhesabika kuwa Katiba mbaya. Tuwafundishe watu UTII wa Katiba!
2. Tume huru ya Uchaguzi
Kuna kosa gani katika Katiba inayounda Tume ya Uchaguzi na kuweka sharti kwamba Tume haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au Chama chochote cha Siasa" (Ibara ya 74(11)). Kuna kosa gani na Katiba ya namna hii??
Tumesema, tatizo la nchi yetu sio Katiba mpya bali UTII wa Katiba. Mwenyekiti wa Tume anayefuata maagizo ya Kiongozi wa Serikali amevunja Katiba kama Kiongozi wa Serikali au Chama cha Siasa anayemwagiza Mwenyekiti wa Tume kitu cha kufanya. Katiba imekataza tayari, imeweka katazo kwa vyovyote hili haliwezi kuwa kosa la Katiba isipokuwa watu wasiotii Katiba ya nchi na kuwa tayari kuisimamia. Katiba inayozuia Chama cha Siasa kuingilia shughuli za tume halafu Chama kikaingilia kwa maksudi, Katiba inayoizuia Serikali kuingilia shughuli za Tume ya Uchaguzi ina kosa gani? Tunataka Katoba mpya ifanyeje ifanyeje matika hili? Hapana. Narudia, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu wataamua kuitii, kuiheshimu na kuisimamia Katiba hii, tunaweza kuwa na Katiba bora kuliko inavyofikiriwa.
3. Ukuu wa Katiba
Wenye kudai Katiba mpya, wanasema Katiba iliyopo inavunjwa hovyo. Wanatolea mfano Wabunge 19 walioko Bungeni kinyume na utaratibu. Ndio maana nasema watu hawa hawajui hata wanachokidai. Sasa kama Katiba iliyopo inavunjwa hovyo suluhu ni kupata Katiba mpya au kuzuia watu wasivunje Katiba. Hivi, kuna kosa gani katika Katiba inayotaja sifa za Mbunge (Ibara ya 67 (1) (b) kuwa lazima awe na Chama cha Siasa halafu Spika wa Bunge kwa maksudi akaruhusu Wabunge wasio na sifa kushiriki Bunge.
Tunawezaje kuilaumu Katiba kwa kosa hili ambalo imeliwekea utaratibu na sheria. Kama Spika wa Bunge angalitii Katiba hilo lisingalikuwapo. Narudia tena, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu hawakufundishwa KUTII Katiba, hata ikipatikana Katiba mpya namna gani haiwezi kuwa namaana yoyote. Itavunjwa kama inavyovunjwa hii.
#TufundisheUtiiWaKatibaKwanza.
MenukaJr.
FikraHuru!
Unajua ni % ngapi ya watanzania wanaijua katiba iliyopo?Kwani kipindi kamati ya jaji warioba inakusanya maoni kuhusu katiba mpya walio kuwa wanatoa maoni si wananchi ina maana unataka kusema wananchi walitoa maoni kwa kitu wasicho kijua?
Hoja hii ni ya msingi sana ninkubaliama nayo by 100%. Shida ni utii wa katiba hapo ndipo kwenye changamoto.Kwa kweli tatizo ni watawala kutotii misingi ya katiba na maudhui na maelekezo ya katiba yenyewe na ndiyo maana tunasema katiba iwe ya sasa au mpya inahitaji utashi wa kisiasa kuitii na hapo ndiyo kwenye tatizo. Nishauri viongozi wawe wa CCM inahitajika kuelewa kuwa katiba ndiyo mwongozo na mkataba wa watawala na wananchi iwe na mapungufu au nzuri muhimu ni kuiheshimu iliyopo. Hofu iliyopo ni kuwa katiba ya sass ni dhaifu siyo hivyo watu ndiyo dhaifu hata amri kumi za Mungu alizopewa Musa zinavunjwa ili hali tunajua hasira za Mungu. Binadamu anahitaji kurekebishwa kila wakati. Hoja nyingine ni kutoaminiana kwa viongozi wa CCM na CDM kila moja akitafuta namna ya kupenya kushika madaraka kwa kutumia katiba na upande mwingine kuwa na umakini kuwa marekebisho yoyote yanamwondoa mtawala madarakani. Hapa wapinzani waweke nia ya dhati ya mabadiliko kwa win win.Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia kusahihisha madai ya Katiba mpya kama yanavyotolewa. Kimsingi, tatizo la Tanzania kwa wakati huu sio Katiba mpya, tatizo la Tanzania ni UTII wa Katiba iliyopo. Tumekosa watu wenye kuitii Katiba yetu ndio maana inaonekana mbovu. Katiba hata ikiwa mpya, bora kwa namna gani kama haikufuatwa na kuheshimiwa haina maana yoyote.
