Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoodAsante mkuu wacha nitafute hizo dawa kisha nitarudi kuleta mresho.
Na mimi pia ntaleta mrejesho wakuuAsante mkuu wacha nitafute hizo dawa kisha nitarudi kuleta mresho.
MIMI NI DAKTARI PIA NAFANYA KAZI PRIVATE HOSPITAL!! HUU UGONJWA UNATIBIKA KWA HIYO PRESCRIPTION NILIYOIANDIKA HAPO JUU[/QU
ustadh juma, dawa ya mapele ya ndevu unayo?
Mkuu hizo dawa zinatuliza tu, ukishapona na kuacha, mapele yanarudi vile vile.(1) caps cefadroxir 500mg bd - 6/7
(2) Tabs terbinefine 250mg od 10/7
(3) Gentelene C cream be 2/52
IKOPI KISHA PELEKA PHARMACY WATAKUPA HIZI DAWA THEN NITAKUWA NAENDELEA KUFATILIA HALI YAKO INBOX!!
Kuna clinic moja jina limenitoka. Iko baada ya hospital ya TMJ kama unaenda kawe. Nahisi yale maeneo yanaitwa kwa warioba. Kuna mtaalam wa ngozi anatibu iyo kitu simple kabisa. Nikikumbuka jina nitakuambia.msaada tafadhari nimekuwa nikisumbuka na aina ya vipere ambavyo uniwasha sana baada ya kunyoa nywele,na nahisi vinaongezeka kadri ninyoavyo....wataalamu ngozi .....tusaidiane ushauri..![]()
Kwann unamsemea ...? Kwan yeye ameshindwa kunijibu...?
Asee wenye kutu tena!!Unanyolea wembe butu wenye kutu kwa ubahili wako, kisha huzibi pores kwa sprit
Hiyo ni jamii fulani ya bakteria wamezidi na mafuta ni mengi sehemu ya kichwani ila subiri madoctory zaidi wajemsaada tafadhari nimekuwa nikisumbuka na aina ya vipere ambavyo uniwasha sana baada ya kunyoa nywele,na nahisi vinaongezeka kadri ninyoavyo....wataalamu ngozi .....tusaidiane ushauri..![]()
Daaah we jamaaa nom u make day to me[emoji23] [emoji23]Unanyolea wembe butu wenye kutu kwa ubahili wako, kisha huzibi pores kwa sprit
unakosea kuongea swaga hizo...mkuu,wembe ni bei gani kwa afya ya mwili..mpaka uwe bahili kutumia wembe butu??...au kwenda salon...??...Unanyolea wembe butu wenye kutu kwa ubahili wako, kisha huzibi pores kwa sprit
ukikumbuka hiyo addres yote ya hiyo clinic nikumbuke kunijuza kaka.....Kuna clinic moja jina limenitoka. Iko baada ya hospital ya TMJ kama unaenda kawe. Nahisi yale maeneo yanaitwa kwa warioba. Kuna mtaalam wa ngozi anatibu iyo kitu simple kabisa. Nikikumbuka jina nitakuambia.