TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Post hii haina tofauti na ile ya eti kipindi cha awamu iliyopita serikali ilikuwa inaficha uhaba wa mafuta ya petrol na diesel mitaani!!!!Mnataka kutuambia wakati wa Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?
Nani angethubutu kutangaza mgao?
Ubunge?!Zitto umepigwa hapa na kitu kizito kichwani hahaha
Samia yupi alieshusha umeme mpaka 27000?Futa kauli yako mkuu, hujawahi kuona mgao kweli au kwa sababu haikusemwa ni mgao? Jiulize pia ni Watu wangapi wameunganishwa baada ya Samia kushusha bei mpaka 27000,matumiz yameongezeka na production imeshuka.
Labda kama huoni hili jua na joto basi kwako itakuwa uzalishaji uko pale pale
Ni kwamba hawakumbuki au ni Praise Team?!Ukiona watu hawakumbuki ujue it was immaterial damage, sawa na kutafuta tone la maji kwenye bahari.. Ila ya sasa ni gumzo..
Jaribu kujiuliza hata kidogo why now tention iko juu sana? Kwa mizania ya idadi ya nyuzi zilizofunguliwa ndani ya siku hizi chache tu..
Hitilifu za hapa na pale hazikosekani ila zisikithiri.
Kuna mambo unasoma na kusikitika! Zitto! Dah!
Kwahiyo unabisha kwamba hakuna ukame, au?!Mkuu unashindwa kuelewa kuwa huu mgao wa umeme ni michongo ya watu
Naam, Zitto na watu wake walishaelezwa humu kuwa Levellised Cost of Energy ya hydropower ni ndogo kuliko ya umeme wa gas! Hivyo hydropower inatija kwa wananchi kuliKo umeme wa gas.View attachment 2015658
Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.
TANESCO long term plan yao ya umeme inapatikana kwenye hapo juu ☝️na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower (stigler gorge is also mentioned), gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.
Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa with very simple arguments, watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.
Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.
Bwawa la Nyerere gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.
Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.
More safe maana bomba la gas lina line moja tu hakuna back. Likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatokana na Gas kuongeza tena hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.
Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.
Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika vitu ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ni ujinga mtupu.
Mvua kuchelewa....Naomba orodha ya shughuli za kiuchumi zilizofunguliwa kisha zikasababisha upungufu mkubwa wa umeme. Orodha hiyo iambatane na kiwango cha mahitaji ya umeme yasiyotiliwa mashaka kwa kila shughuli.
Karibu.
Kwamba Magufuli alikuwa na upendo kwa watanzania nakupinga vibaya sana ! na bila shaka utatandikwa laana kwa uongo wako huu .Ukweli ni kitu adimu sana kwenye ulimwengu wa siasa.
Magufuli alikuwa na upendo wa kipekee sana na Tanzania na kizuri zaidi Magufuli alikua na uwezo mkubwa wa kuelewa na kutafakari mambo. Lazima tukubaliane na uhalisia wa sasa kwamba tumempoteza kiongozi(head) hivyo kila mwenye dili lake anatumia ujuzi wa lugha na ushawishi wa namna yake kutwist ukweli ili agenda yake ipite.
Magufuli aliweka wazi ni hatari sana nchi kupoteza control kwenye eneo nishati hivyo kupunguza utegemezi ndio maana alifufua agenda ya strigler. Na aliamua kwenda kwenye maji kwa kutambua eneo ya natural gas limeshakamwata na wabia (kampuni za nje) hivyo tutakuwa tumepoza eneo hilo.
Lazima uelewe taifa lina idadi kubwa ya viongozi wabinafsi na wala rushwa hivyo ni nadra kwao kufikiri miaka 50 baada ya leo na kukubali kupokea 10% ambazo zinazaa manufaa binafsi na mzigo mkubwa kwa nchi.
Hizi nazo ni propaganda ambazo Zitto anajiingiza mzima mzima na kujiweka ndani ya boksi.By Zitto kupitia twitter:
Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.
Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Halafu hizo estimates wanazotumia ni za 2010, walau tunajua gharama za bwawa la Nyerere $2.9 billion ni current costs.Naam, Zitto na watu wake walishaelezwa humu kuwa Levellised Cost of Energy ya hydropower ni ndogo kuliko ya umeme wa gas! Hivyo hydropower inatija kwa wananchi kuliKo umeme wa gas.
Halafu yeye ni mchumi, ndiyo maana nakuunga mkono kuwa anatumia namba kusway opinions za watu bila uangalifu!
Ukitaka kuwaelewa vizuri hawa watu (akina Zitto), jitahidi kuelewa lugha rasha rasha kama hiyo ya "kufungua nchi" wanayoitumia 'subconsciously' bila ya kustuka watakavyoeleweka.Au mimi ndo sijaelewa eti mama kufungua nchi ndo umeme umekuwa on demand mpaka kufikia level ya magao!?
Kama unakumbuka serikali ilishasema mara nyingi kuwa umeme uliopo ni zaidi ya matumizi ya tanzania yote na wakasema kuna ziada ya mgw 270 au zaidiBy Zitto kupitia twitter:
Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.
Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Mnataka kutuambia wakati wa Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?
Nani angethubutu kutangaza mgao?