Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua ni % ngapi ya watanzania wanaijua katiba iliyopo?
Ukishafahamu hilo basi utajua kwanini hii issue ya katiba watu wanaona ni kupoteza muda.
Nimetoa maoni yangu hapo. Tunaodai au wanaodai katiba mpya inatakiwa wahakikishe % kubwa ya jamii inaufahamu wa kutosha wa katiba iliyopo. Kwa maana ya mapungufu na hasara za hayo mapungufu. Wakishafanikiwa hilo, ndipo wawahamasishe hao watu wawaunge mkono kwenye kudai katiba mpya.
Kinachofelisha katiba mpya ni uelewa mdogo wa wananchi kuhusu umuhimu wa katiba kwenye uhalisia wa maisha yao
Amini nakuambia, ccm hawatoi katiba mpya bila nguvu ya umma. Na ili umma uunge mkono madai hayo, lazima ufahamu umihimu wa hicho wanachokidai. Huwezi kuwaimbisha watu wimbo ambao hawaujui.Huwezi kusema wanaodai katiba mpya kwanza wawaeleweshe Watanzania wengi kuhusu Katiba mpya. Utawaelewashaje waliokunywa maji ya bendera ya maccm pamoja na kuwa wamepigwa na maisha sana tu umuhimu mkubwa wa Katiba mpya wakati maccm wanadai sasa siyo wakati muafaka ba wamekuwa wakitumia uhuni na janja janja kwa miaka 30 sasa ya mfumo wa vyama vingi kuikwepa katiba mpya!? [emoji15]
Amini nakuambia, ccm hawatoi katiba mpya bila nguvu ya umma. Na ili umma uunge mkono madai hayo, lazima ufahamu umihimu wa hicho wanachokidai. Huwezi kuwaimbisha watu wimbo ambao hawaujui.
Kama unadhani nadanganya, hao wanaodai katiba mpya, wataishi magereza kama sio kujeruhiwa.
Mfumo wa kiutawala wa nchi zetu sio rafiki kwasababu raia hawajui haki zao na namna ya kuzidai
Rais ni rais mzee, huyo mdude jpm alimtuliza miaka mitatu, muhimu ni kuomba vitu kwa ustaarabu, ila mmeanza kumkosea heshima mother, mnataka kumtengeneza jpm mwingine, mtafanikiwaMsiendele kumpotosha mama. Atanyolewa na kiwembe cha Mdude.
Huyo siyo mama, ni mtumishi wa serikali hajaombwa kuwatumikia wananchi.Rais ni rais mzee, huyo mdude jpm alimtuliza miaka mitatu, muhimu ni kuomba vitu kwa ustaarabu, ila mmeanza kumkosea heshima mother, mnataka kumtengeneza jpm mwingine, mtafanikiwa
Heshima kajivunja mwenyewe kwa kuvunja katiba. Na hata akivimba tupo tayari kumfanya apasuke mpk moyo wake ukate umeme kama jpm.mmeanza kumkosea heshima mother, mnataka kumtengeneza jpm mwingine, mtafanikiwa
Mimi ni mtumishi wa umma, and kama nikiwa bosi wako and haubehave, i fk you in a minuteHuyo siyo mama, ni mtumishi wa serikali hajaombwa kuwatumikia wananchi.
Kama anataka staha aachie kazi ya utumishi wa uma
Umeisoma hii katiba iliyopo?Heshima kajivunja mwenyewe kwa kuvunja katiba. Na hata akivimba tupo tayari kumfanya apasuke mpk moyo wake ukate umeme kama jpm.
Mwambieni aliamshe dude na yeye aone.
Eti tuombe kwa utaratibu! Nyoo. Utaratibu my foot.
Ndiyo. Nimeisoma.Umeisoma hii katiba iliyopo?
Mlimkimbia Magu mfs, wengine Dudai, Ubelgiji na CanadaHeshima kajivunja mwenyewe kwa kuvunja katiba. Na hata akivimba tupo tayari kumfanya apasuke mpk moyo wake ukate umeme kama jpm.
Mwambieni aliamshe dude na yeye aone.
Eti tuombe kwa utaratibu! Nyoo. Utaratibu my foot!!!
Tungewaelewa kama mngepambana na jamaa, siyo kukimbia nchiNdiyo. Nimeisoma.
Naona unajikomba kweli kwa Samia. Eti mtumishi wa umma! Usikute wewe ndiyo wale washinda juani malipo milioni haifiki kwa mwezi lkn kinywani maneno yanakutoka hatari.Mimi ni mtumishi wa umma, and kama nikiwa bosi wako and haubehave, i fk you in a minute
Mdude aliyemnyoa jpm si yupo. Na ametamka on camera kumwambie mama ajiandaye kunyolewa akiendelea kuleta za kuleta. Kisha tamka Sasa amguse anuke!!Tungewaelewa kama mngepambana na jamaa, siyo kukimbia nchi
Why did you run mfs? We are going to create another jpm in Samia? And dont run to Belgium, Dubai or Canada, Stay here and see how much we gonna fk youMdude aliyemnyoa jpm si yupo. Na ametamka on camera kumwambie mama ajiandaye kunyolewa akiendelea kuleta za kuleta. Kisha tamka Sasa amguse anuke!!