Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,366
nashkuru ndg....kwa maelekezo.....[emoji120]Bro nunua dawa moja inaitwa mupirocin cream itakusaidia sana i had same problem kama hiyo saiv nimepona kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashkuru ndg....kwa maelekezo.....[emoji120]Bro nunua dawa moja inaitwa mupirocin cream itakusaidia sana i had same problem kama hiyo saiv nimepona kabisa
Kama sina connection hiyo nafanyaje mkuu...[emoji45] [emoji45] [emoji45]? Kwani bongo hazipo hapa?Kama una connection na mtu anaishi USA Muombe akutafutie after shave razor bump inaitwa TEND SKIN kichupa cha blue, Nilikuwa na shida ya razor bump kila dawa ilishindikana, nikapata mfadhili wa hiyo kitu ikawa tiba. Sasa hivi natumia spirit za kawaida saloon na nipo powa.
ila sio bonge la mtu wa kihivyo lakini...mkuu..!!![emoji1] [emoji1] [emoji1] ....sema nyama za shingo zimejaa jaa kdg.Jina Wa Leo.nimecheka sana huyu jamaa ni bonge LA MTU sasa kwa kichogo ana nyamanyama
Hapana mkuu...sina mshono wala nini, ni nyama za shingo tuu hizo.[emoji1] [emoji1]Duh! najiuliza hapa peke yangu huo mstari upo sehem gan? kama kichwan basi anamshono
nashkuru kwa ushauri wa kitaalamu mkuu.....[emoji120] [emoji120]Pole sana...ushaur Wang nenda hospital wakachukue specimen kwenye usaha/pus wafanyee utafit yan culture/sensitivity + gram stain kujuwa ni jamii gan ya bacteria/fungal aliyepo apo maranyingi bacteria tunaye mpata baada ya utafit ni (staphylococcus aureus) inaonekana ni superficial infection.....pia watakupa na antibiotic za kutumia after culture/sensitivity +gram stain....utumiee kwa muda Wa week moja then uonee kama Luna maendeleo yoyotee.
Twende pamoja kusoma wachangiaji wanavyotiririka, tubebe yaliyo na tija..ili tupate msaada wa kitabibu....mkuu.Nina tatizo kama lako pia pia
Hujapata suluhisho?
poa..nashkuru kwa maelekezo kaka....[emoji120] [emoji120] [emoji120]Inaitwa sanitaris clinic.. Iko ktk jengo la baraka tower. Ukipata TMJ. Maarufu kwa warioba. Ndugu zangu wawili walitibiwa pale wako poa. Mtaalam alidai ni matatizo ya tabia ya ngozi na sio bacteria.
poa.poa...mkuu.....nitajaribu hivyo....[emoji120] [emoji120]Mkuu jaribu kutumia mafuta ya karafuu baada ya kunyoa, kichupa kile kinauzwa 3500, ni kikali ila jaribu hicho
unakosea kuongea swaga hizo...mkuu,wembe ni bei gani kwa afya ya mwili..mpaka uwe bahili kutumia wembe butu??...au kwenda salon...??...
na marriaaa....[emoji15] [emoji15] ....!!!...Yethu
Bongo sijawahi ona kwakweli. Mimi niliagizia hukokama sina connection hiyo...nafanyaje mkuu...[emoji45] [emoji45] [emoji45] .??..kwani bongo hazipo hapa..?
Hicho ni kichwa?msaada tafadhari nimekuwa nikisumbuka na aina ya vipere ambavyo uniwasha sana baada ya kunyoa nywele,na nahisi vinaongezeka kadri ninyoavyo....wataalamu ngozi .....tusaidiane ushauri..![]()
na marriaaa....[emoji15] [emoji15] ....!!!...
Sawa mkuutwende pamoja kusoma wachangiaji wanavyotiririka......tubebe yaliyo na tija..ili tupate msaada wa kitabibu....mkuu...
.llllWengi ni wanafiki yaani kuna muda ata kununua magazeti ya Tanzania sitamani Na wengi wao habari zao wanapata JF
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
Hicho ni kichwa?
Hata kama si ndevu ushauri ni huohuoNyoa kufuata jinsi ndevu zilivyolala. Nyoa kila siku. Ukiacha basi kaa wiki 2 ndo unyoe na uendelee kila siku.
Tumia maji kulainisha ndevu kabla kunyoa. Pakaa na mapovu ya sabuni zisizo na marashi. Mbuni. Komoa. Mshindi. Jamaa. Kuku. Takasa. N.k.
Usitumie nguvu kunyoa. Usishindilie eti ili uwe smoooth sana. Nyoa kijuujuu km vile unapapasa .... ya mkeo unaempenda sanaaaa. Ukumbuke unanyoa kila siku.
Ukimaliza kunyoa usitumie madawa eti kuziba vitundu sjui nini nini huko. We nawa na maji safi yanaytiririka. Btw, uwe umenawa mikono kabla ya zoezi zima.
Usione procedure ndefu. Ukizoea ni tendo la dk 5 hadi 10 kila siku.
Ukiweza jaribu kisha njoo na mrejesho. Hasahasa hakikisha hutumii nguvu na unafata ulalo wa ndevu.
Mkuu hiyo ni sehem gani ya mwili wako? Ni tako, kichwa au kidevu..!!??msaada tafadhari nimekuwa nikisumbuka na aina ya vipere ambavyo uniwasha sana baada ya kunyoa nywele,na nahisi vinaongezeka kadri ninyoavyo....wataalamu ngozi .....tusaidiane ushauri..![]()