Spectophotometer
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 295
- 468
Acha kunyoa ndevu wewe beberu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inanilazimu kufanya hivyokwann unyoe ndevu kwanza?
Asante mkuuKama huna after shaving lotion, tumia "tincture iodine" ni ile dawa ya madonda mabichi, chukua Cotton bud na chovya katika hiyo tincture iodine na pakaze sehemu yenye upele (kidevuni) baada ya kunyoa au hata kama hujanyoa, hii dawa pia inaweza kutumiwa na wale wanaisumbuliwa na vipele chini ya kichogo baada ya kunyoa nywele. Ila usipokuwa muangalifu unaweza kuchafua nguo zako, unatakiwa uwe mwangalifu usichafue nguo nk,
Hii "tincture iodine" pia hutumika kuondoa "skin tags" (viotea kwenye ngizo), watu wengi hawajui kuwa hii sio dawa kwa ajili ya madonda mabichi pekee.
Dawa nyingine ya kuondoa vipele ya ndevu:- chukua kikopo cha mafuta mgando (petroleum jelly etc) changanya na vijiko 3 vya asali mbichi na vijiko viwili vya Mafuta ya nazi, koroga huo mchanganyiko na uwe ukipaka kila baada ya kunyoa ndevu.
Pia hakikisha kila unapotaka kunyoa hiyo mashine yako uifanyie sanitazation na methylated spirit nk, pia tumia nyembe zilizokuwa standard zilizokuwa na hadhi kama Gillette au Laser nk. hope help.
Naipataje hiyo mkuuMkuu nakupa dawa imenisaidi Sana hakika utanikumbuka tumia KIBIRITI UPELE unapo maliza kunyoa paka kidevu chote zinapoishia ndevu,usiache kuleta marejesho
Naipataje hiyo mkuuUkiweza kupata hii kitu umetatua tatizo. Nilikuwa na shida hiyo kwa miaka mingi na hili ndio likawa suluhisho.
![]()
Tend Skin® Solution 4oz bottle
A convenient size that you can take with you on the go. The 4oz bottle fits neatly in your purse so you can take it to the gym, on a quick trip, or to the pool... any place you do some last minute shaving. Tend Skin Solution WILL help you reduce the appearance of unsightly bumps, ingrown hairs...tendskinstore.com
Nashukuru nitajaribu kufanya hivyoChukua aspirini...Loweka kwenye maji..
Then chukua kitambaaa Safi au pamba..chovya kwenye huo mchanganyiko wa Asprini na maji...usiwekee maji mengi Sana
Then pakaa kwenye ENEO husika baada ya kunyoa.
Hiyo dawa naipata wapi mkuuMkuu nakupa dawa imenisaidi Sana hakika utanikumbuka tumia KIBIRITI UPELE unapo maliza kunyoa paka kidevu chote zinapoishia ndevu,usiache kuleta marejesho
nimejaribu
Hii yapatikana duka gani kwa jiji la DarMkuu unatumia wembe ? kama unatumia wembe acha tumia mashine kama wanazotumia vinyozi. baada hapo pakaza B&C SKIN TIGHT ni kiboko hii kesho yake tu ukiamka utaona tofauti.endelea siku mbili tatu vitapotea kabisa acha kutumia siku ukikata ndevu tena pakaza kidogo hivyo hivyo na utaona tofauti yake.
Hii inafanya kazi vizuri sanaUkimaliza kunyoa chemsha maji adi yawe ya moto sana. Chukua taulo Au kitambaa laini chovya kwene ayo maji jikande kidevuni. Hakikisha joto linapenya sawasawa kwene ngoz ya kidevu. Kama Kuna madonda akikisha ayo maji unayaweka chumvi.
Tupo wengiNasumbuliwa na vipele baada ya kunyoa ndevu shingoni. Before nlikuwa natumia Skderm lakini sioni kwa sasa tena ikinifaa. Nadhani imeshanizoea.
Matumizi ya spirit pia after shaving hayajawa na manufaa kwangu. Napomaliza kunyoa kesho yake najikuta kuna vipele vingi shingo hadi chini ya taya. Binafsi napendelea kuondoa ndevu zote za chini na mustache pia nikiacha tu sharafa.
Naombeni solution ya hili ili nibaki kuwa na ngozi yangu laini kama awali. Natumia Gillete kunyolea na sometime machine hizi za kisasa cha kucharge. Bado shida inakuwepo. Msaada please.