Hapana kiongozi mie mwenyewe kuna mzigo ulikuwa wa hivyo yaani utafanya kila njia ila ukianza mishe nipakavu mpaka unachubuka kabisa halafu cha kushangaa yeye huwa ana enjoy tu.Hakuna mwanamke aliyemkavu sehemu hizo. Labda awe ana hisia tofauti na hali halis au hakupendi kabisa. Vinginevyo maumbile yako pia yamekaa vibaya yanamtisha mwenzio.
Kwa hiyo PAka Mkuu huwa wanabadili badili sehemu za kupigiana?Siyo jambo geni sana hili. Wapo ambao siyo wakavu wakati wengine ni wakavu. Lakini ziko sababu ambazo zinaweza kumfanya awe mkavu au asiwe mkavu.
Sexual stimulation ya kutosha kupitia foreplay inasaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa ukavu. Aina ya vidonge vya uzazi anavyotumia vinaweza kuchangia kuongezeka kwa ukavu.
Zipo pia sababu nyingine kama mabadiliko kwenye hormones za kike, premature menopause, kuwa katika dozi ya dawa fulani, allergy na aina za kemikali zilizopo kwenye vitu kama sabuni, perfume, n.k na mwanamke kujikita zaidi kwenye kulea mtoto.
Pia sababu inaweza kuwa ni psychological au emotional related kama stress, woga, wasiwasi, bond aliyonayo kwako, wewe mwenyewe, n.k.
Treatment inategemea na sababu ya huo ukavu. So, the first thing ni ku-diagnose cause ya ukavu.
Usianze tuu kutumia lubricants na vaginal moisturizers kama baadhi walivyopendekeza. Tafuta kwanza chanzo cha kuwa mkavu.
Na katika kutafuta chanzo kunahitaji ushirikiano mkubwa baina yenu, ikiwa ni pamoja na kwenda kwa wataalam pamoja kama nyie wenyewe mkishindwa ku-diagnose chanzo.
Labda anza kwa kumfanya aji-feel more loved and wanted than ever kama bado hufanyi hivyo. Hapa naama kuwa kugegedana iwe sehemu ndogo sana badala ya sehemu kubwa kila mnapofanya mapenzi.
Wengine wanakuwa so turn-in na kulowa kwa kuambiwa genuinely ni jinsi gani they are wanted or desired and how good they make you feel.
Badilisheni sehemu na style za kegegedana. Siyo lazima mgegedane maskani too au kwenye kitanda hicho hicho.
Pia don't forget the tale of woman's confidence. Some like it veeeeeery dirty than most men would think of. Na mwanamke who like it dirty does not necessarily mean that she is a slut.
NB. Mie ni daktari wa mifugo (naspecialise kwenye paka), so ushauri wangu unaweza usiwafae binadamu.
KY nayo KMnakutana na visa, tumia KY
KY inatumika sana kwenye 'Ultra Sound" lakini pia ni inasaidia mno kuepusha maambukizi ya HIV kutokana na kureduce michubuko.Hii ni medical problem especially kwa wale wanawake ambao mwanaume anamcheze vya kutosha ikiwamo kwenda chumvini ikiwa pamoja na mwanamke kuweka hisia zake kwenye game lakini hawaloi, sasa hapo ndio unatakiwa utumie jelly kama KY ndio muelewe hayo mafuta sio kazi yake ni kufiria ni lubricant kwa ajili ya vagina za aina hyo.
Kuna wanaofika unahisi katoa kitone tuu, na unasikia ulaini umeongezeka baada ya dk chache ishakauka, kwa mfano sisi wazee wa mumo kwa humo unamwaga no halftime hadi inakauka kauu unaanza kutafuta mate yalipo hizo ndio kavu zinazokera.Anafika mara 5 hadi 8 halafu bado mkavu, hivi kuna aina ngapi za kufika bila kuloana, huyo atakuwa hakupendi na wala humfikishi hata kama ni mkeo believe me or not
Anafika mara 5 hadi 8 halafu bado mkavu, hivi kuna aina ngapi za kufika bila kuloana, huyo atakuwa hakupendi na wala humfikishi hata kama ni mkeo believe me or not
Katerero ndo nini mkuu, tupeni maujuzi.Piga katerero. Maji lazima yaje.
Taja na aina za vilainishi sasa, mkuu hapo juu kasema mate.
Mkuu hayo ya cherehani yamethibitishwa kweli kuwa yanaweza kutumika pia ukeni?Kama ukikosa k.y unaweza tumia hata mafuta ya cherehani (sewing mashine)au yale ya nazi (coconat oil)
Sisi hatu tatizo la ukavu DemissHali ya uke kuwa mkavu (Vaginal drynes) haswa wakati wa kujamiina, hali hii hutokea pale ambapo kichocheo (Hormone) ya Estrogen inakuwa imepungua kwa mwanamke, na tatizo hili linaweza kumtokea mwanamke yeyote yule hata kama hajakoma hedhi, uke mkavu huweza kuwa sababu ya kutumia kilainishi wakati wa Tendo la ndoa.
View attachment 1120253