Tatizo la vipele vinavyotokana na kunyoa nywele kichwani chini ya kisogo (Acne Keloidalis Nuchae)

Tatizo la vipele vinavyotokana na kunyoa nywele kichwani chini ya kisogo (Acne Keloidalis Nuchae)

Kuna jiwe linaitwa shabu kama chumvi ya mawe hili linaondoa tatizo kabisa,unachovya kwenye maji na kupaka baada ya kunyoa.Saloon za wahindi mjini zote hutumia.

Shabu ni ile wanayotumia kuweka kwenye mbunye ili iwe tight?
 
Naombeni msaada wenu hivi vidude naona vimekuja kwa kasi sana na Mara nyingi vinakua vingi zaidi nikienda kunyoa saloon..na saloon nazoenda ni zile zenye kila aina ya usafi unaohitajika.

Lakini naona hivi karibuni vimeongezeka zaidi Kama vinavyoonekana hapo pichani.

Naombeni msaada wenu hivi vipele vinasababishwa na nn na tiba yake ni nn.

Asanteni sana doctors.
 

Attachments

  • 1439796340320.jpg
    1439796340320.jpg
    28.3 KB · Views: 287
pesa pesa pesa hiyooooo mkubwaaa.

kuna mahali hivyo vipele huwa vina ambatana na imani zetu zileeeee za mlango wa nyuma na mahusiano ya pesa.

huwa vinakuwa nyuma ya shingo ukimuona jamaa vimeshamili sana ujue msimu huo pesa haikaukiii mgoni umetema lakini ukiona vinapotea na vinekauka ujue ngoma inakata
 
pesa pesa pesa hiyooooo mkubwaaa.

kuna mahali hivyo vipele huwa vina ambatana na imani zetu zileeeee za mlango wa nyuma na mahusiano ya pesa.

huwa vinakuwa nyuma ya shingo ukimuona jamaa vimeshamili sana ujue msimu huo pesa haikaukiii mgoni umetema lakini ukiona vinapotea na vinekauka ujue ngoma inakata

Daaah hizi imani bado zipo mkuu😯😯😯😯
 
ndugu zangu ndani ya jf habari zenu.

Mimi nina matatizo ya vipele mwisho wa nywele za kichwani upande wa kisogoni ambavyo vinatokana na kunyoa.

Nimepata ushauri kwa madaktari mbalimbali juu ya dawa za kutumia bila mafanikio.kama kuna mtu anajua ni namna gani naweza kutibu na pia kuzuia visitokee tena naomba tuwasiliane humu jf.

Nimeona watu wengi hivi karibuni wamekuwa na hali hiyo ambapo baadhi inapelekea kuota nyama kubwa baadaye.naomba anayejua asaidie,maana najua watu wengi wanahangaika sana kuutibu ugonjwa huo sasa.

Nitashukuru kwa mtu yeyote aliye tayari kutoa msaada wa ushauri na hata kama kuna dawa aiandike humu niitafute.

Asante.

mkuu vipi bado hili tatizo upo nalo ama umepowa ? Kuna dawa moja nzuri tu kama bado unasumbuka nijulishe, . NIME NOTICE kuna watu bado linawasumbua kesho nitaweka picha ya hii dawa leo naweka jina lake .hii dawa inaitwa SURFAZ-SN TRIPLE ACTION CREAM. anti fungal ,antibacterial,anti inflammatory .inatibu karibu maradhi yote ya ngozi.
 
mkuu vipi bado hili tatizo upo nalo ama umepowa ? Kuna dawa moja nzuri tu kama bado unasumbuka nijulishe, . NIME NOTICE kuna watu bado linawasumbua kesho nitaweka picha ya hii dawa leo naweka jina lake .hii dawa inaitwa SURFAZ-SN TRIPLE ACTION CREAM. anti fungal ,antibacterial,anti inflammatory .inatibu karibu maradhi yote ya ngozi.

Mkuuu hiii inapatikan kwenye hizi pharmacy zetu?
 
Mkuuu hiii inapatikan kwenye hizi pharmacy zetu?

mkuu hii dawa sina hakika kama inapatikana tz ,lakini naweza kukusaidia ikakufika kama upo dar weka detail zako ama ni pm niangalie naweza vipi kukusaidia . karibu sana.
 
daaah hizi imani bado zipo mkuu😯😯😯😯

acheni kunyoa mywele kwa muda wa miezi mi tatu fuga afro mm nilikuwa nayo nilivyoacha kunyoa na mashine ziliisha kbs sasa na punguza tu nywele
 
Hello JF doctor,
Pengine kuna thread kama hii lakini ningependa kuomba msaada kwa mwenye uzoefu wa dawa inayoweza kutibu permanently vipele hivi. Wengine wanasema ni barber rashes, lakini mimi kwa zaidi ya miaka 3 sasa natumia mashine yangu binafsi nikienda kwa kinyozi. Nimejaribu kutumia mafuta mbalimbali na antibiotics nyingine kali lakini vinarudi. Naomba msaada kwa mwenye uzoefu.
20160224_072143-1.jpg
 
Tafuta mafuta fllani yanaitwa radiant kaka yako pooa Sana aisee made in Uganda Ni Tsh 2000 Tu uwe unapaka
 
Try this. acha kula nyama ya aina yoyote ile kwa 2wks. then rudisha majibu. usitumie dawa yoyote ile.
Hapo umenena Mimi nilijaribu miaka 5 tatizo likapungua kabisa mwaka jana nilikuwa nchi Fulani nikala nyama ya Ng'ombe tatizo limerudi kwa kiasi kikubwa zaidi hapa niko kwenye dozi lakini naona haisaidi
 
Wakuu nimekutana na wanaume wengi wenye hili TATIZO, baadhi nimefanyanao mahojiano lkn wengi wanasema hawajui chanzo wameshituka tu wapo hivyo shieeda Ni nini Kwa anayejua jamani mawazo, maoni au ushauri!
 
Huyu Ni baadhi yao na anaafadhali lkn wengine inasikitisha!
 

Attachments

  • 1469020534416.jpg
    1469020534416.jpg
    36.5 KB · Views: 246
Hata Mimi Nimewaona Wengi Sana Pia Nasikia Vinaambukiza Hivyo Vipele Hasa Viti Virefu Vya Ofisini Vile Ambayo Mtu Anaweza Kulaza Shingo Yake!

Hata Mabenchi Yenye Kumfanya Mkaaji Kupata Nafasi Ya Kulaza Shingo
 
Nina mdogo wangu naye ni balaa. Ila ni hizi mashine za salon hawaweki kwenye zile stratalerzer. Kwa ajili ya kua vijidudu.
 
Mimi nilikuwa navyo, inatokana na ku-share kofia za pikipiki. Na huu ugonjwa umeingia sana kutokana na kuanza kuingia pikipiki.
 
Back
Top Bottom