Mudrik Makas
New Member
- Oct 3, 2018
- 3
- 1
Jamani nimepitia Coment zenu zote kwamakini pamoja na zile za waekezaji ila kiukweli naona kwangu limekuwa tatizo zaidi nimekuwa nikisumbuliwa sana na gesi wakati wa usiku naskia njaa sana na koo kukauka kabisa halafu chembe cha moyo kuniuma sana yaani chini ya kifuwa kwakweli hata nguvu za kiume zimepunguwa jama tupeni ushauri na muache mzaha