Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Tuambie umepindia direction gani ili tukupe muafaka,vinginevyo utakuwa unawaumiza wenzio!:shocked:
 
jaman wanandugu naomben masaada, kuna rafiki yangu, uume wake umepinda. Kwa anayeweza kufahamu tiba nzur ili kuweza kuwa katika hali iliyonyooka. Ahsanten


Huo mdo mzuri kwa zile stlye za kupiga kona :violin:, tena mm nazipenda kwa kuzinunua , niPM tuwasiliane
 
Mwambie alete mm ni fundi welding, ntaunyoosha.
 
Nimekuelewa...pole kwa kupata maumivu

Vyema kama haikuzuii kufanya tendo

Mkuu,mazoea hujenga tabia...inawezekana pia kuna stail unauweka kwa kuhifadhi,pia yaweza kuwa ni maumbile tu ambayo hayana madhara yoyote yale kiafya.
.
Kwa tatizo hilo ushawahi kwenda hospitali?

Binafsi nakushauri usivae nguo za ndani za kubana sanaa..upe uume wako nafasi
kama mleta mada hajajibu sasa mim naomba ligeukie kwangu
kiukweli hata mimi imepindia kushoto,
--na si kuwa limeanza jana au juzi ni tokea nimeanza kujielewa
-kupinda kwake hakunizuii kufanya lolote
-ila tatzo linakuja ni kwamba nikishamaliza round ya kwanza nnapokuwa nataka kwenda round 2 (baada ya bao la kwanza si huwa imelala)
inapoanza kusimama ndo huwa nasikia maumiv nayo huwa hayanizuii kuendelea na tendo
na haijapindia ndani ni kwa nje
sijui kama nimeeleweka!!!

cc watu8, MziziMkavu na wengine mnaofahamu tiba..
 
jaman wanandugu naomben masaada, kuna rafiki yangu, uume wake umepinda. Kwa anayeweza kufahamu tiba nzur ili kuweza kuwa katika hali iliyonyooka. Ahsanten

awe anavaa nguo za ndani zisizo bana. mara nyingi inapindishwa na chupi. kama umepindia kushoto basi anza kuzoeza kuulazia kulia. mia
 
mi sidhani kama hilo ni tatizo, ila kwamba kuna mambo mawili ynaayopelekea hali hiyo kutokea,
mosi; uvaaji wa nguo za ndani hasa za kubana,
kama wakati unaanza kubarehe ulipendelea kuvaa chupi za kubana sana it highly likely uume utapindia upande ule unakoulazia ukivaa chupi na unaposimama unakuwa biased kuelekea upande huo. umri unavyoenda na tabia hiyo ya uvaaji, basi una- solidify kwenye uelekeo huo.

pili, misuri ya ngozi ya nje kwenye shina la uume haiko sawa pande zote mara nyingi na hii inakua obvious uume unapodisa kwani upande ambao hii ngozi ya nje imeunda diagonal line kutokea kwenye maeneo ya kushoto kwenda kwenye uume upande mmoja, upande wa pili hiyo ngozi yenye misuli iliyounda diagoinal line hipo. kwa mntiki hiyo uume ukisimama utakua biased kuelekea upande huo.
kwa msingi hakuna madhara na pia kule kupinda kunaongeza reaction na penetration power kiujumla
 
Kwan ukopinda ni vibaya. Utakuwa unamatege kama inavyotokea kwenye mikono na miguu amna dawa
 
Hili Jukwaa linatakiwa kuheshimika wakuu, sawa utani upo lakini
mengine ni matusi na si utani.
 
kweli mmeshibana, hadi mwenzio uume unasimama na ww upo kisha unaona umepinda, na kwa mapenzi mema umekuja kumtaftia ushauri huku, gwalaa...poleni ila hicho sio kilema km show anapiga fresh haina neon tena zinapendwa sana izo hongereni.
 
Hahaha kama inasimama basi haina shida...mwambie aendelee kupiga tigo hiyo!.....
 
jaman wanandugu naomben masaada, kuna rafiki yangu, uume wake umepinda. Kwa anayeweza kufahamu tiba nzur ili kuweza kuwa katika hali iliyonyooka. Ahsanten
Jamaa yako na kupinda kwake kwa uume wake umejuaje wewe?? Au wewe ni kuku mtamu
 
nashauri ukaonane na wataalam wa afya ya humu yawe ya nyongeza kwako coz relying on this may affect you!!!!!!!!!!!!
 
Haha ha haaaaaaaa mficha uchi hazai si useme tu kwamba jamani uume wangu umepinda mpaka utudanganye eti rafiki yangu acha hizo wwe wewe ulimuonaje?
Si kasema ni rafiki yake? inawezekana alimwambia maneno hayo au alimuonesha ili apate msaada.
Nalog off
 
Back
Top Bottom