Tatizo la Umri laendelea kuitesa Yanga: Yang'olewa Klabu Bingwa Afrika -CAF

Tatizo la Umri laendelea kuitesa Yanga: Yang'olewa Klabu Bingwa Afrika -CAF

Ahmed Ally alisema tusubirie Mambo yachanganye huko mbele MEMKWA watajulikana tu...!

Mambo yameanza kujidhihirisha. Yanga imeshindwa kutoboa Hatua ya makundi.!
 
Ni jana tu wamemtambulisha mchezaji na moja ya kauli waliyotoa eti anaenda kupima watu umri. Ukimuangalia mchezaji mwenyewe karudisha umri wake kwa miaka 10.

Mechi ijayo ya NBC uto inapoteza.
 
ILa naye Hamisa Mobeto Kachangia...!

Lile gundu alilompatia Aziz Ki ni Kiboko...haliishi mapema.! Yule akaoge Maji ya Bahari.
La Sivyo dogo ndo anaisha hivyo tunampoteza tukimuona hivi hivi..
 
ILa naye Hamisa Mobeto Kachangia...!

Lile gundu alilompatia Aziz Ki ni Kiboko...haliishi mapema.! Yule akaoge Maji ya Bahari.
La Sivyo dogo ndo anaisha hivyo tunampoteza tukimuona hivi hivi..
Keshaisha anafosi tu mpira kwa sasa.
 
Wachambuzi mchongo wanawaingiza chaka eti Mzize anatakiwa na Wydad.!

Mzize huyu wa nafasi za kufunga 20 yeye apate moja nani atamuhitaji..!
 
Back
Top Bottom