Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo


Nilichogundua kula vyakula vyote fresh[emoji23]
 
Naomba msaada..jaman kama hospital umefanya sperm count three times no sperm..na wamechek testosterone zipo sawa,,,shida nn???
Nianze kwa kukupa pole. Kama umeenda hospitali na umeambiwa huna mbegu kabisa inawezekana ikawa kweli yaan una azoospermia. Vile vile inawezekana una low sperm count yaan oligospermia na hamkuelewana na daktari.

USHAURI;
1.Kama unatumia tumbaku kwa jamii zake, pombe ama una uzito ulikithiri tafta namna ya ku-bounce back.
2. Rudi hospital uongee na daktari wako muone namna ya kumanage tatizo kwasababu azoospermia ziko za aina 2 moja inaweza aghalabu rekebishika(obstructive azoospermia yaan inayotokana na kuziba mrija unaopitisha mbegu toka kwenye korodani) na nyingine inataabu kidogo(nonobstructive azoospermia yaan korodani hazitengenezi mbegu) hii technology bado hatuna nchini naamna ya kumanage.
3. Kama kwa upande mwingine una mbegu chache kwenye shahawa(oligospermia) na wataangalia sababu mostly ni infection watakutibu ila kama ni genetic yaan ya kuzaliwa nao na unataka mtoto basi inabidi ww na mwenzi wako mfanye tendo mara nyingi(mnaweza mkatenga siku moja) haswa siku ya 14 ya mzunguko wake(hii siyo kwa kila mwanamke? Hii inaongeza uwezekano wa kupata mtoto, pia zingatia kuishi maisha ya afya kama chakula kizuri na mazoezi.

Best of luck mkuu.
 
Yahhapo sawa
 
Kwa hiyo apo kama korodani haiwezi kutengeneza sperm..finally we n mgumba??????
 
No sperm ? Au low sperm counts ?
Hii huwa inatokea mkuu, kuwa no sperm kabisa, kuwa low sperm, au volume ya ejaculation inakuwa nyingi lakini Hanna sperm, au sperm chache viscosity inakuwa Hamna, au sperm zinakuwa zipo lakin maumbo yao yanakuwa Round vichwa vyake kwa hivyo no vigumu kutoboa yai la mwanamke, hivyo kupata mtoto inakuwa no vigumu sana.

Zipo sababu nyingi sana ambazo unaweza Kumu report mtu/client kuwa anatatizo la uzalishaji.
>Kiwango cha PH = kuangalia Alkali au acidic is better In alkal 7.0- 8.9pH, ikiwa chini ya hapo means duct blocked

>Ubora wa Viscosity yani ule munyumbuliko kama mlenda= husaidia Ku move sperm

>Appearance/Odour = kichwa, mkia, body take,

>Volume = At least 3mls up to,,,

>Movement = Better forward movement to find woman egg where is,,,?
 
Pole sana mkuu. Tatizo la shahawa kukosa mbegu za kiume(sperms) lipo na ni moja ya visababishi vya ugumba(infertility). Na hili linaweza kusababishwa na matatizo ya ukosefu wa homone ambazo huchochea uzalishaji wa mbegu e.g Testosterone au matatizo kwenye kiwanda cha mbengu(testes) ama ukiwa na tatizo kwenye barabara inayotumiwa na mbegu kusafiri kutoka kwenye kiwanda(testes) kuja kwenye urethra( blockage of the vas defferens). Hivyo nakushaur ukaonane na wataalamu wa magonjwa ya uzazi wakuchunguze.
 
Mcheki huyu mimi ameponesha kabisa kwa kunipa formula yake ya matunda kwa gharama nafuu sanaa ni elfu 22 tu sikuamin nilivyopona maana nilihangaika sana kwa gharama nying0712505049
 
Wameniambia hormone ambazo zinachochea uzalishaji wa sperm zimekufa zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…