Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Jaribu kujipaka aftershave lotion yoyote baada ya kunyoa!!!!
 
Jf Doctor msaada jaman nikinyoa ndevu baada ya cku kazaa kidevu kinatoka vipele vingi sn mpk nahis maumivu so nifanye ili niepukane na kutokwa na vipele?
 
Kama unanyoa saluni, badili kinyozi. Kumbuka inategemea na mikono ya mtu.
Ndiyo maana hata kwenye kuchoma sindano, au kutoga masikio kwa kina dada hili ni jambo sensitive sana. Mwingine anaweza kumsababishia mtu akavimba na pengine kovu la kudumu!
 
mkuu tafuta aftershave nzuri uwe unapaka kila baaada ya kunyoa vitaisha nilikuwa na tatizo hilo sana sasa nimesahau. jaribu nivea wanazo nzuri.
 
gillate bana after shave, shaving cream na mashine iwe ya gillate utasahau matatizo vipo expensive kidogo lakini vya uhakika vyote u apply kwa pamoja
 
jaman wadau km kuna mtu yoyote anajua dawa nzuri ya after shave anijuze maana kidevu changu kimejaa mapele tena makubwa makubwa mpk kinatisha nilikuwa natumia pumb control haikunisaidia nikatumia pharmaderm hii ndyo imeniletea balaa la mapele km majipu wadau mwenye kujua pliiiiiiiiz anisaidie
 
Achana na dawa.Nunua Homecut original mashine ya kunyolea.Uwe unanyoa mara 2 kwa wiki mwenyewe.Baada ya mwezi mmoja mapele yote kwisha.Na iwe mtindo wako wa kunyoa.Mimi yalinisumbua sana na hii nyia ndio suluhisho la kudumu.Baada ya kunyoa usipake chochote.Tafuta hiyo mashine,kiyoo na brashi laini.Ukimaliza kunyoa viweka ktk hali ya usafi.Usitumie brashi wakati huo huo inatumika kwenye viatu.
 
Achana na dawa.Nunua Homecut original mashine ya kunyolea.Uwe unanyoa mara 2 kwa wiki mwenyewe.Baada ya mwezi mmoja mapele yote kwisha.Na iwe mtindo wako wa kunyoa.Mimi yalinisumbua sana na hii nyia ndio suluhisho la kudumu.Baada ya kunyoa usipake chochote.Tafuta hiyo mashine,kiyoo na brashi laini.Ukimaliza kunyoa viweka ktk hali ya usafi.Usitumie brashi wakati huo huo inatumika kwenye viatu.

asante sana mkuu
 
Pole sana mkuu,hata pia nilikuwa na matatizo hayo..nakushauri ununue home cut uwe unachoa nduvu kwa mashine,from there apply spirit kidogo tu yatosha..achana na mambo ya after shave.yatakupa kansa ya ngozi bure.
 
Pole sana mkuu,hata pia nilikuwa na matatizo hayo..nakushauri ununue home cut uwe unachoa nduvu kwa mashine,from there apply spirit kidogo tu yatosha..achana na mambo ya after shave.yatakupa kansa ya ngozi bure.

nashukuru mkuu ntaufuata huu ushauri
 
Habari,
Naombeni msaada wa dawa ya kutibu vipele vya kwenye ndevu, vimetokea kwa week sasa. Vinanikosesha amani.
Shukran
 
Cheap n simple tumia poda yenye picha ya mtoto kwa cku zisizo pungua tano kila unapo enda kulala.
 
Back
Top Bottom