Sawa mzee ila maji na umeme tunakosa wote ikibidi na majenereta yao utanunua! Alafu sikia hii, 5 yrs ago hiki hakikutokea! Endeleeni kusikiliza hii chain ya upigaji. Tulifikiri ni kilio cha machinga, sasa wote tunalia na bado mbona .....Mataga lazima usikitike
Kupanga ni kuchagua SG ingekamilika tungekuwa mbali mboBy Zitto kupitia twitter:
Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.
Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!Ukweli ni kitu adimu sana kwenye ulimwengu wa siasa.
Magufuli alikuwa na upendo wa kipekee sana na Tanzania na kizuri zaidi Magufuli alikua na uwezo mkubwa wa kuelewa na kutafakari mambo. Lazima tukubaliane na uhalisia wa sasa kwamba tumempoteza kiongozi(head) hivyo kila mwenye dili lake anatumia ujuzi wa lugha na ushawishi wa namna yake kutwist ukweli ili agenda yake ipite.
Magufuli aliweka wazi ni hatari sana nchi kupoteza control kwenye eneo nishati hivyo kupunguza utegemezi ndio maana alifufua agenda ya strigler. Na aliamua kwenda kwenye maji kwa kutambua eneo ya natural gas limeshakamwata na wabia (kampuni za nje) hivyo tutakuwa tumepoza eneo hilo.
Lazima uelewe taifa lina idadi kubwa ya viongozi wabinafsi na wala rushwa hivyo ni nadra kwao kufikiri miaka 50 baada ya leo na kukubali kupokea 10% ambazo zinazaa manufaa binafsi na mzigo mkubwa kwa nchi.
Na wewebtwambie ni bwawa gani limekauka maji?Tukubaliane kwanza kuna ukame au hakuna ukame?
Kuna watu wanapita hivi hivi bila kutazama uzi wako, hii yote kwa kuwa wanamchukia Rais wa sasa. Ukitaka kuwatawala watanzania wape maneno matamu hata kama uongo.Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!
Nyuzi nyingine....
1. Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya December 05, 2020
2. Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini - December 21, 2020
3. Wilaya ya Ubungo kuna mgao wa umeme? Mpaka sasa hakuna umeme March 01, 2021
4. TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini March 04, 2021
Hayo ni malalamiko yaliyotokea sehemu mbalimbali za nchi ndani ya miezi 3 TU!!!
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe. Hata Adolf Hitler Wajerumani wanamheshimu kwa kuchangia sana ukuwaji wa teknolojia ya viwanda vikubwa.Mnataka kutuambia wakati wa Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?
Nani angethubutu kutangaza mgao?
Hao wanaomtupia lawama Magu ni wajinga pia, Magu ameshakufa, ni kuachana naye, tulio hai tusonge mbele, harudi tena! Na nyie mnaopambana kumtetea Marehemu as if yupo hai mnakosea pia, Mnapotaka kumgeuza Magu kuwa SI UNIT ya kutawala nchi hii mnakosea zaidi, hakuwa perfect!! Kinachoshangaza ni nyie wapambe kushupalia haya mambo, Sijawahi kumsikia Samia hata siku moja akimuongelea vibaya Magu, zaidi ya kummwagia sifa!! Siku Samia akiongea chochote kibaya kuhusu aliyekuwa bosi wake hapo mnaweza kuja juu na kutoa mapovuHakuna mtu analazimisha Samia atawale kama Magu!
Watu wanalalamika kuona kuna uhaba wa maji na umeme alafu lawama anatupiwa Magu ambae kipindi chake hatukuona magao kabia
Tofauti, lakini yanatokea kipindi kimoja.....Why hayo matatizo yote yatokee kipindi kimoja? Kwa nini miaka yote hayajatokea kwa pamoja namna hii? Lazima kuna common cause inayounganisha hayo matatizo dunia nzimaKama wewe ni msomi sababu za uhaba wa maji huko china kulingana na hii habari ni tofauti kabisa na hizi zetu hapa
Kama unakumbuka serikali ilishasema mara nyingi kuwa umeme uliopo ni zaidi ya matumizi ya tanzania yote na wakasema kuna ziada ya mgw 270 au zaidi
Sasa je nini kimepunguza hizo ziada mpaka kuwepo na upungufu?