Hii ndio sababu wenye HOJA hii, tunashauri watu wafundishwe kutii Katiba kisha tunaweza kufikiria kuandika Katiba mpya. Kuandika Katiba mpya katika nchi ya watu wasio na desturi ya kutii Katiba ni kupoteza muda bure kwa kuwa hata hiyo mpya itavunjwa vilevile, itakosa maana.
Katika kusaidia jambo hili, tumewaeleza wenzetu kwamba jambo la Katiba ni la msingi sana lakini limefanywa kwa haraka mno bila maandalizi ya kutosha kwa hivyo litakwama. Tumewaeleza kuwa, mambo makubwa kama haya huhitaji maandalizi ya kutosha kabla ya kuanzishwa kwake. Tumewapa mfano wenzetu kwamba, hata katika uumbaji, Mungu alipokusudia kumuumba binadamu hakuanza na binadamu bali mazingira yake kwanza. Aliumba nuru na giza, anga na ardhi, maji na mimea kwa ajili ya chakula na maji ya kunywa. Halafu mwishoni akamuumba Mwanadamu, akamaliza kazi yake kwa ufanisi.
Kama Mungu angalianza kumuumba Mwanadamu kabla ya nchi, Mwandamu angalikosa mahala pa kuishi. Au kama Mungu angalitangulia kumuumba Mwanadamu kabla ya mimea na maji, bila shaka Mwanadamu angalikosa maji ya kunywa na chakula cha kula. Angalikufa na kazi ya Mungu ingalikosa maana
Huwezi kudai Katiba mpya bila kwanza kuwafundisha watu utii wa Katiba kwa sababu watavunja Katiba iliyopo ili kupata Katiba mpya. Ni kosa hilo!! Sio jambo la hekima kudai Katiba ya nchi nzima kwa kutegemea akaunt ya Kigogo Twitter au Maria Sarungi. Ni ukorofi kumtegemea Mdude Nyagali katika madai ya Katiba mpya kwa sababu Katiba ya nchi ni zaidi ya umbea na matusi. Katiba ya nchi ni jambo kubwa kabisa katika nchi lenye kuhitaji akili kubwa na utulivu wa hali ya juu. Wenye madai haya kwa sasa, wamekosa sifa hizi. Hawawezi kupata chochote!!
Pengine nioneshe udhaifu wa HOJA zinazotumiwa katika madai ya Katiba mpya ambazo zingaliweza kutatuliwa na UTII wa Katiba iliyopo;
1. Mamlaka ya Rais
Wanasema kuwa Rais amepewa mamlaka makubwa sana na Katiba hii. Nadhani, hawakufikiria sawasawa katika madai haya. Rais wa nchi ni kama Baba wa familia, mamlaka ya Rais katika nchi ni sawa na mamlaka ya Baba katika familia. Anawajibika na kila kitu kama msimamizi na mwamuzi mkuu wa familia. Ni kosa kusema Baba amepewa mamlaka makubwa katika kutimiza wajibu wake isipokuwa ikiwa atatumia mamlaka hayo vibaya. Hata ikiwa hivyo, kosa haliwezi kuwa na mwenye kutoa mamlaka isipokuwa mwenye kuyatumia vibaya. Tufundishe watu utii wa Katiba iliyopo.
Katika kuipa uzito hoja yao hii, wanatumia ibara ya 37(1) kuwa Rais atakua huru na hatalazimika kuchukua ushauri wa mtu yeyote isipokuwa kwa matakwa ya Katiba. Kwa sharti hili, Katiba haimlazimishi Rais kuchukua ushauri wa mtu lakini pia haimzuii Rais kushukua ushauri mzuri wa mtu yeyote. Kuna kosa gani katika Katiba yenye kumpa uhuru Rais katika kushauriwa na yeyote na isiyomzuia kukubali kushauriwa. Bila shaka tatizo haliwezi kuwa Katiba bali utii wa Katiba. Hatuwezi kuwa na Katiba inayomlazimisha Rais wa nchi kuchukua ushauri wa mtu kwa sababu tunaweza kuwa na Ma-Rais wengi kwa wakati mmoja. Rais mwenye kukataa ushauri mzuri ametumia vibaya uhuru wa Katiba sawa na Rais mwenye kuchukua ushauri mbaya. Katiba inayompa Rais uhuru wa kuchagua ushauri wa kuchukua kulingana na maslahi ya nchi haiwezi kuhesabika kuwa Katiba mbaya. Tuwafundishe watu UTII wa Katiba!
