Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,029
- 3,520
Paka limao au ndimu baada ya kunyoa..unaweza kupaka na sasa hivi...vipele vitaisha.
hii ya limao niliambiwa kidevu kinakomaa je kuna ukweli mana nami ni muhanga ila limao naogopa afu linauma mno