permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
acha umbea ulionaje yote hayo?kuna jamaa yangu ana uume uliopinda kuelekea kulia 90 degree pind unapo erect pia anapesex manii huwa hayatok kwa kac yaani yanakua kama yanamwagka huku mengne yakbak kweny mrija. Je hil halwez kuleta utasa? Na je husababishwa na nn? Je anaweza kutibka? Wana jf 2naomba taaluma zenu juu ya hili.
hii ni yako peke yako my King,hao wengine watakula kwa macho
including me? I hope ur just joking baby
we siku hizi nyendo zako kwa Munkari bado sijazielewa elewa vile
Hivi tatizo kupinda kwa uume husababishwa na nn? na je wanawake huwa mnafeel nn wakati wa tendo na uume wa namna hii.
Je hii hawezi kusababisha ugumba?
Hivi tatizo kupinda kwa uume husababishwa na nn? na je wanawake huwa mnafeel nn wakati wa tendo na uume wa namna hii.
Je hii hawezi kusababisha ugumba?
huna tatizo lolote kijana....hayo ndio madhara ya uvaaji wa chupi...nashukuru mimi wazazi wangu hasa baba alipiga maruku uvaaji wa chupi ni mwendo wa bucta tu na sasa mashine kama lula....