Tatizo la vipele vinavyotokana na kunyoa nywele kichwani chini ya kisogo (Acne Keloidalis Nuchae)

Tatizo la vipele vinavyotokana na kunyoa nywele kichwani chini ya kisogo (Acne Keloidalis Nuchae)

Wakuu nimekutana na wanaume wengi wenye hili TATIZO, baadhi nimefanyanao mahojiano lkn wengi wanasema hawajui chanzo wameshituka tu wapo hivyo shieeda Ni nini Kwa anayejua jamani mawazo, maoni au ushauri!
KUWA NA VIPELE BAADA YA KUNYOA NYWELE

MAPELE BAADA YA KUNYOA.jpg


KWANINI TUNATOKEWA NA VIPELE BAADA YA KUNYOA?

tutajiuliza kwanza swali hili ivi ni kwanin watu kama wazungu waarabu na watu wa asia mara nying hawapati tatizo hili la mapele au vidonda baada ya kunyoa
ukichunguza utagundua ya kua sisi nywele zetu ni zenye kuji sokota au kujinyongorota
hivyo unapo nyoa na kukata mzizi wa nywele kabisa una jiweka katika hatar ya kupata mapeli

SABABU

Bahat mbaya hakuna alie wah kutufundisha namna ya kunyoa ndo maana utakuta mtu haoshi uso wala kichwa kwa maji ya moto KABLA YA KUNYOA kwa ajili ya kuua bacteria waliopo kwenye uso na kwenye kichwa ambapo mtu huyo akisha nyolewa bacteria hao huingia kwenye matundu hayo
ndo maana ukiwachunguza wazee wanao nyoa na viwembe hawana mapele maana wana jisafisha kabla ya kunyoa

Sasa Matundu hayo yanapo ingia bacteria huziba na pia ukinyoa nywele zote kwenye ngozi kumbuka nywele zetu ni za kujisokota hivyo nywele hujisokotea ndan kwa ndan ( ingrowing ) na huleta muwasho na uvimbe

sasa kwanin wale walio chonga nyuma hupata mapele mwisho wa siku

sababu ni kwamba ukisha nyoa ukapata vidonda ngozi hutoa (collagen) hii ni kwa ajili ya kurepair ngozi iliyo aribika hivyo unapo LINYOA tena lile jeraha unatengeneza hali ya ngozi kuvimbiana na kutengeneza kama uvimbe ( keloid scarring ) wa mfano wa alie katwa na wembe na ngozi yake ikipona hua ni yenye uvimbe maana ngozi hujirepair kama nilivyosema hapo awali



USHAURI

Unapo taka kunyoa ziwe ni nywele za chumban, kikwapan au popote hakikisha una jisafisha kwa maji ya moto kuondoa bacteria na kulainisha ngozi

asubuh unapo nawa uso hakikisha maji hayabaki kwenye kidevu maana nadhan kila mtu anajua mikono yake USIKU hujisika wapi hivyo unapo osha uso hakikisha maji yanatiririka yote chini kuondoa bacteria

Nyoa nywele kwa muelekeo wa nywele zako ili usizikate nywele zote kwan utafanya nywele kuto kutoka kwenye ngozi



kuna aina ya mafuta husaidia sana kulainisha na kusimamisha nywele unapakaa kabla hujanyoa na baada ya kunyoa ukipakaa huondosha msuguano unao pelekea mzizi wa nywele kunyolewa na pia huondoa mauvimbe tuliyo yaongelea uKihitaji hiyo Dawa Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
mwenye uufahamu wa hili tatizo anisaidie msaada wa tiba nini nifanye niweze kuepukana na hili tatizo wandugu
1471590624458.jpg
1471590633016.jpg
 
Mkuu hata mm nilikuwa na vipele Kama hivyo nilienda pale hospitali ya regency yupo daktari bingwa wa ngozi alinipa vidonge nikapona kabisa.
 
Aliniandikia dawa ya kupaka inaitwa candiderm cream na vidonge vya anti allergy kwa jina sivikumbuki nilikuwa nameza vinne kwa siku kwa muda siku 28. Pole Sana.
 
Nina tatizo moja la vipele nyuma ya kichwa, wanasemaga eti mashine za kunyolea ndo zinasababisha, je ni kweli na ipi dawa ya kuondoa tatizo hili. Asanteni
 
Ngoja waje watusaidie wengi tunateseka na matatizo hayo kwa muda mlefu.
 
Huu ugonjwa unatokana na fungus ambao wanakuwa super imposed by bacterial infection hivyo mgonjwa hatakiwi kukwangua nywele zote saluni kwani machine za kunyolea hupelekea maambukizi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine pia kunyoa nywele za kisogoni kuelekekea shingoni ni jambo linalochangia sana maambukizi ya ugonjwa huu. Madereva wa magari na watu wanaofanya sana kazi za jasho hupata zaidi ugonjwa huu kwa kuwa jasho la kichwani likikutoka na likakaukia hupelekea maambukizi ya ugonjwa huu
 
Thanks mkuu hizi dawa inatakiwa kuzitumia zote kwa wakati mmoja au ni dawa moja wapo kati ya hizo?
 
(1) caps cefadroxir 500mg bd - 6/7
(2) Tabs terbinefine 250mg od 10/7
(3) Gentelene C cream be 2/52
IKOPI KISHA PELEKA PHARMACY WATAKUPA HIZI DAWA THEN NITAKUWA NAENDELEA KUFATILIA HALI YAKO INBOX!!
nashauri aone kwanza na dr. kabla ya kwenda kununua dawa.
 
nashauri aone kwanza na dr. kabla ya kwenda kununua dawa.
madaktari wengi huandikia wagonjwa griseofluvin kama tiba ya ugonjwa huu lakini matokeo yake huwa hayaridhishi ila terbinefin imeleta matokeo mazuri sana katika kutibu ugonjwa huu
 
Thanks mkuu hizi dawa inatakiwa kuzitumia zote kwa wakati mmoja au ni dawa moja wapo kati ya hizo?
unatakiwa kutumia pamoja ili kuondoa kabisa huo ugonjwa!! terbinefine itaingia ktk mfumo wa damu na kufika mpaka kwenye ngozi ya kichwa na kuponya hilo tatizo!! tangu January nakutana na watu wengi hasa vijana wanakuja hospitalit wakicomplain hili tatizo na wengine pia huwa wanacomplain tatizo la vipele katika ndevu yote hayo yanatibika bila shida
 
Back
Top Bottom