Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,366
Hiyo ni sehemu ya kisogoni...baada ya kunyoa. Nyama za shingo tuu hizo usihofu.[emoji1] [emoji1] Mbona nimeeleza hapo kwenye bandiko, mkuu.Kwanza kabla ya ushauri wowote ingekupasa ueleze ni sehemu gani ambayo imeathirika mana kila sehemu hua ina kuwa na visababishi viambatanishi.