Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda hospital ndugu...
Mkuu suala la kusimama ni kitu cha kawaida kabisa!hata tatizo la kusimama hujajua shida ni nini?
Masihara hayo mkuu!Au amuone fundi seremala aunyooshee..
Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.
Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha
Uume pekee ulionyooka wima ni wa mtoto....!!!!
mbona mingi imeenda upande........... lakini hata ukichungulia kwenye suruali zao unaona au wakitoka kuoga wamejifunga taulo hehehehehehe..... jaribu kuchungulia wenzio uone ni kwawida sana
Wakuu
Umri wangu ni miaka 24, nimechelewa sana kufanya tohara, nimetahiriwa miezi mitatu iliopita , tangu nifanye tohara naona kuna mabadiliko mengi, kwanza uume umeongezeka urefu, pili unasimama dede Mara kwa mara na kwa muda mrefu hadi nahisi maumivu na tatu umepinda kushoto.
Kwa unyenyekevu naomba Msaada wenu
Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.
Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha
We unaumwa woga.... Walibakia na dushe iliyonyooka baada ya kutahiriwa ni wachache sana... na vile vile inategemea ukiiweka kwenye chu.pi unailazia wapi...Wakuu
Umri wangu ni miaka 24, nimechelewa sana kufanya tohara, nimetahiriwa miezi mitatu iliopita , tangu nifanye tohara naona kuna mabadiliko mengi, kwanza uume umeongezeka urefu, pili unasimama dede Mara kwa mara na kwa muda mrefu hadi nahisi maumivu na tatu umepinda kushoto.
Kwa unyenyekevu naomba Msaada wenu
Inaelekea ushapigwa na mingi eh'??