2. Tume huru ya Uchaguzi
Kuna kosa gani katika Katiba inayounda Tume ya Uchaguzi na kuweka sharti kwamba Tume haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au Chama chochote cha Siasa" (Ibara ya 74(11)). Kuna kosa gani na Katiba ya namna hii??
Tumesema, tatizo la nchi yetu sio Katiba mpya bali UTII wa Katiba. Mwenyekiti wa Tume anayefuata maagizo ya Kiongozi wa Serikali amevunja Katiba kama Kiongozi wa Serikali au Chama cha Siasa anayemwagiza Mwenyekiti wa Tume kitu cha kufanya. Katiba imekataza tayari, imeweka katazo kwa vyovyote hili haliwezi kuwa kosa la Katiba isipokuwa watu wasiotii Katiba ya nchi na kuwa tayari kuisimamia. Katiba inayozuia Chama cha Siasa kuingilia shughuli za tume halafu Chama kikaingilia kwa maksudi, Katiba inayoizuia Serikali kuingilia shughuli za Tume ya Uchaguzi ina kosa gani? Tunataka Katoba mpya ifanyeje ifanyeje matika hili? Hapana. Narudia, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu wataamua kuitii, kuiheshimu na kuisimamia Katiba hii, tunaweza kuwa na Katiba bora kuliko inavyofikiriwa.
3. Ukuu wa Katiba
Wenye kudai Katiba mpya, wanasema Katiba iliyopo inavunjwa hovyo. Wanatolea mfano Wabunge 19 walioko Bungeni kinyume na utaratibu. Ndio maana nasema watu hawa hawajui hata wanachokidai. Sasa kama Katiba iliyopo inavunjwa hovyo suluhu ni kupata Katiba mpya au kuzuia watu wasivunje Katiba. Hivi, kuna kosa gani katika Katiba inayotaja sifa za Mbunge (Ibara ya 67 (1) (b) kuwa lazima awe na Chama cha Siasa halafu Spika wa Bunge kwa maksudi akaruhusu Wabunge wasio na sifa kushiriki Bunge.
Tunawezaje kuilaumu Katiba kwa kosa hili ambalo imeliwekea utaratibu na sheria. Kama Spika wa Bunge angalitii Katiba hilo lisingalikuwapo. Narudia tena, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu hawakufundishwa KUTII Katiba, hata ikipatikana Katiba mpya namna gani haiwezi kuwa namaana yoyote. Itavunjwa kama inavyovunjwa hii.
#TufundisheUtiiWaKatibaKwanza.
MenukaJr.
FikraHuru!
Hapa kwetu ni pagumu sana kuna watu wanajiona wana akilisa kuliko wengine nadhani tunatakiwa kupiginia katiba mpya kwa wingi wetu pia inatakiwa kila Chama cha siasa kuwa na jeshi ili kuondoa huu ujingaUmendika gazeti la mzalendo?
Uzi mrefu utazani report ya makinikia
Sasa utamfundishaje mtu kutii katiba ambayo haihusiki kumuadhibu akitenda makosa?Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia kusahihisha madai ya Katiba mpya kama yanavyotolewa. Kimsingi, tatizo la Tanzania kwa wakati huu sio Katiba mpya, tatizo la Tanzania ni UTII wa Katiba iliyopo. Tumekosa watu wenye kuitii Katiba yetu ndio maana inaonekana mbovu. Katiba hata ikiwa mpya, bora kwa namna gani kama haikufuatwa na kuheshimiwa haina maana yoyote.
Hii ndio sababu wenye HOJA hii, tunashauri watu wafundishwe kutii Katiba kisha tunaweza kufikiria kuandika Katiba mpya. Kuandika Katiba mpya katika nchi ya watu wasio na desturi ya kutii Katiba ni kupoteza muda bure kwa kuwa hata hiyo mpya itavunjwa vilevile, itakosa maana.
Katika kusaidia jambo hili, tumewaeleza wenzetu kwamba jambo la Katiba ni la msingi sana lakini limefanywa kwa haraka mno bila maandalizi ya kutosha kwa hivyo litakwama. Tumewaeleza kuwa, mambo makubwa kama haya huhitaji maandalizi ya kutosha kabla ya kuanzishwa kwake. Tumewapa mfano wenzetu kwamba, hata katika uumbaji, Mungu alipokusudia kumuumba binadamu hakuanza na binadamu bali mazingira yake kwanza. Aliumba nuru na giza, anga na ardhi, maji na mimea kwa ajili ya chakula na maji ya kunywa. Halafu mwishoni akamuumba Mwanadamu, akamaliza kazi yake kwa ufanisi.
