Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Uzuri wa hii dawa ni chakula aina side effect, kwenye Maziwa unapata Vitamin C and other proteins.
Tende unapata Sugars, Fat, Energy, Protein, na Vitamin C pamoja na Vitamin B
 
Hawa jamaa ndio wagonjwa wengi uwa wanatafuta tiba kwa siri, inawezekana baada ya kumaliza kusoma hii thread kaelekea supermarket kutafuta Tende

binadamu wa kawaida mwenye akili timamu awezi kufanya upuuzi tatizo ni kujibebesha mzigo wakati uwezo una nibora goli moja au mawili kuliko kutesa mwili.ukifika umri wa miaka sitini utatumia mpira kukojoa kwani mishipa ya mteba utakuwa ausimami tena .Hacha ngono.

Na tatizo limewakumba ata akina dada na mama kwa kuzoeya kukutana na shughuli za watumia dawa wanakuwa sugu na kuongezea plasti usugu unaongezeka mpaka aje kuchemka mwanaume utakoma.
 
Mkuu wangu, hakuna ugomvi wowote wala hakuna aliesema hii ni dawa, hizi ni source of nutrition naona unakwenda mbali zaidi
 

Nguvu za kiume ndiyo nini?
 
Vijana wengi siku hizi kwishnei.
 
Safii hiyo. wacha nikapate glass yangu.
 
Chatu mimi napata shida kidogo, nafikiri unatakiwa utibu kilichosababisha nguvu za kiume zipungue na si kutumia njia nyingine kuongeza kuongeza nguvu za kiume. Ok unaweza tumia kweli na nguvu zikaongezeka lakini je unayo pulling ya kutumia hizo nguvu zilizo ongezeka? Unaweza kuta mtu ana matatizo mengine ya kiafya then anatumia hiyo juice na kweli ina respond positively anaparamia mama kutest nguvu zake mwishowe anakojoa ROHO badala ya shahawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…