Tatizo la Umri laendelea kuitesa Yanga: Yang'olewa Klabu Bingwa Afrika -CAF

Tatizo la Umri laendelea kuitesa Yanga: Yang'olewa Klabu Bingwa Afrika -CAF

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Hatimaye Safari ya Yanga katika Mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAF imefikia tamati Baada ya Kuruhusu matokeo ya suluhu katika uwanja wa nyumbani.

Pamoja na jitihada kubwa walizofanya wachezaji na hali ya Upambanaji waliyoionyesha lakini ilionekana wazi baadhi ya Wachezaji miili inakataa na hivyo vijana wa Mc Alger kufanikiwa kutibua mipango kwa uharaka huku Wachezaji wa Yanga Wakiwa wanashangaa.

Yote kwa Yote, sisi Wananchi tunawapa Big up wachezaji wetu kwa kupambana ila wakae wakijua kuna panga pangua inakuja.! Safari hii panga pangua itazingatia umri.! Ni hayo tu.
 
Hatimaye Safari ya Yanga katika Mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAF imefikia tamati Baada ya Kuruhusu matokeo ya suluhu katika uwanja wa nyumbani.

Pamoja na jitihada kubwa walizofanya wachezaji na hali ya Upambanaji waliyoionyesha lakini ilionekana wazi baadhi ya Wachezaji miili inakataa na hivyo vijana wa Mc Alger kufanikiwa kutibua mipango kwa uharaka huku Wachezaji wa Yanga Wakiwa wanashangaa.

Yote kwa Yote, sisi Wananchi tunawapa Big up wachezaji wetu kwa kupambana ila wakae wakijua kuna panga pangua inakuja.! Safari hii panga pangua itazingatia umri.! Ni hayo tu.
Kweli..kuna ile moment Aucho anatakiwa kupiga faulo lakini mwili hautaki..Kaja Diarra kabutua hukoo
 
Kweli..kuna ile moment Aucho anatakiwa kupiga faulo lakini mwili hautaki..Kaja Diarra kabutua hukoo

Ukishakuwa umejaza wachezaji Wazee ni kama unamiliki gari La mkaa...!

Tripu moja shamba , tripu inayofuata gereji...!

Sasa Wachambuzi mchongo ndo Walikuwa wanawadanganya Yanga eti Wamejipata..!

Tatizo sio Kujipata au kujikosa .Pale Tatizo umri wachezaji wengi ni 'age go'..!

Mtu kama Aucho unyumbulifu hakuna na ameongeza kilo. Yao injuries kila siku haziponagi kwa Wazee!
 
IMG_20250118_193130.jpg
 
Back
Top Bottom