Kama Mungu angalianza kumuumba Mwanadamu kabla ya nchi, Mwandamu angalikosa mahala pa kuishi. Au kama Mungu angalitangulia kumuumba Mwanadamu kabla ya mimea na maji, bila shaka Mwanadamu angalikosa maji ya kunywa na chakula cha kula. Angalikufa na kazi ya Mungu ingalikosa maana
Huwezi kudai Katiba mpya bila kwanza kuwafundisha watu utii wa Katiba kwa sababu watavunja Katiba iliyopo ili kupata Katiba mpya. Ni kosa hilo!! Sio jambo la hekima kudai Katiba ya nchi nzima kwa kutegemea akaunt ya Kigogo Twitter au Maria Sarungi. Ni ukorofi kumtegemea Mdude Nyagali katika madai ya Katiba mpya kwa sababu Katiba ya nchi ni zaidi ya umbea na matusi. Katiba ya nchi ni jambo kubwa kabisa katika nchi lenye kuhitaji akili kubwa na utulivu wa hali ya juu. Wenye madai haya kwa sasa, wamekosa sifa hizi. Hawawezi kupata chochote!!
Pengine nioneshe udhaifu wa HOJA zinazotumiwa katika madai ya Katiba mpya ambazo zingaliweza kutatuliwa na UTII wa Katiba iliyopo;
1. Mamlaka ya Rais
Wanasema kuwa Rais amepewa mamlaka makubwa sana na Katiba hii. Nadhani, hawakufikiria sawasawa katika madai haya. Rais wa nchi ni kama Baba wa familia, mamlaka ya Rais katika nchi ni sawa na mamlaka ya Baba katika familia. Anawajibika na kila kitu kama msimamizi na mwamuzi mkuu wa familia. Ni kosa kusema Baba amepewa mamlaka makubwa katika kutimiza wajibu wake isipokuwa ikiwa atatumia mamlaka hayo vibaya. Hata ikiwa hivyo, kosa haliwezi kuwa na mwenye kutoa mamlaka isipokuwa mwenye kuyatumia vibaya. Tufundishe watu utii wa Katiba iliyopo.
Katika kuipa uzito hoja yao hii, wanatumia ibara ya 37(1) kuwa Rais atakua huru na hatalazimika kuchukua ushauri wa mtu yeyote isipokuwa kwa matakwa ya Katiba. Kwa sharti hili, Katiba haimlazimishi Rais kuchukua ushauri wa mtu lakini pia haimzuii Rais kushukua ushauri mzuri wa mtu yeyote. Kuna kosa gani katika Katiba yenye kumpa uhuru Rais katika kushauriwa na yeyote na isiyomzuia kukubali kushauriwa. Bila shaka tatizo haliwezi kuwa Katiba bali utii wa Katiba. Hatuwezi kuwa na Katiba inayomlazimisha Rais wa nchi kuchukua ushauri wa mtu kwa sababu tunaweza kuwa na Ma-Rais wengi kwa wakati mmoja. Rais mwenye kukataa ushauri mzuri ametumia vibaya uhuru wa Katiba sawa na Rais mwenye kuchukua ushauri mbaya. Katiba inayompa Rais uhuru wa kuchagua ushauri wa kuchukua kulingana na maslahi ya nchi haiwezi kuhesabika kuwa Katiba mbaya. Tuwafundishe watu UTII wa Katiba!
2. Tume huru ya Uchaguzi
Kuna kosa gani katika Katiba inayounda Tume ya Uchaguzi na kuweka sharti kwamba Tume haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au Chama chochote cha Siasa" (Ibara ya 74(11)). Kuna kosa gani na Katiba ya namna hii??
Tumesema, tatizo la nchi yetu sio Katiba mpya bali UTII wa Katiba. Mwenyekiti wa Tume anayefuata maagizo ya Kiongozi wa Serikali amevunja Katiba kama Kiongozi wa Serikali au Chama cha Siasa anayemwagiza Mwenyekiti wa Tume kitu cha kufanya. Katiba imekataza tayari, imeweka katazo kwa vyovyote hili haliwezi kuwa kosa la Katiba isipokuwa watu wasiotii Katiba ya nchi na kuwa tayari kuisimamia. Katiba inayozuia Chama cha Siasa kuingilia shughuli za tume halafu Chama kikaingilia kwa maksudi, Katiba inayoizuia Serikali kuingilia shughuli za Tume ya Uchaguzi ina kosa gani? Tunataka Katoba mpya ifanyeje ifanyeje matika hili? Hapana. Narudia, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu wataamua kuitii, kuiheshimu na kuisimamia Katiba hii, tunaweza kuwa na Katiba bora kuliko inavyofikiriwa.
