Joenh
Member
- Oct 6, 2015
- 42
- 46
Aisee nilikua na hilo tatizo wife kidogo akimbie chumba aisee
Nikapata dawa
Unga wa mdalasini ndio dawa. Unachukua nusu kijiko kikubwa unatia kwenye glass ya maji unachanganya unakunywa. Ukitumia gas inakata saa hiyo hiyo na ukitumia mchana na jioni kwa mwezi mmoja tatizo linaisha
Asante