Ni.bwawa gani lina zaidi ya mgw 260 hapa tz na limesimama kufanya kazi?
Kauli ya waziri mara ya kwanza ni kuwa wanafanya ukarabati et watu waliogopa kukata umeme.
Mara ya pili wanasema ni kupungua kwa maji
Sasa jiulize hizo kauli kinzani zina maana gani kama sio kutaka kutupiga ili wanunue mafuta mazito kwa bei kubwa ili wagawane chao?
Wazili hajui nini tatizo la umeme na kesho atasema gesi imepungua.
Lengo amchafue magufuli kisha atupige wadanganyika huku tukilaumu kitu kisichokuwapo.
Kwa hiyo hata kutoa taarifa kuwa wanakata umeme nalo ni kosa la magufuli?
Makamba na zito sasa wanataka kuitafuna tanesco,
?walianz kutaka kuibinafsisha tena wamekuja na mambo mengine.
Kumbe hujui lolote...Magufuli aliingia madarakani 2015, hiyo "migao yako" ni baada ya miaka mitano mbele, nasema migao yako kwasababu naona hao waandishi walikuwa wanauliza kama mgao upo, kama umeme ulikatika kwa ajili ya matengenezo wangejuaje?
Hawa marafiki zako wameingia ikulu juzi tu, leo wana miezi 8 wameshatuletea habari za mgao, combination ya Zitto na Makamba nani mwenye akili timamu ataiamini? hawa wanatuletea tabia zilezile za awamu ya JK kutupeleka kwenye richmond nyingine, ni walaghai wanajulikana
Inamaana miradi ya umeme waliyokuwa wanaizindua ,nyuma na mbele ya mikamera yalikuwa ni maigizo? duu! mnanikumbusha 'ze comedy'By Zitto kupitia twitter:
Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.
Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Na wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!Kama unakumbuka serikali ilishasema mara nyingi kuwa umeme uliopo ni zaidi ya matumizi ya tanzania yote na wakasema kuna ziada ya mgw 270 au zaidi
Sasa je nini kimepunguza hizo ziada mpaka kuwepo na upungufu?
Ni.bwawa gani lina zaidi ya mgw 260 hapa tz na limesimama kufanya kazi?
Kauli ya waziri mara ya kwanza ni kuwa wanafanya ukarabati et watu waliogopa kukata umeme.
Mara ya pili wanasema ni kupungua kwa maji
Sasa jiulize hizo kauli kinzani zina maana gani kama sio kutaka kutupiga ili wanunue mafuta mazito kwa bei kubwa ili wagawane chao?
Wazili hajui nini tatizo la umeme na kesho atasema gesi imepungua.
Lengo amchafue magufuli kisha atupige wadanganyika huku tukilaumu kitu kisichokuwapo.
Kwa hiyo hata kutoa taarifa kuwa wanakata umeme nalo ni kosa la magufuli?
Makamba na zito sasa wanataka kuitafuna tanesco,
?walianz kutaka kuibinafsisha tena wamekuja na mambo mengine.
Nchi ilikuwa mali binafsi ya mtuBy Zitto kupitia twitter:
Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.
Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Katiba yetu mbovu snInamaana miradi waliyokuwa wanaizindua ,nyuma na mbeke ya mikamera yalikuwa ni maigizo duu! mnanikumbusha 'ze comedy'
Huyu alikuwa mpiga dili tupuNa wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!
Hivi katika pitapita yako, unafahamu chanzo chochote kipya kilichoongezwa wakati wa JPM na kikawa kinazalisha umeme hivi sasa ulio kwenye grid ya taifa?
