Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.

Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha
 
Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.

Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha

hahhahahhahahhahha pussytroprism
 
wewe kweli umetahiriwa juzi,ni kawaida uume kupinda,kuna ambayo yamepinda kuelekea juu kama mundu,yapo yaliyopinda kwenda chini kama taa za barabarani,nyingine zimepinda kushoto au kulia,zipo pia zilizojinyongorota kama ya bata!

tatizo lako umetahiriwa ukubwani hivyo ukawa unajificha hutaki kuoga na wenzako ndio maana unashangaa kitu kupinda,ni kawaida,kuhusu kusimama ndio uhai wenyewe huo!kawaida pia
 
banana_011.jpgkama hivi au?
 
Wakuu

Umri wangu ni miaka 24, nimechelewa sana kufanya tohara, nimetahiriwa miezi mitatu iliopita , tangu nifanye tohara naona kuna mabadiliko mengi, kwanza uume umeongezeka urefu, pili unasimama dede Mara kwa mara na kwa muda mrefu hadi nahisi maumivu na tatu umepinda kushoto.
Kwa unyenyekevu naomba Msaada wenu

dah mkuu unamabalaa wewe!!!subir utakapoanza kuchimba visima utanyooka tu.
 
Wakuu

Umri wangu ni miaka 24, nimechelewa sana kufanya tohara, nimetahiriwa miezi mitatu iliopita , tangu nifanye tohara naona kuna mabadiliko mengi, kwanza uume umeongezeka urefu, pili unasimama dede Mara kwa mara na kwa muda mrefu hadi nahisi maumivu na tatu umepinda kushoto.
Kwa unyenyekevu naomba Msaada wenu
We unaumwa woga.... Walibakia na dushe iliyonyooka baada ya kutahiriwa ni wachache sana... na vile vile inategemea ukiiweka kwenye chu.pi unailazia wapi...
 
Mkuu kupinda kwa dushe ni dalili ya kusaka G-spot!
Ikipinda kulia, kushoto, chini, juu ama kokote, we iache tu!
Acha dushe isake direction bana!
 
Back
Top Bottom