3. Ukuu wa Katiba
Wenye kudai Katiba mpya, wanasema Katiba iliyopo inavunjwa hovyo. Wanatolea mfano Wabunge 19 walioko Bungeni kinyume na utaratibu. Ndio maana nasema watu hawa hawajui hata wanachokidai. Sasa kama Katiba iliyopo inavunjwa hovyo suluhu ni kupata Katiba mpya au kuzuia watu wasivunje Katiba. Hivi, kuna kosa gani katika Katiba inayotaja sifa za Mbunge (Ibara ya 67 (1) (b) kuwa lazima awe na Chama cha Siasa halafu Spika wa Bunge kwa maksudi akaruhusu Wabunge wasio na sifa kushiriki Bunge.
Tunawezaje kuilaumu Katiba kwa kosa hili ambalo imeliwekea utaratibu na sheria. Kama Spika wa Bunge angalitii Katiba hilo lisingalikuwapo. Narudia tena, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu hawakufundishwa KUTII Katiba, hata ikipatikana Katiba mpya namna gani haiwezi kuwa namaana yoyote. Itavunjwa kama inavyovunjwa hii.
#TufundisheUtiiWaKatibaKwanza.
MenukaJr.
FikraHuru!
Acha uvivu. Mbona kwenye ubuyu hulalamiki? Na hujalazimishwa kusoma anyway 😡Umendika gazeti la mzalendo?
Uzi mrefu utazani report ya makinikia
Hauja jibu swali mkuuUnajua ni % ngapi ya watanzania wanaijua katiba iliyopo?
Ukishafahamu hilo basi utajua kwanini hii issue ya katiba watu wanaona ni kupoteza muda.
Nimetoa maoni yangu hapo. Tunaodai au wanaodai katiba mpya inatakiwa wahakikishe % kubwa ya jamii inaufahamu wa kutosha wa katiba iliyopo. Kwa maana ya mapungufu na hasara za hayo mapungufu. Wakishafanikiwa hilo, ndipo wawahamasishe hao watu wawaunge mkono kwenye kudai katiba mpya.
Kinachofelisha katiba mpya ni uelewa mdogo wa wananchi kuhusu umuhimu wa katiba kwenye uhalisia wa maisha yao
Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia kusahihisha madai ya Katiba mpya kama yanavyotolewa. Kimsingi, tatizo la Tanzania kwa wakati huu sio Katiba mpya, tatizo la Tanzania ni UTII wa Katiba iliyopo. Tumekosa watu wenye kuitii Katiba yetu ndio maana inaonekana mbovu. Katiba hata ikiwa mpya, bora kwa namna gani kama haikufuatwa na kuheshimiwa haina maana yoyote.
Hii ndio sababu wenye HOJA hii, tunashauri watu wafundishwe kutii Katiba kisha tunaweza kufikiria kuandika Katiba mpya. Kuandika Katiba mpya katika nchi ya watu wasio na desturi ya kutii Katiba ni kupoteza muda bure kwa kuwa hata hiyo mpya itavunjwa vilevile, itakosa maana.
Katika kusaidia jambo hili, tumewaeleza wenzetu kwamba jambo la Katiba ni la msingi sana lakini limefanywa kwa haraka mno bila maandalizi ya kutosha kwa hivyo litakwama. Tumewaeleza kuwa, mambo makubwa kama haya huhitaji maandalizi ya kutosha kabla ya kuanzishwa kwake. Tumewapa mfano wenzetu kwamba, hata katika uumbaji, Mungu alipokusudia kumuumba binadamu hakuanza na binadamu bali mazingira yake kwanza. Aliumba nuru na giza, anga na ardhi, maji na mimea kwa ajili ya chakula na maji ya kunywa. Halafu mwishoni akamuumba Mwanadamu, akamaliza kazi yake kwa ufanisi.
