Ftc
Senior Member
- Apr 30, 2017
- 144
- 114
Kwenye maduka ya vipodozi tu mkuuHii sabuni inapatikana wapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye maduka ya vipodozi tu mkuuHii sabuni inapatikana wapi mkuu?
Duka lolote la vipodozi utaikutaHii sabuni inapatikana wapi mkuu?
Hii ina madhara kaka niliwahi kutaka kutumia wataalamu wakanikataza wanadai hii hainyoi ina remove na mizizi kabisaaa hivyo kina uwezekano wa saratani*Magic Shave* ndo kiboko ya kila kitu, tafuta io....
Wataalam? Me mbna naitumia n ndevu uwa znarud kam kawaida mkuu? By the way kam zna tatzo mbna madukan zpo n znatumika kwa wingi tu ...Hii ina madhara kaka niliwahi kutaka kutumia wataalamu wakanikataza wanadai hii hainyoi ina remove na mizizi kabisaaa hivyo kina uwezekano wa saratani
Au kama ni wembe, anyolee mara moja tu na asurudie kamwe. Ukiurudia, ndo matokeo yake hutengeneza hayo mapere,Dawa ni kuacha kunyolea wembe. Nyolea mashine au magic...
Na kukusababishi imvi mapema pia.Hii ina madhara kaka niliwahi kutaka kutumia wataalamu wakanikataza wanadai hii hainyoi ina remove na mizizi kabisaaa hivyo kina uwezekano wa saratani
Mwanao ana umri gani?? Ana ndevubtayari??Cheki bidhaa za oriflame au makampuni mengine ya bidhaa za aina hiyo huenda ukapata ufumbuzi kama mimi zilivyonisaidia kwa mtoto wangu kuna mafuta nilinunua ikamaliza matatizo yote hadi yaliyokua yanaleta shida kutibiwa hospitalini