Tatizo la vipele vinavyotokana na kunyoa nywele kichwani chini ya kisogo (Acne Keloidalis Nuchae)

Kwanza kabla ya ushauri wowote ingekupasa ueleze ni sehemu gani ambayo imeathirika mana kila sehemu hua ina kuwa na visababishi viambatanishi.
Hiyo ni sehemu ya kisogoni...baada ya kunyoa. Nyama za shingo tuu hizo usihofu.[emoji1] [emoji1] Mbona nimeeleza hapo kwenye bandiko, mkuu.
 
Hii inaitwa Sycosis Barbae. Inatokea wakati unaponyoa against plane ya nywele zako, inapelekea kutengenezwa kwa a potential space btn hair follicles ambayo pathogenic microorganisms wanaota. Kwa matibabu zaidi nitafute.
mpa wapi sasa..??..nitawafuataje kama adress umebaki nayo,pasina kuibandika hapa...??..
 
ulitumia nini sasa? Au ndio ulifuata hayo maelekezo?
 
Kuna clinic moja jina limenitoka. Iko baada ya hospital ya TMJ kama unaenda kawe. Nahisi yale maeneo yanaitwa kwa warioba. Kuna mtaalam wa ngozi anatibu iyo kitu simple kabisa. Nikikumbuka jina nitakuambia.

Mkuu unamaanisha Sanitas au siyo?
 
Ulitumia nini sasa? Au ndio ulifuata hayo maelekezo?
Nilifuata maelekezo ya mshikaji ni dermatologist ikanisaidia niliikuwa nashave ki hair cutting salon mshikaji akiwa anakushave na machozi juu nikatafuta barber shop ya ukweli jamaa wanaojielewa na mavuzi nikawa nakata kwa wembe kali tripple edged razors na genuine mabo swafi hakuna vipele kwenye kengele kidevuni wala kichwani, ila kama ni kesi ya allergy hapo jamaa wa hospital wanahusika, huku kwingine ni selection tu.
 
sijaumia mkuu....huo ni mkunjo wa nyama za shingo eneo la kisogoni.....hali hiyo unitokea punde baada ya kunyoa,baadae vinapotea.....kama kuna tiba unaifahamu mkuu nielekeze tuu....

Okay, salon nikienda kunyoa, nimeshaona almost two time

Wanamnyoa mtu kipara, halafu wanampaka mtu magic mpaka kichwani. Baada ya muda, wanamtoa hio magic, wanakupaka poda nyingine wanaanza kunyoa Tena. tHe whole process ni almost lisaa limoja na nusu

Nimeshaona wakiwafanyia watu hivyo, .
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] .....
 
Kwa hiyo sasa ndio una shauri lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…