Kama Mungu angalianza kumuumba Mwanadamu kabla ya nchi, Mwandamu angalikosa mahala pa kuishi. Au kama Mungu angalitangulia kumuumba Mwanadamu kabla ya mimea na maji, bila shaka Mwanadamu angalikosa maji ya kunywa na chakula cha kula. Angalikufa na kazi ya Mungu ingalikosa maana
Huwezi kudai Katiba mpya bila kwanza kuwafundisha watu utii wa Katiba kwa sababu watavunja Katiba iliyopo ili kupata Katiba mpya. Ni kosa hilo!! Sio jambo la hekima kudai Katiba ya nchi nzima kwa kutegemea akaunt ya Kigogo Twitter au Maria Sarungi. Ni ukorofi kumtegemea Mdude Nyagali katika madai ya Katiba mpya kwa sababu Katiba ya nchi ni zaidi ya umbea na matusi. Katiba ya nchi ni jambo kubwa kabisa katika nchi lenye kuhitaji akili kubwa na utulivu wa hali ya juu. Wenye madai haya kwa sasa, wamekosa sifa hizi. Hawawezi kupata chochote!!
Pengine nioneshe udhaifu wa HOJA zinazotumiwa katika madai ya Katiba mpya ambazo zingaliweza kutatuliwa na UTII wa Katiba iliyopo;
1. Mamlaka ya Rais
Wanasema kuwa Rais amepewa mamlaka makubwa sana na Katiba hii. Nadhani, hawakufikiria sawasawa katika madai haya. Rais wa nchi ni kama Baba wa familia, mamlaka ya Rais katika nchi ni sawa na mamlaka ya Baba katika familia. Anawajibika na kila kitu kama msimamizi na mwamuzi mkuu wa familia. Ni kosa kusema Baba amepewa mamlaka makubwa katika kutimiza wajibu wake isipokuwa ikiwa atatumia mamlaka hayo vibaya. Hata ikiwa hivyo, kosa haliwezi kuwa na mwenye kutoa mamlaka isipokuwa mwenye kuyatumia vibaya. Tufundishe watu utii wa Katiba iliyopo.
Katika kuipa uzito hoja yao hii, wanatumia ibara ya 37(1) kuwa Rais atakua huru na hatalazimika kuchukua ushauri wa mtu yeyote isipokuwa kwa matakwa ya Katiba. Kwa sharti hili, Katiba haimlazimishi Rais kuchukua ushauri wa mtu lakini pia haimzuii Rais kushukua ushauri mzuri wa mtu yeyote. Kuna kosa gani katika Katiba yenye kumpa uhuru Rais katika kushauriwa na yeyote na isiyomzuia kukubali kushauriwa. Bila shaka tatizo haliwezi kuwa Katiba bali utii wa Katiba. Hatuwezi kuwa na Katiba inayomlazimisha Rais wa nchi kuchukua ushauri wa mtu kwa sababu tunaweza kuwa na Ma-Rais wengi kwa wakati mmoja. Rais mwenye kukataa ushauri mzuri ametumia vibaya uhuru wa Katiba sawa na Rais mwenye kuchukua ushauri mbaya. Katiba inayompa Rais uhuru wa kuchagua ushauri wa kuchukua kulingana na maslahi ya nchi haiwezi kuhesabika kuwa Katiba mbaya. Tuwafundishe watu UTII wa Katiba!
2. Tume huru ya Uchaguzi
Kuna kosa gani katika Katiba inayounda Tume ya Uchaguzi na kuweka sharti kwamba Tume haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au Chama chochote cha Siasa" (Ibara ya 74(11)). Kuna kosa gani na Katiba ya namna hii??
Tumesema, tatizo la nchi yetu sio Katiba mpya bali UTII wa Katiba. Mwenyekiti wa Tume anayefuata maagizo ya Kiongozi wa Serikali amevunja Katiba kama Kiongozi wa Serikali au Chama cha Siasa anayemwagiza Mwenyekiti wa Tume kitu cha kufanya. Katiba imekataza tayari, imeweka katazo kwa vyovyote hili haliwezi kuwa kosa la Katiba isipokuwa watu wasiotii Katiba ya nchi na kuwa tayari kuisimamia. Katiba inayozuia Chama cha Siasa kuingilia shughuli za tume halafu Chama kikaingilia kwa maksudi, Katiba inayoizuia Serikali kuingilia shughuli za Tume ya Uchaguzi ina kosa gani? Tunataka Katoba mpya ifanyeje ifanyeje matika hili? Hapana. Narudia, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu wataamua kuitii, kuiheshimu na kuisimamia Katiba hii, tunaweza kuwa na Katiba bora kuliko inavyofikiriwa.
