moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Una wivu hata kwa alichoandika mwenzako?Umendika gazeti la mzalendo?
Uzi mrefu utazani report ya makinikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una wivu hata kwa alichoandika mwenzako?Umendika gazeti la mzalendo?
Uzi mrefu utazani report ya makinikia
Kwanza mfano wako wa Rais na Baba ni fallaciousMjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo...
2020 Bunge la katiba ya Jamhuri ya Muungano lilipitisha sheria iliyofanya marekebisho katika The Basic Rights and Duties Enforcement Act kuzuia watu binafsi kufungua constitutional petitions mpaka upeleke kiapo kinachoonyesha umeathiri personally na huo uvunjifu wa katiba hii maana yake ilifuta rasmi Public Interest litigations kwa watu binafsi na mashirika yanayopigania haki za binadamu.Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo...
Umaskini wenyewe unaletwa na katiba mbovu viongozi haiwajibishi kutekeleza matakwa ya wananchi badala yake wanatekeleza utashi wao binafsi.Tatizo la watanzania sasa ni huu umasikini. Watanzania wengi wanawaza kuwa na maisha bora angalau pesa itembee mikononi mwao. Kuwaletea Katiba Mpya kwa sasa hata hawakuelewi zaidi wataona ni mpango wenu nyie wanasiasa kujinufaisha..
Katiba ya nchi ni roho ya nchi katiba mbovu ni sawa na mtu mwenye roho mbaya haiwezi kuleta viongozi wenye matendo mema wakati yenyewe ni mbovu.Andiko lako, naliunga mkono, pamoja na kwamba sijasoma uliyoandika humo ndani, mbali ya Kichwa cha habari na 'subtitles' zake...
Hayo ndiyo mapungufu ya kikatiba tuliyonayo yanapaswa kutatuliwa kwa kuweka mustakabali mpya wa katiba yetu.Rais anaemiliki hazina na majeshi, kama hakuna hulka ya kuheshimu taratibu zilizopo hata kama mkiwa na katiba nzuri vipi atawayumbisha tu.
Vinginevyo mtajikuta mnataka kuandika katiba nyingine kila mwaka.
Kwani hao wanaowaongoza ndiyo mliowachagua ?Nakubaliana na wewe pale mwanzoni kwamba tatizo ni kutii Katiba ingawa kwa hakika ukitaka kulipatia tatizo kwa ujumla wake ingefaa isemwe tarizo ni Kukuwepo au kutotekeleza utawala wa sheria. Hao wanaotawala kwa niaba yetu na kwa ruhusa yetu wanatakiwa wafuate Katiba na sheria, wasichaguliwe kisha baada ya hapo wanajigeuza kuwa masultani! Ufafanuzi wako baada ya utii wa Katiba sikubaliani nao. Utawala mzuri wa sheria "Good governance" ni zaidi mno ya maoni yako.
Katiba mbovu haiwezi kuzalisha sheria nzuri vile vile haiwezi kuzalisha viongozi wazuri kwa sababu viongozi hawatapatikana kwa njia halalikatiba ndio msingi ambao sheria zote zinazoendeshwa nchi zimejengwa juu yake mkuu, sheria za uwekezaji au umiliki ardhi na zinginezo zote zinatungwa kwa kuzingatia misingi ya katiba, maisha bora hayawezi kuletwa na katiba mbovu au sheria zitokanazo na katiba mbovu, ila naunga mkono hoja kuwa issue si katiba mpya issue ni kuanza kuheshimu hii iliopo kwanza
MenukaJr Asante kwa mada nzuri sana na namna ulivyowasilisha. Nakubaliana na wewe kwa 100% kuwa tatizo liko kwa elimu ya Katiba na mwenendo wa viongozi wa Kiafrika dhidi ya Katiba. Kama hatuna utamaduni wa kuheshimu Katiba hata hiyo mpya haitatusaidia.Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo..
Mimi nadhani tuanzie hapo, penye "watu kusimamia viapo vyao."Ukiwa na katiba ya kueleweka watu wanasimami viapo vyao. Hakuna polisi utamtuma akauwe watu atakubali eti kwa sababu tu wewe ni mkuu wa nchi.
Nimekusoma andiko lako toka huko juu mkuu 'Huihui', na ninakubaliana na maoni yako kwa kirefu, ingawaje ufumbuzi wa tatizo tulilonalo bado sote hatujui litakuwa ni lipi.Ilikuwaje jina la MAGUFULI mwenye rekodi mbaya ya kufuata Sheria na taratibu likapita na kuonekana ni bora kuliko wale wengine 42?
Mahakama ndio kwa sehemu kubwa huwa inawajibisha viongozi.Mimi nadhani tuanzie hapo, penye "watu kusimamia viapo vyao."
Hali ilivyo sasa hivi, si huyo tu mkubwa wao wa juu kabisa anayekiuka kiapo chake, bali wote hawa walio chini yake kuapa siku hizi ni kama mtindo tu, kwenda kujionyesha mbele za watu na kushika misahafu, bila ya kuwa na dhamira juu ya viapo hivyo wanavyokula...
Swadakta.Mahakama ndio kwa sehemu kubwa huwa inawajibisha viongozi.
Katika hali ya sasa ambayo majaji wanachaguliwa na raisi na anawabadili akijisikia inakuwa ni ngumu kumzuia mtu wa aina ya magufuli.
Agiza wine bili kwangu mleta hoja.Mjadala wa madai ya Katiba mpya unaendelea kushika hatamu. Baadhi yetu wanadai kuwa nchi inahitaji Katiba mpya, wanatoa sababu zao. Madai yao ni ya kuheshimiwa kwa sababu ni haki yao lakini ni yenye kustahili kusahihishwa kwa sababu si ya kweli. Ni uongo..
Wewe umefanya nini baada ya hiyo katiba kuvunjwa ??
napinga hoja hii kwa asilimia 999 kabisa haiwezekani katiba yenye miaka 50+ isiwe tatizo dunia imebadilika sana na hata watu wanaotarajiwa kuongozwa kwa katiba hiyo kikongwe hawaongizeki tena huwezi endesha kwa katiba iliyoundwa na raisi aliyekua hana mpinzani eti itusaidie na kutuongoza kipindi pana wapinzani tena wenye uzoefu wa miaka 20 kwenye medani za kisaiasa mkuu nawasilisha tu.Kwa namna moja uko sahihi; utii wa katiba imekuwa tatizo sugu kwa viongozi. Nini kifanyike? Au Katiba yenyewe inasemaje kwa wasiotaka kuitii? Ok, unaweza kusema asiyeridhika "aende mahakamani" kauli pendwa ya viongozi...