Lakini ndo yale yale... yaani serious issues zinapokuwa raised, oh wanalenga kumchafua Magufuli wakati kila mwenye uelewa anafahamu kwamba Magufuli alipiga chini miradi yote ambayo hivi sasa ingekuwa imeshakamilika, na akahamishia nguvu kwenye Bwawa la Nyerere mradi ambao tungetakiwa kuanza moja!!
Na alifanya hayo wakati taifa limeshaingia gharama ya kujenga bomba kutoka Mtwara, na ambacho kilibaki ni kujenga mitambo tu ya kuzalisha umeme pale Kinyerezi... Je, alijenga hiyo mitambo ukiacha Kinyerezi II ambayo alikuta mchakato umeshaanza?
Kwa hiyo wewe unamwamini.nani akisema kuna kitu flani basi unamwamini lakini kwa tanzania huamini?Na wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!
Hivi katika pitapita yako, unafahamu chanzo chochote kipya kilichoongezwa wakati wa JPM na kikawa kinazalisha umeme hivi sasa ulio kwenye grid ya taifa?
Lakini ndo yale yale... yaani serious issues zinapokuwa raised, oh wanalenga kumchafua Magufuli wakati kila mwenye uelewa anafahamu kwamba Magufuli alipiga chini miradi yote ambayo hivi sasa ingekuwa imeshakamilika, na akahamishia nguvu kwenye Bwawa la Nyerere mradi ambao tungetakiwa kuanza moja!!
Na alifanya hayo wakati taifa limeshaingia gharama ya kujenga bomba kutoka Mtwara, na ambacho kilibaki ni kujenga mitambo tu ya kuzalisha umeme pale Kinyerezi... Je, alijenga hiyo mitambo ukiacha Kinyerezi II ambayo alikuta mchakato umeshaanza?
Usiwe zwazwa kama huyo Zito wako!
Habari za watu kuokotwa kwenye viroba ulitangaziwa ila ya mgao wa umeme usitangaziwe?
Hivi umeme ukikatika watu hawawezi kujua?
Kongole kwa uchambuziView attachment 2015658
Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.
TANESCO long term plan yao ya umeme inapatikana kwenye link hapo juu [emoji3516]na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower (stigler gorge is also mentioned), gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.
Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa with very simple arguments, watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.
Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.
Bwawa la Nyerere gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.
Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.
More safe maana bomba la gas lina line moja tu hakuna back. Likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatokana na Gas kuongeza tena hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.
Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.
Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika vitu ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ni ujinga mtupu.
LAKINI TUKUBALIANE PIA WAKATI ANAINGIA JK UKAME ULIKUWA MKALI KWA KIWANGO KIKUBWANa kwa nini kipindi Cha kikwete umeme ilikuwa unakatika Sana?
Sababu nayo ni awamu ya 3?
Kuna mitambo ililetwa ya kuzalisha umeme wa gesi kama huelewi nenda kaulize tanesco na ndio maana walizima mitambo ya mafuta baada ya kukamilisha ujenzi wa hiyo mitambo na kupanua kinyelezi one na two ili kuongeza mgwt,Na wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!
Hivi katika pitapita yako, unafahamu chanzo chochote kipya kilichoongezwa wakati wa JPM na kikawa kinazalisha umeme hivi sasa ulio kwenye grid ya taifa?
Lakini ndo yale yale... yaani serious issues zinapokuwa raised, oh wanalenga kumchafua Magufuli wakati kila mwenye uelewa anafahamu kwamba Magufuli alipiga chini miradi yote ambayo hivi sasa ingekuwa imeshakamilika, na akahamishia nguvu kwenye Bwawa la Nyerere mradi ambao tungetakiwa kuanza moja!!
Na alifanya hayo wakati taifa limeshaingia gharama ya kujenga bomba kutoka Mtwara, na ambacho kilibaki ni kujenga mitambo tu ya kuzalisha umeme pale Kinyerezi... Je, alijenga hiyo mitambo ukiacha Kinyerezi II ambayo alikuta mchakato umeshaanza?