3. Ukuu wa Katiba
Wenye kudai Katiba mpya, wanasema Katiba iliyopo inavunjwa hovyo. Wanatolea mfano Wabunge 19 walioko Bungeni kinyume na utaratibu. Ndio maana nasema watu hawa hawajui hata wanachokidai. Sasa kama Katiba iliyopo inavunjwa hovyo suluhu ni kupata Katiba mpya au kuzuia watu wasivunje Katiba. Hivi, kuna kosa gani katika Katiba inayotaja sifa za Mbunge (Ibara ya 67 (1) (b) kuwa lazima awe na Chama cha Siasa halafu Spika wa Bunge kwa maksudi akaruhusu Wabunge wasio na sifa kushiriki Bunge.
Tunawezaje kuilaumu Katiba kwa kosa hili ambalo imeliwekea utaratibu na sheria. Kama Spika wa Bunge angalitii Katiba hilo lisingalikuwapo. Narudia tena, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu hawakufundishwa KUTII Katiba, hata ikipatikana Katiba mpya namna gani haiwezi kuwa namaana yoyote. Itavunjwa kama inavyovunjwa hii.
#TufundisheUtiiWaKatibaKwanza.
MenukaJr.
FikraHuru!
Tatizo la watanzania sasa ni huu umasikini. Watanzania wengi wanawaza kuwa na maisha bora angalau pesa itembee mikononi mwao. Kuwaletea Katiba Mpya kwa sasa hata hawakuelewi zaidi wataona ni mpango wenu nyie wanasiasa kujinufaisha.
Turejesheni uchumi wa watu kwanza hiyo katiba itakuja tu. Mbona tumeishi miaka 10 ya Maisha Bora kwa kila Mtanzania na katiba hii hii ya zamani??
Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo!
Kwa ajili ya kumbukumbu, nimekusudia kusahihisha madai ya Katiba mpya kama yanavyotolewa. Kimsingi, tatizo la Tanzania kwa wakati huu sio Katiba mpya, tatizo la Tanzania ni UTII wa Katiba iliyopo. Tumekosa watu wenye kuitii Katiba yetu ndio maana inaonekana mbovu. Katiba hata ikiwa mpya, bora kwa namna gani kama haikufuatwa na kuheshimiwa haina maana yoyote.
Hii ndio sababu wenye HOJA hii, tunashauri watu wafundishwe kutii Katiba kisha tunaweza kufikiria kuandika Katiba mpya. Kuandika Katiba mpya katika nchi ya watu wasio na desturi ya kutii Katiba ni kupoteza muda bure kwa kuwa hata hiyo mpya itavunjwa vilevile, itakosa maana.
Katika kusaidia jambo hili, tumewaeleza wenzetu kwamba jambo la Katiba ni la msingi sana lakini limefanywa kwa haraka mno bila maandalizi ya kutosha kwa hivyo litakwama. Tumewaeleza kuwa, mambo makubwa kama haya huhitaji maandalizi ya kutosha kabla ya kuanzishwa kwake. Tumewapa mfano wenzetu kwamba, hata katika uumbaji, Mungu alipokusudia kumuumba binadamu hakuanza na binadamu bali mazingira yake kwanza. Aliumba nuru na giza, anga na ardhi, maji na mimea kwa ajili ya chakula na maji ya kunywa. Halafu mwishoni akamuumba Mwanadamu, akamaliza kazi yake kwa ufanisi.
Kama Mungu angalianza kumuumba Mwanadamu kabla ya nchi, Mwandamu angalikosa mahala pa kuishi. Au kama Mungu angalitangulia kumuumba Mwanadamu kabla ya mimea na maji, bila shaka Mwanadamu angalikosa maji ya kunywa na chakula cha kula. Angalikufa na kazi ya Mungu ingalikosa maana
Huwezi kudai Katiba mpya bila kwanza kuwafundisha watu utii wa Katiba kwa sababu watavunja Katiba iliyopo ili kupata Katiba mpya. Ni kosa hilo!! Sio jambo la hekima kudai Katiba ya nchi nzima kwa kutegemea akaunt ya Kigogo Twitter au Maria Sarungi. Ni ukorofi kumtegemea Mdude Nyagali katika madai ya Katiba mpya kwa sababu Katiba ya nchi ni zaidi ya umbea na matusi. Katiba ya nchi ni jambo kubwa kabisa katika nchi lenye kuhitaji akili kubwa na utulivu wa hali ya juu. Wenye madai haya kwa sasa, wamekosa sifa hizi. Hawawezi kupata chochote!!
