Tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo

Tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo

Pole , ila hilo sio tatizo la kukunyima raha ..jikite zaidi kwenye kutafuta PESA hiyo ndo kila kitu itakupa utulivu .

At your age 21 yrs, doesn't matter ur penis is functional or is dysfunctional you need to abstain sex at any cost.

Money is everything , strive for money and live ur purpose

Unapokuwa duniani jikite katika kuishi kusudio lako tu ndo litakalokupa furaha , hivyo hilo tatizo lako sio kubwa kias cha kukunyima raha.

Endelea kutafuta tiba taratibu huku ukifurahia maisha usijipe stress , maana ngono sio starehe wala haina utamu wowote zaidi ya kupeana mimba tu.
 
Nashukuru boss sitakata tamaa kutafuta tiba sahihi mpaka nipone
Pambana ndugu! Hiyo ni fedheha kubwa.Unaweza pia kunicheki zaidi nikakuchukua maelezo kwa ushauri zaidi.Tiba zipo huna haja ya kukata tamaa umri wako bado sana.
 
Kipindi cha balekhe ni nguku ME kukipita bila kujichukulua sheria mkononi

Trust Ni Ngumuuuu
 
Hilo tatizo linaonekana kuhusiana na moyo ambayo imesababisha mzunguko wa damu mwilini kuwa mbaya (Poor Blood Circulation).
 
Nashukuru boss sitakata tamaa kutafuta tiba sahihi mpaka nipone
...Uwe macho kwenye huku Kutafuta Matibabu, maana Kuna Wengi TU wataoona kuwa Umekuwa fursa ya wao kupiga pesa. Jihadhari.
Wengi watakujia na kukuaminisha kwamba Wao Wana Tiba ! Take care ! [emoji45][emoji45]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Tengeneza mchanganyiko huu na unywe nusu saa kabla ya mzagamuano.
  • Juisi ya rosela glass moja (250ml)
  • tangawizi ( sagia fresh tangawizi ni nzuri zaidi)
  • pilipili manga kijiko kimoja cha chai
  • Asali vijiko viwili
  • mdalasini magome saga iwe unga tunia kijiko kimoja au viwili vya chai
Koroga vizuri kunywa yote..unaweza chuja au ukanywa hivyo hivyo.
Tulia nusu saa then mtafute mama watoto. Utakuja nishukuru.
Science behind.
Hiyo rosella na hizo spices zitasaidia kuboresha mzunguko wa damu na kusafisha mishipa. Pia unaongeza hanu ya tendo. Unaweza kuwa unakunywa kila siku siyo lazima wakati wa mzaganuano.
Kwa wale wanywaji. Anza na bia moja au mbili za Plisner then uje na hiyo juisi utakuja niletea mrejesho hapa
 
Tengeneza mchanganyiko huu na unywe nusu saa kabla ya mzagamuano.
  • Juisi ya rosela glass moja (250ml)
  • tangawizi ( sagia fresh tangawizi ni nzuri zaidi)
  • pilipili manga kijiko kimoja cha chai
  • Asali vijiko viwili
  • mdalasini magome saga iwe unga tunia kijiko kimoja au viwili vya chai
Koroga vizuri kunywa yote..unaweza chuja au ukanywa hivyo hivyo.
Tulia nusu saa then mtafute mama watoto. Utakuja nishukuru.
Science behind.
Hiyo rosella na hizo spices zitasaidia kuboresha mzunguko wa damu na kusafisha mishipa. Pia unaongeza hanu ya tendo. Unaweza kuwa unakunywa kila siku siyo lazima wakati wa mzaganuano.
Kwa wale wanywaji. Anza na bia moja au mbili za Plisner then uje na hiyo juisi utakuja niletea mrejesho hapa
Nashukuru sana kwa ushauri boss ntafanyia kazi.
 
Jitahidi ule matunda na mbegu zinazo boost hamu ya ngono, mboga za majani , wadudu wa baharini/ziwani, maji ya kutosha na ufanye mazoezi ya tumbo kwa wingi. Kutafuta pumzi kimbia .


Sikushauri kabisa ule karanga mbichi maana utakojoa hata kabla haijaingia
Sikushauri kabisa ule karanga mbichi maana utakojoa hata kabla haijaingia. 𝐊𝐔𝐍𝐀 𝐔𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈 𝐇𝐀𝐏𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐔
 
Dogo no fap itakusaidia sana ingia google andika no fap utakuja kunishukuru
 
Back
Top Bottom