Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Swala la kupinda kwa mashine gun lisikuchanganye.ni uumbaji huo,ila ukiangalia kisayansi zaidi jambo hilo linatokea sababu ya kuvaa chupi zinazobana,chupi zinazobana husababisha kujenga mazoea kwa mb** kulalia sehem moja. Ushauri wangu acha kuvaa chupi mbano,tafuta boxer inayopwaya ili uipe mashine mazingira ya kuji stretch zaidi..:thumbup:
 
tembea na sindano, ikisimama tu inajidunga kavukavu, itakoma tu.
kuhusu kupinda, uwe unailazia kulia. kumbuka kuvaa boxer inayobana sana.
ukiona haisaidii, kamwone doct aliyekutahiri akurudishie soksi yako.
 
mbona mingi imeenda upande........... lakini hata ukichungulia kwenye suruali zao unaona au wakitoka kuoga wamejifunga taulo hehehehehehe..... jaribu kuchungulia wenzio uone ni kwawida sana
Huwa unachungulia wapi?
 

naomba picha ya uliojinyongorota sijawah ona katika sampuli zangu
 
Ududu kupinda mbona kawaida sana ndugu? Na kwa taarifa unakusha vizuri sana kunako 6 kw 6
 

Tafuta kichongeo utanyooka tu mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…