Pengine nioneshe udhaifu wa HOJA zinazotumiwa katika madai ya Katiba mpya ambazo zingaliweza kutatuliwa na UTII wa Katiba iliyopo;
1. Mamlaka ya Rais
Wanasema kuwa Rais amepewa mamlaka makubwa sana na Katiba hii. Nadhani, hawakufikiria sawasawa katika madai haya. Rais wa nchi ni kama Baba wa familia, mamlaka ya Rais katika nchi ni sawa na mamlaka ya Baba katika familia. Anawajibika na kila kitu kama msimamizi na mwamuzi mkuu wa familia. Ni kosa kusema Baba amepewa mamlaka makubwa katika kutimiza wajibu wake isipokuwa ikiwa atatumia mamlaka hayo vibaya. Hata ikiwa hivyo, kosa haliwezi kuwa na mwenye kutoa mamlaka isipokuwa mwenye kuyatumia vibaya. Tufundishe watu utii wa Katiba iliyopo.
Katika kuipa uzito hoja yao hii, wanatumia ibara ya 37(1) kuwa Rais atakua huru na hatalazimika kuchukua ushauri wa mtu yeyote isipokuwa kwa matakwa ya Katiba. Kwa sharti hili, Katiba haimlazimishi Rais kuchukua ushauri wa mtu lakini pia haimzuii Rais kushukua ushauri mzuri wa mtu yeyote. Kuna kosa gani katika Katiba yenye kumpa uhuru Rais katika kushauriwa na yeyote na isiyomzuia kukubali kushauriwa. Bila shaka tatizo haliwezi kuwa Katiba bali utii wa Katiba. Hatuwezi kuwa na Katiba inayomlazimisha Rais wa nchi kuchukua ushauri wa mtu kwa sababu tunaweza kuwa na Ma-Rais wengi kwa wakati mmoja. Rais mwenye kukataa ushauri mzuri ametumia vibaya uhuru wa Katiba sawa na Rais mwenye kuchukua ushauri mbaya. Katiba inayompa Rais uhuru wa kuchagua ushauri wa kuchukua kulingana na maslahi ya nchi haiwezi kuhesabika kuwa Katiba mbaya. Tuwafundishe watu UTII wa Katiba!
2. Tume huru ya Uchaguzi
Kuna kosa gani katika Katiba inayounda Tume ya Uchaguzi na kuweka sharti kwamba Tume haitalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote au idara yoyote ya Serikali au Chama chochote cha Siasa" (Ibara ya 74(11)). Kuna kosa gani na Katiba ya namna hii??
Tumesema, tatizo la nchi yetu sio Katiba mpya bali UTII wa Katiba. Mwenyekiti wa Tume anayefuata maagizo ya Kiongozi wa Serikali amevunja Katiba kama Kiongozi wa Serikali au Chama cha Siasa anayemwagiza Mwenyekiti wa Tume kitu cha kufanya. Katiba imekataza tayari, imeweka katazo kwa vyovyote hili haliwezi kuwa kosa la Katiba isipokuwa watu wasiotii Katiba ya nchi na kuwa tayari kuisimamia. Katiba inayozuia Chama cha Siasa kuingilia shughuli za tume halafu Chama kikaingilia kwa maksudi, Katiba inayoizuia Serikali kuingilia shughuli za Tume ya Uchaguzi ina kosa gani? Tunataka Katoba mpya ifanyeje ifanyeje matika hili? Hapana. Narudia, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu wataamua kuitii, kuiheshimu na kuisimamia Katiba hii, tunaweza kuwa na Katiba bora kuliko inavyofikiriwa.
3. Ukuu wa Katiba
Wenye kudai Katiba mpya, wanasema Katiba iliyopo inavunjwa hovyo. Wanatolea mfano Wabunge 19 walioko Bungeni kinyume na utaratibu. Ndio maana nasema watu hawa hawajui hata wanachokidai. Sasa kama Katiba iliyopo inavunjwa hovyo suluhu ni kupata Katiba mpya au kuzuia watu wasivunje Katiba. Hivi, kuna kosa gani katika Katiba inayotaja sifa za Mbunge (Ibara ya 67 (1) (b) kuwa lazima awe na Chama cha Siasa halafu Spika wa Bunge kwa maksudi akaruhusu Wabunge wasio na sifa kushiriki Bunge.
Tunawezaje kuilaumu Katiba kwa kosa hili ambalo imeliwekea utaratibu na sheria. Kama Spika wa Bunge angalitii Katiba hilo lisingalikuwapo. Narudia tena, tatizo letu sio Katiba mpya bali utii wa Katiba iliyopo. Kama watu hawakufundishwa KUTII Katiba, hata ikipatikana Katiba mpya namna gani haiwezi kuwa namaana yoyote. Itavunjwa kama inavyovunjwa hii.
#TufundisheUtiiWaKatibaKwanza.
MenukaJr.
FikraHuru!