Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Wana jf msaada kwa anayeelewa dawa ambayo inafaa kutumia nikishave ndevu maana natokwa na vipele nimejaribu kubadilisha saloon lakini wapi(nawasilisha kwenu kwa ushauri)

nathani unaponyoa una-create favorable environment for bacteria growth. Hivyo you need to restrict bacteria growth. tumia after shave. Actually after shave nyingi zina around 70% ethyl alcohol. Mimi huwa natumia Kiroba(Konyagi) muda mwingine kama after shave imeisha bila kujua. Konyagi ni ethyl alcohol in a specified dilution.
 
Tumia GENTLEMAN'S PRIDE
Ina Aloevera iliyo nzuri kupakwa baada ya kunyoa (Aftershave)
Huboresha ngozi na haina alcohol. Ni nzuri sana kupaka kwenye ngozi ya aina yoyote ile baada ya kunyoa. Huondoa athari zote mbaya zitokanazo na kunyoa ndevu na wembe kwenye uso, shingo na sehemu nyingine za mwili.
Kwa maelezo ya namna inavyopatika niandikie kwa email: healthwealthfirst@gmail.com pia namba 0713889162
 
jaribu kutumia gillete machine mashine zenye viwepe vyake.ukinyoa mwenyewe osha kwa maji ya vuguvugu.pakaa poda na spirit inasaidia
 
jaribu kutumia gillete machine mashine zenye viwepe vyake.ukinyoa mwenyewe osha kwa maji ya vuguvugu.pakaa poda na spirit inasaidia
 
Mara bda ya kunyoa paka mchanganyko wa jivu,acha likauke kwa dk 15 thn osha kwa maj saf.fanya hvo kwa siku mbili
 
Dawa ya vipere ni maji ya moto tu baada ya kunyowa, loweka kitauro kwenye maji ya moto halafu kikamuwe na ukande sehemu ulizonyowa, lakini hakikisha maji yanakuwa ni ya moto sana ilimradi hayakubabuwi na una uwezo wa kuvumilia ule moto wake. hii ni fomular ya kutumia hata unaponyowa vuzi.
 
Dawa ya vipere ni maji ya moto tu baada ya kunyowa, loweka kitauro kwenye maji ya moto halafu kikamuwe na ukande sehemu ulizonyowa, lakini hakikisha maji yanakuwa ni ya moto sana ilimradi hayakubabuwi na una uwezo wa kuvumilia ule moto wake. hii ni fomular ya kutumia hata unaponyowa vuzi.

Mi naona huu wa kwako ndio ushauri wa kufuata zaidi. Haya makemikali miini mwetu bana no guarantee mkuu. Nimewahi kuona demu mmoja ana kwapa kama gunzi sababu ya madeodorants kudadadeki.
 
Mi naona huu wa kwako ndio ushauri wa kufuata zaidi. Haya makemikali miini mwetu bana no guarantee mkuu. Nimewahi kuona demu mmoja ana kwapa kama gunzi sababu ya madeodorants kudadadeki.
I Guarantee you 100%. Magic ilikuwa inanitowa viperesana lakini sasa hivi mambo ni tambarare kabisa, vipere kwangu ni historia.

Na kwa wale wanaotumia Magic ukipakwa na ikifika muda wa kuzitowa ndevu njia nzuri ni kutumia kitauro hicho hicho chenye maji ya uvuguvugu badala ya kijiti, then ndevu zikishatoka ndio unakanda sasa na kitauro cha maji ya moto zaidi.
 
Wakuu tatizo hili nilikuwa nalo zamani nikaamua kununua shaving mashine nikawa nanyoa mwenyewe tatizo likaisha ila kwa mashine sipati close shave kutumia gillete naogopa tatizo linaweza kunirudia tena, pia magic naogopa inaweza isiendane na ngozi yangu na chemical ambazo kwa njia yeyote zina matatizo yake ,ushauri please
 
Mimi nilikuwa na tatizo hilo, vipele vya ndevu vinakera hasa ngozi ukiwa mweupe au light brown.

Now, sikati ndevu, nina ndevu ndefu (huwa napunguza tu na mkasi ila siziondoi wala kuchonga), i love them nowdays. Naona zinanipendezea, naepuka hayo makemikali. Kwani kuwa na ndevu ni vibaya, i guess kuna wengine zinawapendezea. Sasa hivi ngozi ya ndevu ni clean na haina vipele wala makovu.

Tafuta njia utakayoepuka makemikali, maana utajikuta unatumia kemikali mpaka unazeeka.
 
Wakuu tatizo hili nilikuwa nalo zamani nikaamua kununua shaving mashine nikawa nanyoa mwenyewe tatizo likaisha ila kwa mashine sipati close shave kutumia gillete naogopa tatizo linaweza kunirudia tena, pia magic naogopa inaweza isiendane na ngozi yangu na chemical ambazo kwa njia yeyote zina matatizo yake ,ushauri please
Wewe unajuwa kusoma lakini!!....
 
Mimi nilikuwa na tatizo hilo, vipele vya ndevu vinakera hasa ngozi ukiwa mweupe au light brown.

Now, sikati ndevu, nina ndevu ndefu (huwa napunguza tu na mkasi ila siziondoi wala kuchonga), i love them nowdays. Naona zinanipendezea, naepuka hayo makemikali. Kwani kuwa na ndevu ni vibaya, i guess kuna wengine zinawapendezea. Sasa hivi ngozi ya ndevu ni clean na haina vipele wala makovu.

Tafuta njia utakayoepuka makemikali, maana utajikuta unatumia kemikali mpaka unazeeka.
kama wewe ni Boko halam au Al Shabaab then ndevu kwako siyo tatizo.
 

Attachments

  • 120pakistan.jpg
    120pakistan.jpg
    13.7 KB · Views: 199
kama wewe ni Boko halam au Al Shabaab then ndevu kwako siyo tatizo.

Nop, sio waislam/waarabu tu ndio wana ndevu, hata Wayahudi na Rastas. Sina ndefu kwakuwa nazipunguza sometime.
 
NJIA NZURI YA KUZUIA VIPELE NI KUNYO NDEVU KWA WEMBE NA KUCHUA KWA MAJI MOTO KAMA KUMKANDA MAMA ALIYEJIFUNGUA MTOTO ! Mimi nikiacha tu,vipele vinaota kwa mashindano !!!
 
ng'oa moja moja hadi zote ziishe ndio njia salama maana viembe vingi vimechakachuliwa na kuwa sehemu ya tatizo. :msela:
 
NJIA NZURI YA KUZUIA VIPELE NI KUNYO NDEVU KWA WEMBE NA KUCHUA KWA MAJI MOTO KAMA KUMKANDA MAMA ALIYEJIFUNGUA MTOTO ! Mimi nikiacha tu,vipele vinaota kwa mashindano !!!
Kuna mama aliyejifungua ntu nzima
 
Back
Top Bottom